Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhulekwa bho bhanhu na b’uda. Ub’uda jilijisumva ijo jitogilwe gwikala mumapalala, na gubhaluma bhana ngoko bho gubhadamila ukuntwe na kusaga haho. Jigabhalumaga na abhanhu umumagulu. Ulu jubhalekela abhanhu bhenabho, bhadulile guyomba giki, ‘dalekagwa b’uda.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhalekwa na ng’wichabho adabhalangile nzila ja gwikala chiza na bhanhu. Abhanhu bhenabho, bhikalaga nawe umunhu ng’wunuyo chiza, na uliopandika sabho ningi, kunguno ya gwikala chiza na bhanhu. Aliyo lulu bhalibhadahayile ugulangwa mpaka bhajidebhe nzila jinijo, nowe umunhu ng’wunuyo ubhaleka, numo bhali. Hunagwene aho bhashoka gwizuka abhanhu bhenabho, bhagayomba giki, ‘dalekagwa b’uda.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gulangwa nhungwa ja kikalile kiza, na bhanhu abho bhajidebhile inhungwa jinijo, haho bhatali ugubhaleka.
Matendo ya mitume 2:37-38.
KISWAHILI: TUMEACHWA VIROBOTO
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye hali ya kuachwa na viroboto. Viroboto hivyo ni viumbe ambavyo hupenda kuishi kwenye uchafu, pia huuma kuku kichwani kwa kung’ang’ania hapo bila kuachia. Huwa vinauma pia watu miguuni. Vikiwaachia watu hao, huweza kusema kwamba, ‘tumechwa viroboto.’
Msemo huo hulinganishwa kwa watu walioachwa na mwenzao ambaye hakuwafundisha njia za kuishi vizuri na watu alizokuwa nazo. Watu hao, waliishi pamoja naye mtu huyo vizuri, na alifanikiwa sana katika maisha yake, kwa sababu hiyo ya kuishi kwake vizuri na watu. Lakini watu hao, hawakuutumia muda huo kwa kumuomba mtu huyo awafundishe njia hizo, mwishowe akawaacha, kama walivyo. Ndiyo maana walipokumbuka kwamba mtu huyo alikuwa na hazina nzuri kwao, walisema kwamba, ‘tumeachwa viroboto.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuutumia muda wao kwa kufundishwa njia zenye tabia njema, na watu waliozifahamu njia hizo, kabla watu hao hawajawaacha. Yafaa wautumie muda huo vizuri kwa ajili ya kujipatia hazina hiyo kubwa maishani mwao.
Matendo ya mitume 2:37-38.
ENGLISH: WE’RE LEFT FLEAS.
The source of the above saying comes from being left with nothing to progress in life. Fleas are insects that live in dirt. They also bite chicken and attack human beings. Because of their parasitic in nature human beings tend to remove them and when they leave the human feet, the people can say ‘we’re left fleas’.
This saying can be compared to people who are left by colleagues and these colleagues have never taught them how better they can live with neighbors. Such people can be very successful in life because of having good cooperation with others but other people around him/her have never taken trouble to ask him/her how better to live with others.
It is until when such a person leaves that they realize his/her importance in mobilizing others for the well-being of the society. When they remember his/her importance they can say ‘we’re left fleas.’
The proverb teaches people to spend their time in a more profitable way. They need to cooperate with others in order to ensure that everyone knows each other’s potentials in life and respect them accordingly.
Acts 2: 37-38.