heritage

568. IZUMO LIGALANDAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile izumo. Ilizumo lyinilo, bhuli bhubhi ubho bhugampandika umunhu uyo wita mihayo ibhengwe kuli myaji okwe, nulu kuli ntale ungi uyo adimilile wasa bho myaji okwe.

Uyo ozung’wa ng’wunuyo agitaga mihayo ya bhubhi iyo abhagalekejaga na bhanhu bhakwe, kunguno ya gwilanga nhungwa jabhubhi gubhitila kuli weyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘izumo ligalandaga’.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ozung’wa na ntale okwe, kunguno y’ibhengwe ilo ong’witila. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na miganiko mabhi, kunguno ya kulema kulomba bhulekejiwa bho bhuhubhi bhokwe ukuli ntale okwe ng’wunuyo.

Uweyi opandika izumo ilo ligalandaga guti lya ng’wa Adamu nu Eva, abho bhagang’hubhila UMulungu ubhazuma. Ilizumo lyinilo ligabhashigilaga abhanhu, kunguno ya bhuhubhi bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘izumo ligalandaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu guleka gubhitila ibhengwe abhatale bhabho umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichabho, na gugwasha matwajo mingi umuwikaji bhobho.

(Mwanzo 3:13-17; Warumi 3:23; 2Petro 2:14).

KISWAHILI: LAANA HUTAMBAA.

Chanzo cha methali hii chaangalia kuenea kwa laana. Laana hiyo ni ubaya unaompata mtu mwenye maneno au matendo ya dharau kwa mzazi wake, au mtu mwingine ambaye hushika nafasi ya mzazi wake.

Mtu huyo aliyelaniwa hutenda maovu ambayo huwaambukiza pia wenzake tabia hiyo, kwa sababu ya kuyaiga matendo hayo maovu katika maisha yake mtu huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘laana hutambaa.’

Methali hii hulinganishwa kwa mtu yule aliyelaniwa na mkubwa wake kwa sababu ya dharau aliyomfanyia. Mtu huyo huwa na mawazo mengi kwa sababu ya kukataa kwake kuomba msamaha kwa mkubwa wake huyo.

Yeye alipata laana inayoenea kwa wengine kama ile ya Adamu na Eva, waliyoipata baada ya kumkosea Mungu. Laana hiyo huwafikia watu wengine kwa sababu ya ubaya wao wa kukosa utii kwa Mungu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘laana hutambaa.’

Methali hii hufundisha watu kuacha kuwadharau wakubwa wao katika maisha yao; badala yake, wawaheshimu kwa kuwaombea, ili waweze kupata baraka za kupata mafanikio mengi maishani mwao.

(Mwanzo 3:13-17; Warumi 3:23; 2Petro 2:14).

 

ENGLISH: A CURSE CREEPS.

The origin of this proverb is the spread of a curse. A curse is a misfortune that results from a person’s derogatory actions toward his or her parent or any other person who occupies his or her parent’s place.

The victim commits evil deeds that some other people imitate and suffer the consequences. That is why people say, ‘A curse creeps.’

The proverb is used comparatively as a reminder to those people who despise their superiors that because of the contempt and refusal to apologize, they are prone to suffering from prolonged stress.

That being the case, such people may be said to under a curse that spreads or creeps to others, like that of Adam and Eve, which they received after they sinned against God. This curse creeps to other people because of their disobedience to God. That is why people say, ‘ A curse creeps.’

This proverb teaches people to refrain from despising their superiors in their lives; instead, they should honour them through intercession, so that they can receive the blessings of achieving great and successful lives.

(Genesis 3: 13-17; Romans 3:23; 2 Peter 2:14).

Imbuki ya lusumo lunulo, ilolile izumo. Ilizumo linilo, bhuli bhubhi ubho bhugampandika umunhu uyo wita mihayo ibhengwe kuli myaji okwe, nulu kuli ntale ungi uyo adimilile wasa bho myaji okwe.

Uyo ozung’wa ng’wunuyo, agitaga mihayo ya bhubhi, iyo abhagalekeja na bhanhu bhakwe, kunguno ya gwilanga nhungwa jabhubhi gubhitila kuli weyi. Hunagwene abhanhu, bhagayombaga giki, ‘izumo ligalandaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ozung’wa na ntale okwe, kunguno ibhengwe ilo ong’witila. Umunhu ng’wunuyo, agigalaga na miganiko mabhi, kunguno ya kulema kulomba bhulekejiwa bho bhuhubhi bhokwe, ukuli ntale okwe ng’wunuyo.

Uweyi opandika izumo ilo ligalandaga guti lya Adamu nu Eva, abho bhagamhubhila UMulungu, ubhazuma. Ilizumo linilo ligabhashigilaga abhanhu, kunguno ya bhuhubhi bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘izumo ligalandaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka gubhitila ibhengwe abhatale bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichobho, na gugwasha matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:13-17.

Warumi 3:23.

2Petro 2:14.

KISWAHILI: LAANA HUENEA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia kuenea kwa laana. Laana hiyo, ni ubaya unaompata mtu mwenye maneno au matendo ya dharau kwa mzazi wake, au mtu mwingine ambaye hushika nafasi ya mzazi wake.

Mtu huyo aliyelaniwa, hutenda maovu ambayo huwaambukiza pia wenzake tabia hiyo, kwa sababu ya kuyaiga matendo hayo maovu, kwenye maisha yake mtu huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘laana huenea.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyelaniwa na mkubwa wake kwa sababu ya dharau aliyo mfanyia. Mtu huyo, huwa na mawazo mengi kwa sababu ya kukataa kwake kuomba msamaha, kwa mkubwa wake huyo.

Yeye alipata laana inayoenea kwa wengine, kama ile ya Adamu na Eva, waliyoipata baada ya kumkosea Mungu. Laana hiyo, huwafikia watu kwa sababu ya ubaya wao wa kukosa utii kwa Mungu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘laana huenea.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwadharau wakubwa wao, katika maisha yao, badala yake wawaheshimu kwa kuombea, ili waweze kupata baraka za kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mwanzo 3:13-17.

Warumi 3:23.

2Petro 2:14.

tanzania

nkongo

ethiopia

567. ISAKA LYALALILWA NDAJI.

Imbuki ya kahayile kenaka ilolile bhulaji bho ndaji hisaka. Ubhulaji bho ndaji yiniyo bhugolechaga bhuheke bho likasa lyinilo, kunguno indaji yiniyo ilinkumuku umuchalo jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘isaka lyalalilwa ndaji.’

kahayile kenaka kagalenganijiyagwa kuchalo ijo jili na munhu uyo ali nkumuku, guti ng’hangi. Ichalo jinijo jigabhizaga na bhageni bhingi abho bhagajaga gujumona na gwigwa mihayo yakwe, kunguno umunhu ng’wunuyo alina bhudula bho gubhawila abhanhu imihayo iyo yizile, umukikalile kabho.

Umunhu ng’wunuyo, abhalomelaga abhanhu mihayo ya ng’wa Mulungu, kugiki bhaleke gwita yabhubhi, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhagadebhaga gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya kigalile kakwe, umunhu ng’wunuyo. Uweyi agabhizaga jigemelo ja gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayomga giki, ‘isaka lyalalilwa ndaji.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu,  gubhiza bhizang’holo ukubhageni bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichacho, na gupandika matwajo mingi, bho gubhambilija abhanhu abho bhali makoye, umuwikaji bhobho.

(Mwanzo 49:9; Kutoka 23:23; Mathayo 25:40; Ufunuo 5:5).

KISWAHILI: KICHAKA KILICHOLALIWA NA SHUJAA.

Chanzo cha msemo huu chaangalia ulalaji wa shujaa kwenye kichaka. Ulalaji huo, huonesha upekee wa kichaka hicho kilicholaliwa, kwa sababu ya umaarufu wa shujaa huyo kijijini hapo. Ndiyo maana watu husema, ‘kichaka kilicholaliwa na shujaa.’

Msemo huu hulinganishwa kwenye kijiji kicho na mtu maarufu kama kama vile nabii. Kijiji hicho, hupata wageni wengi ambao huenda pale kwa lengo la kumuona mtu huyo, na kusikia maneyo yake, nabii huyo mwenye uwezo wa kuwatabiria watu kuhusu maisha yajayo.

Mtu huyo huwaeleza watu maneno ya Mungu, ili waweze kuacha uovu, maishani mwao. Watu hufahamu namna ya kuishi vizuri na wenzao, kupitia mfano wa maisha yake nabii huyo. Yeye ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kuishi kwa amani maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kichaka kilicholaliwa na shujaa.’

Msemo huu hufundisha watu kuwa wakarimu kwa wageni wao maishani ili waweze kujifunza namna ya kuishi kwa amani na wenzao, kwa kuwasaidia wenye matatizo, kunakoweza kuwapatia baraka za kufanikiwa katika maisha.

(Mwanzo 49:9; Kutoka 23:23; Mathayo 25:40; Ufunuo 5:5).

isaka

 

ENGLISH: THE BUSH WHERE THE HERO SLEPT.

The basis of this saying is a hero’s sleep in a bush. The sleep depicts uniqueness of the bush, because of the hero’s fame in the village. That is why people say, ‘the bush where the hero slept.’

The saying is used comparatively to refer to a village where there is a famous person such as a prophet. To such a village, many visitors come for the purpose of seeing the prophet, and hear his/her predictions because the prophet is able to foresee their future.

That person tells the people about the word of God so they can turn away from evils in their lives. Because of this, people get to know how to live well with others, and can take the prophet’s life to be their role model. That is why people say, ‘the bush where the hero slept.’

The proverb teaches people to be hospitable to their guests in life, so that they can learn how to live in harmony with others, by helping those in need, through which they can the blessing of success in life.

(Genesis 49: 9; Exodus 23:23; Matthew 25:40; Revelation 5: 5).

566. KUMAJA USAJE UGUKUMYA NA HANGI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhubhoni bho ginhu ijo jilijagukamaja. Umunhu ulu ubhona ginhu ijo jili jigeni ukuliweyi, agakamalaga na gwandya gukumya. Hunagwene abhiye bhagang’wilaga giki, ‘kumaja usaje ugukumya na hangi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigwaga mhayo ngeni nulu gupya okumya mpaga obhitilija. Umunhu ng’wunuyo agadumaga nulu gusiminza chiza kunguno ya bhukumya bhokwe ubho mhayo gunuyo. Uweyi agabhizaga ugwiganika bhuli makanza umhayo gunuyo.

Aliyo lulu, ulu ubhona ginhu jingi ijipya, nulu ulu ugwigwa mhayo gungi ugupya gulebha ugogwandya, agakumyaga hangi kulebha nulu umo oliokumija igwandya. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘kumaja usaje ugukumya na hangi.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu guleka gukumya bho gubhitilija, kunguno imihayo iyagukumya idashilaga; kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, nulu bhabhonaga ginhu ijo jilipya, umukikalile kabho.

(Luka 4:36; Marko 1:21-28).

KISWAHILI: SHANGAA UBAKIZE, UTASHANGAA NA MARA NYINGINE.

Chanzo cha methali hii chatokea katika uonaji wa kitu kinachoshangaza. Mtu akiona kitu kile ambacho ni kigeni kwake, yeye hushangaa sana. Ndiyo maana wenzake humwambia kwamba, ‘shangaa ubakize, utashangaa na mara nyingine.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye husikia neno jipya na kushangaa kupita kiasi. Mtu huyo hushindwa hata kufanya kazi zake, au hata kutembea vizuri, kwa sababu ya kushangaa kwake huko. Yeye huendelea kukifikiria kitu hicho kila wakati.

Lakini basi, akiona kitu kingine ambacho ni kigeni kwake, hushangaa tena; mara hii zaidi ya namna alivyoshangaa mwanzoni. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘shangaa ubakize, utashangaa na mara nyingine.’

Methali hii hufundisha watu kuacha kushangaa kupita kiasi, kwa sababu mambo ya kushangaza huwa hayaishi, ili waweze kufanya kazi zao hata wanapoona kitu cha kushangaza maishani mwao.

(Luka 4:36; Marko 1:21-28).

namibia-himba

nkima umasai

 

ENGLISH: BE SURPRISED A LITTLE SO YOU WILL BE SURPRISED ANOTHER TIME.

The foundation of this proverb relates to sighting of something amazing. When someone sees something that is new to him/her, he/she gets very astonished. That is why his/her colleagues tell him/her, ‘Be surprised a little so you will be surprised another time.’

The proverb is used to any person who hears about or sees something new and and gets surprised abnormally. Such a person gets astonished to the point that he/she is unable to perform his/her duties, or even walk properly, because of the astonishment. He/she keeps recalling the thing every time.

However, on seeing something else that new to him/her, the person wonders again; this time more than he/she did at first. That is why people tell him/her, ‘be surprised a little so you will be surprised another time.’

This proverb teaches people to refrain from being overly surprised, because wonders shall never end, By so doing they can concentrate on their jobs, even when they see something wonderful in life.

(Luke 4:36; Mark 1: 21-28).

565. UYO AGUKOBHAGA GUGUBHONA AGAMANAGA UKO UZENGILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuchoji bho gumhona munhu nhebhe. Ulu munhu uhaya kumhona munhu nhebhe, agabhugilijaga ukubhanhu abho bhandebhile, mpaga umana uko azengile umunhu ng’wunuyo. Ulu udebha uko agikalaga, aguja koyi, kugiki agamhone gitumo ng’humbu yakwe ilintumila. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘uyo agukobhaga gugubhona agamanaga uko uzengile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga kikalile kawiza bho guhoya na bhanhu abho bhagitaga mihayo ya wiza umukikalile kabho. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho gudebha uko bhagikalilaga, na kuchola wasa bho guhoya nabho abhanhu bhenabho.

Uweyi adebhile isolobho ya kupandika bhulangwa bho gung’wambilija uguyibheja chiza ikaya yakwe, kubhitila muguhoya gokwe na bhanhu bhenabho abho bhalinikujo umuchalo jabho.

Umunhu ng’wunuyo agabhalanjaga abhiye isolobho ya guhoya na bhanhu abho bhali na mihayo ya gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘uyo agukobhaga gugubhona agamanaga uko uzengile.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gudebha guhoya chiza na bhanhu abho bhali na mihayo ya gwambilija ijinagujibheja chiza ikaya jabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhoho. Yigelelilwe bhabhachole abhichabho bhenabho kubhulingisilo bhusoga, bhadizubhachola kugiki bhabhalabhule.

(Warumi 16:24; 2Wakorintho 11:32; Marko 14:43-44; Luka 22:47-48; Yohana 18:1-3)

KISWAHILI: ATAFUTAYE KUKUONA HUFAHAMU UNAKOISHI.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye utafutaji wa kumwona mtu fulani. Mtu akitaka kumwona mtu fulani, hutumia muda wake kwa kuulizia kwa watu wanaomfahamu, hadi anapafahamu anapoishi mtu huyo. Akipafahamu, basi huenda kule anakoishi mtu huyo, na kuongea naye kama ilivyo nia yake hiyo. Ndiyo  maana watu husema kwamba, ‘atafutaye kukuona hufahamu unakoishi.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujifunza namna ya kuishi vizuri na watu, kwa kuongea na watu wenye maneno ya hekima. Mtu huyo hufanya utafiti wa kumwezesha kufahamu kule waliko watu kama hao. Akifahamu wanakoishi, hutafuta nafasi ya kuwatembelea, ili akaongee nao.

Yeye anafahamu faida ya kupata mafundisho yawezayo kumsaidia katika kuiendeleza vizuri familia yake, kupitia maongezi yake na watu hao wenye busara. Mtu huyo huwafundisha pia wenzake faida hizo za kuongea na watu wenye hekima katika maendeleo yao, na yale ya familia zao. Ndiyo maana watu  husema kwamba, ‘atafutaye kukuona hufahamu unakoishi.’

Msemo huo hufundisha watu kuelewa vizuri namna ya kuongea na watu wenye hekima ya kuziendeleza familia zao, ili waweze kupata mafanikio makubwa maishani mwao. Yafaa watu hao wawatafute watu hao wenye hekima kwa nia njema; wasiwatafute kwa nia mbaya.

(Warumi 16:24; 2Wakorintho 11:32; Marko 14:43-44; Luka 22:47-48; Yohana 18:1-3).

nkima o togo2

nkima ahakaya

ENGLISH: HE WHO WANTS TO SEE YOU KNOWS WHERE YOU LIVE.

The origin of this saying relates to the quest of seeing someone. When someone wants to see someone, they spend their time asking people who know them, until they know where that person lives. Realizing that, the searching individual goes to where the person lives, and talks to him/her about what he/she wants. That’s why people say, ‘he who wants to see you knows where you live.’

The saying is used comparatively to refer to a person who learns how to live well with others, by talking to wise people. The person does research to enlighten himself/herself on where to find such people. Knowing where they live, he/she creates opportunity to visit them, so he/she can talk to them.

He/she realizes the benefits of finding teachings that can help him/her improve the wellbeing of his/her family, through conversations with the wise people. The person also teaches his/her colleagues about the benefits of talking to wise people to their development and that of their families. That’s why people say, ‘he who wants to see you knows where you live.’

The saying teaches people to better understand the benefits of talking to wise people to the improvement of the wellbeing of their families, so that they can make the most of their lives. It is better for such people to search for the wise people, but with good intentions and not malicious intent.

(Romans 16:24; 2 Corinthians 11:32; Mark 14: 43-44; Luke 22: 47-48; John 18: 1-3).

564. HALUGANGA BHAGIKOBHAJA HO.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile wibhilingi bho bhanhu abho bhidebhile umukikalile kabho. Uwibhilingi bhunubho bhugabhinhaga wasa bho gwibhona na guhoya haluganga lumo abhanhu abho bhoya kale ugwibhona. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘haluganga bhagikobhaja ho.’

Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga halumo umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagisumbyaga ulu bhuhaya guhoyela mihayo ya gwitongela chiza. Umumahoya gabho, bhagadulaga uguyimala chiza imihayo yabho.

Abhanhu bhenabho, bhagiyambilija chiza ijinagujibheja chiza ikaya jabho. Abhoyi bhagabhizaga jimegelo ja gubhalanja abhichabho gwikala kihamo bho gwiyambilija chiza umubhutumami bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘haluganga bhagikobhaja ho.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu gwikala kihamo na bhichabho umutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.

(Zaburi 2:8; Waebrania 1:1-2).

KISWAHILI: WATU HUKUSANYIKA PALIPO NA KIKOME.

Chanzo cha msemo huu chaangalia mkusanyiko wa watu wanaofahamiana katika maisha yao. Mkusanyiko huo hutumika kwa kuwapatia nafasi ya kuonana na wenzao ambao hawajaonana kwa muda mrefu. Bila mkusanyiko huu, watu hawa wasingeweza kukutana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘watu hukusanyika palipo na kikome.’

Msemo huu hulinagnishwa kwa watu wale waishio kwa umoja katika maisha yao. Watu hao hukusanyika wakitaka kuongelea masuala yao ya kuongozana. Katika maongezi hayo, wao hupata nafasi ya kutatua matatizo mbalimbali yaliyojitokeza.

Watu hao husaidiana vizuri katika kuziendeleza familia zao. Wao huwa mfano wa kuigwa na wenzao kuishi katika umoja wa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana watu, husema kwamba, ‘watu hukusanyika palipo na kikome’

Msemo huo hufundisha watu kuishi kwa umoja wakisaidiana na wenzao katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

(Zaburi 2:8; Waebrania 1:1-2).

IMG_20190724_133618_4

bhanigini1

ENGLISH: WHERE THERE IS A FIRE, PEOPLE GATHER.

The foundation of this saying is a gathering of acquaintances that gives them a chance to meet their peers whom they have not met for a long time. Without such a gathering, they would have not met. That is why people say, ‘where there is a fire, people gather.’ This means that where there is something to discuss, people will always gather.

The saying is used comparatively to refer to those people who live together in their lives. These people gather to talk about their issues. Through these conversations, they get opportunity to solve a wide range of problems.

Such individuals help one another to better the welfare of their families. As such, they become role models for their peers by living in unity and by helping each other in executing their responsibilities. That is why people say, ‘where there is a fire, people gather.’

The saying teaches people to live in unity and to help each other in executing their responsibilities, so that they can better the welfare of their families.

(Psalm 2: 8; Hebrews 1: 1-2).