heritage

348. FUMBUKA AGALEKA CHUMA JAKWE ADAFULILE.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli munhu uyo witanagwa Fumbuka na b’ufuji bhokwe bho chuma. Ufumbuka olimfuji ochuma uyo wiganikaga giki, niogumala unimo gokwe gunuyo, bho gujifula pye chuma jakwe. Aliyo lulu, aginga kuwelelo haho atali uguimala imilimo yakwe yiniyo iyagub’eja chuma jakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Fumbuka agaleka chuma jakwe adafulile.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nduhu gunzunya, nulu gung’wisanya Mulungu. Umunhu ng’wunuyo adamanile igiki, Uwelelo adalindilaga munhu mpaga aimale imilimo yakwe, na ang’wizile. Gashinaga, Uweyi alinabhudula bho gung’wizile munhu ose ose, na kumakanza ayo atogilwe weyi.

Yigelelilwe abhanhu bhaitumame imilimo yabho, bho gunzunya na gung’wisanya Weyi, kunguno alina bhudula bho gubhizile makanza gose gose. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Fumbuka agaleka chuma jakwe adafulile.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kunzunya na gung’wisanya Mulungu, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gwikala gitumo atogelilwe Uweyi.

Mathayo 24: 37-39.

Luka 9:59-62.

2 Wakorintho 6:2.

KISWAHILI: FUMBUKA ALIACHA CHUMA CHAKE HAKUTENGENEZA

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu mmoja aitwaye Fumbuka na ufuaji wake wa chuma. Fumbuka alikuwa mfua vyuma aliyedhani kwamba angeimaliza kazi yake hiyo, kwa kufua vyuma vyake vyote. Lakini basi, mtu huyo aliaga dunia kabla ya kuimaliza kazi yake hiyo. Ndiyo maana watu wakasema kwamba, ‘Fumbuka aliacha chuma chake hakutengeneza.’

Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake bila kumwamini wala kumtegemea Mungu. Mtu huyo haelewi kwamba, Mungu hamsubili mtu mpaka amalize kazi zake, ndipo amchukue. Kumbe, Yeye anao uwezo wa kumchukua mtu yeyote na kwa wakati wowote, anaoutaka Yeye.

Yafaa watu wafanye kazi zao kwa kumwamini na kumtegemea Mungu, kwa sababu Yeye anao uwezo ya kuzifanikisha kazi zao hizo, na kuwachukua wakati autakao Yeye. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Fumbuka aliacha chuma chake hakutengeneza.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kumwamini na kumtegemea Mungu katika kazi zao, ili waweze kuishi kwa kadiri atakavyo Yeye, maishani mwao.

Mathayo 24: 37-39.

Luka 9:59-62.

2 Wakorintho 6:2.

old

 

ENGLISH: FUMBUKA LEFT HIS IRONS; HE DID NOT MAKE.

The origin of the above saying comes from a man named Fumbuka and his iron-making skill. Fumbuka was an iron-smith who thought he would finish his job by processing all his metals. Unfortunately, the man passed on before he could finish his work. This is why people say, ‘Fumbuka left his irons; he did not make.’

The saying is compared to a person who does his work without his/her trust in God. Such a person does not understand that God does not wait for anyone to finish his/her work, and then take him/her. God has the power to take anybody and at any time He wants to.

People should do their jobs by trusting in God because He has the power to accomplish their tasks and take them at the time He wants. This is why people say, ‘Fumbuka left his irons; he did not make.’

The above saying teaches people an idea of putting their trust in God in their daily works. People need to live according to the way God wants them to live.

Matthew 24: 37-39.

Luke 9: 59-62.

2 Corinthians 6: 2.

  

347. NDIMI JA B’ANAKALE JIGALEKA SUMO

Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku ndimi ja bhanhu bha kale. Indimi jinijo, galimahoya gabho umuwikaji bhobho. Umumahoya genayo, abhanhu abhingi abha kale b’agayileka mihayo iyo iliyambisila. Iyiniyo hiyo abhanhu abha haha duguyihoyelaga, kunguno ilina bhulangwa bhutale umukati yayo, iyo igitanagwa sumo. Gashinaga guligonhana igiki ‘ndimi ja b’anakale jigaleka sumo.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalegaka mmenho umuwikaji bhokwe. Immenho jinijo kalikalile kakwe ako kagab’ambilijaga abhiye umumakoye gabho, nu mub’uyegi bhobho. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugubhalunguja abhiye abho akagikalaga nabho. Uwikaji bhokwe bhuli shule ya gwilanga higulya ya gwikala bho mholele na abhanhu umuchalo jakwe. Alisawa ni ndimi ija bhanakale ijo jigaleka sumo, kunguno nang’hwe alileka bhulangwa bho gwikala chiza na bhanhu.

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka lumenho lo kikalile ka mholele na bhanhu umuchalo jabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji nu mubhutumami bhobho.

Yeremia 6:26.

Waebrania 1:1-2.

KISWAHILI: NDIMI ZA WANAZAMANI ZILIACHA METHALI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ndimi za watu wa zamani. Ndimi hizo, yalikuwa maongezi yao ya kila siku. Watu wengi hao watu wa zamani waliacha maneno yenye mafumbo fulani ndani yake, kupitia maongezi hayo. Maneno hayo ndizo methali tuzitumiazo, kwa sababu zina mafundisho makubwa ndani yake. Kumbe ni kweli kwamba, ‘ndimi za wanazamani ziliacha methali.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huacha alama maishani mwake. Alama hizo ni namna ya kuishi kwake mtu huyo, ambako huwasaidia wenzake katika kipindi cha furaha na cha matatizo. Mtu huyo afahamu kuwafariji wenzake walioko kwenye matatizo maishani mwao. Maisha yake mtu huyo ni shule ya kujifunza juu ya kuishi kwa amani na watu maishani. Yeye ni sawa na ndimi za wanazamani ambazo ziliacha methali, kwa sababu naye huacha alama ya kujifunza kuishi vizuri na watu.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha alama za kusaidia watu kuweza kuishi kwa amani katika vijiji vyao, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.

Yeremia 6:26.

Waebrania 1:1-2.

beautiful-elderly

 

ENGLISH: TONGUES OF THE OLD ONES LEFT OUT PROVERBS.

The origin of the above saying comes from tongues of ancestors. Those tongues were speaking words of wisdom in their daily conversations. Many of those ancestors left words with some parables in them. These words are the proverbs we use today because they have a great deal of teaching in them. Then, it is true that ‘tongues of the old ones left out proverbs.’

The saying is compared to someone who leaves a mark on his/her life. The mark or symbols left are a way of living of that person. People can be remembering him/her based on how he/she helped other people on ways to sustain the lives of others in happy and difficult times.

His/her life then becomes a school to learn about how to live in peace with people. He/she is like the old tongues that left out proverbs, a word of wisdom that shapes people’s daily lives. This is why people say, ‘tongues of old ones left out proverbs.’

The above saying teaches people about leaving marks that will help other people to have a decent life and finally have success in life.

Jeremiah 6:26.

Hebrews 1: 1-2.

346. DALEKAGWA B’UDA.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhulekwa bho bhanhu na b’uda. Ub’uda jilijisumva ijo jitogilwe gwikala mumapalala, na gubhaluma bhana ngoko bho gubhadamila ukuntwe na kusaga haho. Jigabhalumaga na abhanhu umumagulu. Ulu jubhalekela abhanhu bhenabho, bhadulile guyomba giki, ‘dalekagwa b’uda.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhalekwa na ng’wichabho adabhalangile nzila ja gwikala chiza na bhanhu. Abhanhu bhenabho, bhikalaga nawe umunhu ng’wunuyo chiza, na uliopandika sabho ningi, kunguno ya gwikala chiza na bhanhu. Aliyo lulu bhalibhadahayile ugulangwa mpaka bhajidebhe nzila jinijo, nowe umunhu ng’wunuyo ubhaleka, numo bhali. Hunagwene aho bhashoka gwizuka abhanhu bhenabho, bhagayomba giki, ‘dalekagwa b’uda.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulangwa nhungwa ja kikalile kiza, na bhanhu abho bhajidebhile inhungwa jinijo, haho bhatali ugubhaleka.

Matendo ya mitume 2:37-38.

KISWAHILI: TUMEACHWA VIROBOTO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye hali ya kuachwa na viroboto. Viroboto hivyo ni viumbe ambavyo hupenda kuishi kwenye uchafu, pia huuma kuku kichwani kwa kung’ang’ania hapo bila kuachia. Huwa vinauma pia watu miguuni. Vikiwaachia watu hao, huweza kusema kwamba, ‘tumechwa viroboto.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu walioachwa na mwenzao ambaye hakuwafundisha njia za kuishi vizuri na watu alizokuwa nazo. Watu hao, waliishi pamoja naye mtu huyo vizuri, na alifanikiwa sana katika maisha yake, kwa sababu hiyo ya kuishi kwake vizuri na watu. Lakini watu hao, hawakuutumia muda huo kwa kumuomba mtu huyo awafundishe njia hizo, mwishowe akawaacha, kama walivyo. Ndiyo maana walipokumbuka kwamba mtu huyo alikuwa na hazina nzuri kwao, walisema kwamba, ‘tumeachwa viroboto.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuutumia muda wao kwa kufundishwa njia zenye tabia njema, na watu waliozifahamu njia hizo, kabla watu hao hawajawaacha. Yafaa wautumie muda huo vizuri kwa ajili ya kujipatia hazina hiyo kubwa maishani mwao.

Matendo ya mitume 2:37-38.

festival

burials

 

ENGLISH: WE’RE LEFT FLEAS.

The source of the above saying comes from being left with nothing to progress in life. Fleas are insects that live in dirt. They also bite chicken and attack human beings. Because of their parasitic in nature human beings tend to remove them and when they leave the human feet, the people can say ‘we’re left fleas’.

This saying can be compared to people who are left by colleagues and these colleagues have never taught them how better they can live with neighbors. Such people can be very successful in life because of having good cooperation with others but other people around him/her have never taken trouble to ask him/her how better to live with others.

It is until when such a person leaves that they realize his/her importance in mobilizing others for the well-being of the society. When they remember his/her importance they can say ‘we’re left fleas.’

The proverb teaches people to spend their time in a more profitable way. They need to cooperate with others in order to ensure that everyone knows each other’s potentials in life and respect them accordingly.

Acts 2: 37-38.

345. HIMBA NDA JIZA NA JIZA JIDATUNG’WANAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile ginhu jiza. Yijiza yinijo jidulile gub’iza sab’o, nulu ginhu jose jose. Umunhu adulile gupandika sabho, aliyo ugayiwa abhana, nulu upandika abhana bhenabho, aliyo ugaiwa isab’o. Gudulile gwigela nzengo uyo gugaponaga jiliwa, aliyo gugaiwa aminzi. Hunagwene abhanhu bhagayombagaga giki, ‘hinba nda jiza na jiza jidatung’wanaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agongile gujisangila halumo, pye ijo jilijawiza. Umunhu ng’wunuyo ulu uhaya kuchola nulu nzengo, agamanaga uja ukwene, agasanga hamo jiliwa bhaponile abhanhu, aliyo badina minzi.

Abhanhu abho bhadebhile igiki ijiza jidatung’wanaga, bhagang’wilaga umunhu ajidimile ijawiza ijo alinajo, kunguno adiko gujisangila halumo pye ijo jilijawiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘hinba nda jiza na jiza jidatung’wanaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kulilang’hana chiza ijiza ijo bhalinajo, badizulindila gujisangila halumo pye ijo jijawiza, kunguno ijiza na jiza jidatung’wanaga.

Mathayo 6:24.

Luka 16:13.

KISWAHILI: PIGA TUMBO KIZURI NA KIZURI HAKIKUTANI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia kitu kizuri. Kitu hicho kizuri chaweza kuwa mali, au kitu chochote. Mtu aweza kupata mali, lakini akakosa watoto, au aweza kupata watoto, lakini akakosa mali. Chaweza kuwepo kijiji ambacho kina mazao mengi, lakini hakina maji.  Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘piga tumbo kizuri na kuzuri hakikutani.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye hutaka kuvikuta vizuri vyote vikiwa pamoja. Akitaka kutafuta makazi mtu huyo, hutembelea sehemu mbalimbali, ambako hukikuta kizuri kimoja na kingine hukosekana.

Watu waelewao kwamba, kizuri na kizuri hakikutani, humsahauri mtu huyo juu ya kukitunza kizuri alicho nacho, badala ya kuzunguka huko na huko akitaka kuvikuta vizuri vyote vikiwa pamoja. Ndiyo maana watu husema, ‘piga tumbo kizuri na kizuri hakikutani.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kukitunza kizuri walicho nacho, wasisubiri kwamba watavikuta vizuri vyote vikiwa pamoja, kwa sababu kizuri na kizuri hakikutani.

Mathayo 6:24.

Luka 16:13.

ngorongoro

pears

 

ENGLISH: GOOD THINGS NEVER MEET.

The source of this proverb is looking at something that is good or beautiful. Good things are the ones that give pleasure to people. These good things do not always come at once. You can have wealth but fail to have children, having a lot of produce but no water, etc. This is why people say, ‘good things never meet’.

The proverb can be compared to someone who wants to get all good things at once. Such people can be in trouble of traveling in search for good things that can be obtained within the same locality. People who understand the meaning of this proverb can advise them by saying that ‘good things never meet.

The proverb teaches people to take good care of what they have. They don’t have to expect that they will find all good or beautiful things at a go.

Matthew 6:24.

Luke 16:13.

344. NG’WANANGWA IDASHILAGA

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwilangi bho ginhu jipya. Uwilangi bhunubho bhukomile gumpandika umunhu kumakanza gose gose, ib’ize hab’undoo, nulu habhutale bhokwe. Hangi umunhu ng’wunuyo nulu agasoma mpaka umala amasomo gakwe, adubhiza giki, wilangaga pye uyimala impya, igub’iza yilihoyi duhu yiyo atali uguimana. Adulile gulangwa ginhu jipya na munhu uyo adasomile nulu hadoo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wanangwa idashilaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalinawidohya bho kuzunya kulangwa na bhichabho, abho bhagikalaga nabho. Gashinaga umunhu nulu agab’iza ntale, gugikalaga gulihoyi duhu umhayo uyo adagumanile na agulangwa. Hunagwene abhanhu bhagayomgaga giki, ‘ng’wa nangwa idashilaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu hugulya ya kub’iza na widohya bho gubhambilija guzunya gulangwa nabhichab’o, iyo bhatali uguyimana, kunguno i‘ng’wanangwa idashilaga.’

Mathayo 6:7-9.

Luka 11:1-4.

Mathayo 13:54.

KISWAHILI: YAKUFUNDISHWA HAYAISHI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ufundishwaji wa kitu kipya. Ufundishwa huo, waweza kumfikia mtu wakati wowote, akiwa kijana au mzee. Tena mtu huyo hata asome namna gani, hataweza kuyamaliza yote yakujifunza, kitakuwepo tu kile ambacho yeye hakifahamu. Aweza kufundisha kitu hicho kipya, hata na mtu aliye mdogo ambaye hategemewi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘yakufundishwa hayaishi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao wana unyenyekevu wa kukubali kufundishwa kitu kipya na wenzao waishio nao. Kumbe, mtu hata awe mkubwa kiasi gani, au amesoma hadi kiwango cha juu zaidi, yatakuwepo tu yale ambayo yeye hayafahamu. Ndiyo maana watu husema, ‘yakufundishwa hayaishi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwawezesha kukubali kufundishwa na wenzao, yale ambayo hawajayafamu, kwa sababu, ‘yakufundishwa hayaishi.’

Mathayo 6:7-9.

Luka 11:1-4.

Mathayo 13:54.

teacher

ENGLISH: EDUCATION HAS NO END.

The source of the above proverb comes from the teaching of something new. Knowledge has no age. No one can claim to know each and everything on earth. One can be taught by any other person regardless of age differences and education level. This is why people say, ‘education has no end.’

The proverb can be compared to people who have the humility to accept teaching from others regardless of education level and age differences.

The proverb teaches people to have humility that allows them to accept teaching and training from others in order to get knowledge that they are lacking.

Matthew 6: 7-9.

Luke 11: 1-4.

Matthew 13:54.