567. ISAKA LYALALILWA NDAJI.

Imbuki ya kahayile kenaka ilolile bhulaji bho ndaji hisaka. Ubhulaji bho ndaji yiniyo bhugolechaga bhuheke bho likasa lyinilo, kunguno indaji yiniyo ilinkumuku umuchalo jinijo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘isaka lyalalilwa ndaji.’

kahayile kenaka kagalenganijiyagwa kuchalo ijo jili na munhu uyo ali nkumuku, guti ng’hangi. Ichalo jinijo jigabhizaga na bhageni bhingi abho bhagajaga gujumona na gwigwa mihayo yakwe, kunguno umunhu ng’wunuyo alina bhudula bho gubhawila abhanhu imihayo iyo yizile, umukikalile kabho.

Umunhu ng’wunuyo, abhalomelaga abhanhu mihayo ya ng’wa Mulungu, kugiki bhaleke gwita yabhubhi, umuwikaji bhobho. Abhanhu bhagadebhaga gwikala chiza na bhichabho, kunguno ya kigalile kakwe, umunhu ng’wunuyo. Uweyi agabhizaga jigemelo ja gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayomga giki, ‘isaka lyalalilwa ndaji.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu,  gubhiza bhizang’holo ukubhageni bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala bho mholele na bhichacho, na gupandika matwajo mingi, bho gubhambilija abhanhu abho bhali makoye, umuwikaji bhobho.

(Mwanzo 49:9; Kutoka 23:23; Mathayo 25:40; Ufunuo 5:5).

KISWAHILI: KICHAKA KILICHOLALIWA NA SHUJAA.

Chanzo cha msemo huu chaangalia ulalaji wa shujaa kwenye kichaka. Ulalaji huo, huonesha upekee wa kichaka hicho kilicholaliwa, kwa sababu ya umaarufu wa shujaa huyo kijijini hapo. Ndiyo maana watu husema, ‘kichaka kilicholaliwa na shujaa.’

Msemo huu hulinganishwa kwenye kijiji kicho na mtu maarufu kama kama vile nabii. Kijiji hicho, hupata wageni wengi ambao huenda pale kwa lengo la kumuona mtu huyo, na kusikia maneyo yake, nabii huyo mwenye uwezo wa kuwatabiria watu kuhusu maisha yajayo.

Mtu huyo huwaeleza watu maneno ya Mungu, ili waweze kuacha uovu, maishani mwao. Watu hufahamu namna ya kuishi vizuri na wenzao, kupitia mfano wa maisha yake nabii huyo. Yeye ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kuishi kwa amani maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kichaka kilicholaliwa na shujaa.’

Msemo huu hufundisha watu kuwa wakarimu kwa wageni wao maishani ili waweze kujifunza namna ya kuishi kwa amani na wenzao, kwa kuwasaidia wenye matatizo, kunakoweza kuwapatia baraka za kufanikiwa katika maisha.

(Mwanzo 49:9; Kutoka 23:23; Mathayo 25:40; Ufunuo 5:5).

isaka

 

ENGLISH: THE BUSH WHERE THE HERO SLEPT.

The basis of this saying is a hero’s sleep in a bush. The sleep depicts uniqueness of the bush, because of the hero’s fame in the village. That is why people say, ‘the bush where the hero slept.’

The saying is used comparatively to refer to a village where there is a famous person such as a prophet. To such a village, many visitors come for the purpose of seeing the prophet, and hear his/her predictions because the prophet is able to foresee their future.

That person tells the people about the word of God so they can turn away from evils in their lives. Because of this, people get to know how to live well with others, and can take the prophet’s life to be their role model. That is why people say, ‘the bush where the hero slept.’

The proverb teaches people to be hospitable to their guests in life, so that they can learn how to live in harmony with others, by helping those in need, through which they can the blessing of success in life.

(Genesis 49: 9; Exodus 23:23; Matthew 25:40; Revelation 5: 5).

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.