Imbuki ya kahayile kenako yilolile wibhilingi bho bhanhu abho bhidebhile umukikalile kabho. Uwibhilingi bhunubho bhugabhinhaga wasa bho gwibhona na guhoya haluganga lumo abhanhu abho bhoya kale ugwibhona. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘haluganga bhagikobhaja ho.’
Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagikalaga halumo umuwikaji bhobho. Abhanhu bhenabho bhagisumbyaga ulu bhuhaya guhoyela mihayo ya gwitongela chiza. Umumahoya gabho, bhagadulaga uguyimala chiza imihayo yabho.
Abhanhu bhenabho, bhagiyambilija chiza ijinagujibheja chiza ikaya jabho. Abhoyi bhagabhizaga jimegelo ja gubhalanja abhichabho gwikala kihamo bho gwiyambilija chiza umubhutumami bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘haluganga bhagikobhaja ho.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu gwikala kihamo na bhichabho umutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.
(Zaburi 2:8; Waebrania 1:1-2).
KISWAHILI: WATU HUKUSANYIKA PALIPO NA KIKOME.
Chanzo cha msemo huu chaangalia mkusanyiko wa watu wanaofahamiana katika maisha yao. Mkusanyiko huo hutumika kwa kuwapatia nafasi ya kuonana na wenzao ambao hawajaonana kwa muda mrefu. Bila mkusanyiko huu, watu hawa wasingeweza kukutana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘watu hukusanyika palipo na kikome.’
Msemo huu hulinagnishwa kwa watu wale waishio kwa umoja katika maisha yao. Watu hao hukusanyika wakitaka kuongelea masuala yao ya kuongozana. Katika maongezi hayo, wao hupata nafasi ya kutatua matatizo mbalimbali yaliyojitokeza.
Watu hao husaidiana vizuri katika kuziendeleza familia zao. Wao huwa mfano wa kuigwa na wenzao kuishi katika umoja wa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao. Ndiyo maana watu, husema kwamba, ‘watu hukusanyika palipo na kikome’
Msemo huo hufundisha watu kuishi kwa umoja wakisaidiana na wenzao katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.
(Zaburi 2:8; Waebrania 1:1-2).
ENGLISH: WHERE THERE IS A FIRE, PEOPLE GATHER.
The foundation of this saying is a gathering of acquaintances that gives them a chance to meet their peers whom they have not met for a long time. Without such a gathering, they would have not met. That is why people say, ‘where there is a fire, people gather.’ This means that where there is something to discuss, people will always gather.
The saying is used comparatively to refer to those people who live together in their lives. These people gather to talk about their issues. Through these conversations, they get opportunity to solve a wide range of problems.
Such individuals help one another to better the welfare of their families. As such, they become role models for their peers by living in unity and by helping each other in executing their responsibilities. That is why people say, ‘where there is a fire, people gather.’
The saying teaches people to live in unity and to help each other in executing their responsibilities, so that they can better the welfare of their families.
(Psalm 2: 8; Hebrews 1: 1-2).