Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli munhu uyo witanagwa Fumbuka na b’ufuji bhokwe bho chuma. Ufumbuka olimfuji ochuma uyo wiganikaga giki, niogumala unimo gokwe gunuyo, bho gujifula pye chuma jakwe. Aliyo lulu, aginga kuwelelo haho atali uguimala imilimo yakwe yiniyo iyagub’eja chuma jakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Fumbuka agaleka chuma jakwe adafulile.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo yakwe bho nduhu gunzunya, nulu gung’wisanya Mulungu. Umunhu ng’wunuyo adamanile igiki, Uwelelo adalindilaga munhu mpaga aimale imilimo yakwe, na ang’wizile. Gashinaga, Uweyi alinabhudula bho gung’wizile munhu ose ose, na kumakanza ayo atogilwe weyi.
Yigelelilwe abhanhu bhaitumame imilimo yabho, bho gunzunya na gung’wisanya Weyi, kunguno alina bhudula bho gubhizile makanza gose gose. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Fumbuka agaleka chuma jakwe adafulile.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kunzunya na gung’wisanya Mulungu, umubhutumami bhobho, kugiki bhadule gwikala gitumo atogelilwe Uweyi.
Mathayo 24: 37-39.
Luka 9:59-62.
2 Wakorintho 6:2.
KISWAHILI: FUMBUKA ALIACHA CHUMA CHAKE HAKUTENGENEZA
Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu mmoja aitwaye Fumbuka na ufuaji wake wa chuma. Fumbuka alikuwa mfua vyuma aliyedhani kwamba angeimaliza kazi yake hiyo, kwa kufua vyuma vyake vyote. Lakini basi, mtu huyo aliaga dunia kabla ya kuimaliza kazi yake hiyo. Ndiyo maana watu wakasema kwamba, ‘Fumbuka aliacha chuma chake hakutengeneza.’
Msemo huyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi zake bila kumwamini wala kumtegemea Mungu. Mtu huyo haelewi kwamba, Mungu hamsubili mtu mpaka amalize kazi zake, ndipo amchukue. Kumbe, Yeye anao uwezo wa kumchukua mtu yeyote na kwa wakati wowote, anaoutaka Yeye.
Yafaa watu wafanye kazi zao kwa kumwamini na kumtegemea Mungu, kwa sababu Yeye anao uwezo ya kuzifanikisha kazi zao hizo, na kuwachukua wakati autakao Yeye. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Fumbuka aliacha chuma chake hakutengeneza.’
Msemo huo hufundisha watu juu ya kumwamini na kumtegemea Mungu katika kazi zao, ili waweze kuishi kwa kadiri atakavyo Yeye, maishani mwao.
Mathayo 24: 37-39.
Luka 9:59-62.
2 Wakorintho 6:2.
ENGLISH: FUMBUKA LEFT HIS IRONS; HE DID NOT MAKE.
The origin of the above saying comes from a man named Fumbuka and his iron-making skill. Fumbuka was an iron-smith who thought he would finish his job by processing all his metals. Unfortunately, the man passed on before he could finish his work. This is why people say, ‘Fumbuka left his irons; he did not make.’
The saying is compared to a person who does his work without his/her trust in God. Such a person does not understand that God does not wait for anyone to finish his/her work, and then take him/her. God has the power to take anybody and at any time He wants to.
People should do their jobs by trusting in God because He has the power to accomplish their tasks and take them at the time He wants. This is why people say, ‘Fumbuka left his irons; he did not make.’
The above saying teaches people an idea of putting their trust in God in their daily works. People need to live according to the way God wants them to live.
Matthew 24: 37-39.
Luke 9: 59-62.
2 Corinthians 6: 2.