Imbuki ya kahayile kenako yingilile ku ndimi ja bhanhu bha kale. Indimi jinijo, galimahoya gabho umuwikaji bhobho. Umumahoya genayo, abhanhu abhingi abha kale b’agayileka mihayo iyo iliyambisila. Iyiniyo hiyo abhanhu abha haha duguyihoyelaga, kunguno ilina bhulangwa bhutale umukati yayo, iyo igitanagwa sumo. Gashinaga guligonhana igiki ‘ndimi ja b’anakale jigaleka sumo.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalegaka mmenho umuwikaji bhokwe. Immenho jinijo kalikalile kakwe ako kagab’ambilijaga abhiye umumakoye gabho, nu mub’uyegi bhobho. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugubhalunguja abhiye abho akagikalaga nabho. Uwikaji bhokwe bhuli shule ya gwilanga higulya ya gwikala bho mholele na abhanhu umuchalo jakwe. Alisawa ni ndimi ija bhanakale ijo jigaleka sumo, kunguno nang’hwe alileka bhulangwa bho gwikala chiza na bhanhu.
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka lumenho lo kikalile ka mholele na bhanhu umuchalo jabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji nu mubhutumami bhobho.
Yeremia 6:26.
Waebrania 1:1-2.
KISWAHILI: NDIMI ZA WANAZAMANI ZILIACHA METHALI
Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ndimi za watu wa zamani. Ndimi hizo, yalikuwa maongezi yao ya kila siku. Watu wengi hao watu wa zamani waliacha maneno yenye mafumbo fulani ndani yake, kupitia maongezi hayo. Maneno hayo ndizo methali tuzitumiazo, kwa sababu zina mafundisho makubwa ndani yake. Kumbe ni kweli kwamba, ‘ndimi za wanazamani ziliacha methali.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huacha alama maishani mwake. Alama hizo ni namna ya kuishi kwake mtu huyo, ambako huwasaidia wenzake katika kipindi cha furaha na cha matatizo. Mtu huyo afahamu kuwafariji wenzake walioko kwenye matatizo maishani mwao. Maisha yake mtu huyo ni shule ya kujifunza juu ya kuishi kwa amani na watu maishani. Yeye ni sawa na ndimi za wanazamani ambazo ziliacha methali, kwa sababu naye huacha alama ya kujifunza kuishi vizuri na watu.
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha alama za kusaidia watu kuweza kuishi kwa amani katika vijiji vyao, ili waweze kupata mafanikio mengi maishani mwao.
Yeremia 6:26.
Waebrania 1:1-2.
ENGLISH: TONGUES OF THE OLD ONES LEFT OUT PROVERBS.
The origin of the above saying comes from tongues of ancestors. Those tongues were speaking words of wisdom in their daily conversations. Many of those ancestors left words with some parables in them. These words are the proverbs we use today because they have a great deal of teaching in them. Then, it is true that ‘tongues of the old ones left out proverbs.’
The saying is compared to someone who leaves a mark on his/her life. The mark or symbols left are a way of living of that person. People can be remembering him/her based on how he/she helped other people on ways to sustain the lives of others in happy and difficult times.
His/her life then becomes a school to learn about how to live in peace with people. He/she is like the old tongues that left out proverbs, a word of wisdom that shapes people’s daily lives. This is why people say, ‘tongues of old ones left out proverbs.’
The above saying teaches people about leaving marks that will help other people to have a decent life and finally have success in life.
Jeremiah 6:26.
Hebrews 1: 1-2.