Folklore

473. WINGA BHO MISHANGO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile wingi bho ng’wa munhu, ubho bhuli bho mishango, nulu bho wangu wangu.  Uwingi bhunubho, bhudulile gubhiza bho guja akunhu alipela, nulu bhoguja agusiminzaga. Uwingi bhunubho, hubho bhuli bho mishango. Hunagwene abhanhu abho obhaleka, bhagayombaga giki, umunhu ng’wunuyo, ‘winga bho mishango.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu, uyo otabhanyiyagwa mhayo, nulu nimo uyo guli ndito, wiyangula gwinga hoyi. Umunhu ng’wunuyo, agadumaga umowitile, hunagwene agiyangulaga gwinga hoyi, kunguno ogulemelagwa umhayo, nulu unimo gunuyo. Hunagwene abhanhu abhanganhayaga giki, ‘winga bho mishango.’

Akahahile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guchola nzila ja gugamala chiza, amakoye ayo bhalinago, gutinda ugugapela, kugiki bhadule gujibheja chiza, ikaya jabho.

Mathayo 2:13-15.

Kutoka 2:11 – 15.

Mwanzo 27:41 – 45.

KISWAHILI: AMETOKA MKIKIMKIKI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uondokaji wa mtu ambao ni wa kazi kutoka sehemu aliyokuwepo. Uondokaji huo, waweza kuwa wa kukimbia, au wa kutembea kwa haraka. Uondoka wa anina hiyo, ndio unaoitwa wa mkikimkiki. Ndiyo maana watu wale aliowaacha mtu huyo, husema, ‘ameondoka mkikimkiki.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ameelemewa na tatizo au neno fulani, ambalo ni zito kwake, mpaka akaamua kuondoka. Mtu huyo, hushindwa kugundua njia nyingine ya kulitatulia tatizo hilo. Hali hiyo, husababisha kwake kufikia uamuzi wa kutoka kwa kazi, kwa sababu ya kulemewa na tatizo au kazi hiyo. Ndiyo maana, watu husema juu ya mtu huyo, kwamba, ‘ameondoka mkikimkiki.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kutafuta njia za kuyatatua vizuri matatizo waliyonayo, badala ya kuyakimbia, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Mathayo 2:13-15.

Kutoka 2:11 – 15.

Mwanzo 27:41 – 45.

bhalindi bha bhabhumbi

male1

ENGLISH: ONE HAS LEFT HERE HASTLY.

The origin of the above saying is the forced departure of a person from a certain place. The departure can be through running or walking. This forced departure of an individual can make people describe it using the saying that ‘one has left here hastly.’

The saying can be compared to a person who is burdened with a problem or word, which is too heavy for him to bear until he decides to quit from it. This person might be unable to find ways to solve it as a result he/she can force himself/herself to quit the place.

The saying teaches people about having patience in order to allow them to find ways to better solve their problems. Running away from them does not help to solve them.

Matthew 2: 13-15.

Exodus 2:11 – 15.

Genesis 27:41 – 45.

472. DALI NAWE HAHA DUHU WINGA KAB’ALAKA.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile munhu uyo alihoya na bhiye kihamo. Umunhu ng’wunuyo, ulu winga kakanza kadoo ukunhu alisendamila gushoka ahabhiye henaho, agahayiyagwa giki, wingaga kab’alaka. Hunagwene  abhiye abho olinabho bhenabho, bhagayombaga giki ‘dali nawe haha duhu winga kab’alaka.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagatumamaga milimo yabho kihamo, na bhowiyigwi bhutale. Abhanhu bhenabho, bhagilagaga ulu umo obho uhaya gwinga hoyi.

Abho obhalekaga, bhaganindilaga bho wisagiji ung’wichabho ng’wunuyo, kunguno, bhamanile igiki agushoga duhu umumilimo yabho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagayombaga giki, ‘dali nawe haha duhu winga kab’alaka.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kugutumama milimo yabho kihamo, na gulindila bho wisagiji, amafumilo ga milimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho.

Yohana 16:16 – 20.

KISWAHILI: TULIKWA NAYE AMEONDOKA HIVI KARIBUNI.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwa mtu aliyekuwa anaongea pamoja na wenzake, akaondoka kwa muda. Mtu huyo akiondoka kwa dharua huku akitegemea kurudi baadaye, huelezewa kwamba, ameondoka hivi karibuni. Ndiyo maana wenzake aliowaaha hapo, husema kwamba, ‘tulikuwa naye ameondoka hivi karibuni.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao hufanya kazi zao kwa pamoja, na kwa uelewano mkubwa. Watu hao, huagana endapo mmoja wao akitaka kuondoka hapo.

Wale aliowaacha humsubiri kwa matumaini, kwa sababu wanaelewa kwamba, atarudi ili waweze kuendelea na majukumu yao pamoja. Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘tulikuwa naye ameondoka hivi karibuni.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kufanya kazi zao kwa umoja, na kusubiri kwa matumaini, matokeo ya kazi zao hizo, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao.

Yohana 16:16 – 20.

bhakima walitumama milimo

african-woman-

ENGLISH: WE WERE WITH HIM; HE HAS LEFT JUST NOW.

The source of the saying is coming from a person who was talking with his colleagues then left for a while. When the person leaves the scene with an expectation to return later, it is explained that he has left just now. That’s why his/her friends will say, ‘we were with him; he has left just now.’

The saying can be compared to those people who do their jobs together and with great harmony.

Those he/she has left will wait for him/her with hope, because they understand that he/she will return soon to carry on their responsibilities together. That’s why those people can say, ‘we were with him; he has left just now.’

The saying teaches people about doing their jobs together. This can enable them to finish their works on time and in a successful manner.

John 16:16 – 20.

471. LIMI LYAFUNGA BHACHILU.

Imbuki ya lusumo lunulo yilolile limi na bhuchilu bho bhanhu. Ubhuchilu bhunubho, bhugabhizaga bho likanza lya limi. Ulu lyusalalila ilimi linilo, abhanhu bhagoyaga nulu guitumama imilimo yabho, kunguno ya kuduma ugubhona chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘limi lyafunga bhachilu.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alintumami gete o milimo. Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yiniyo, bho bhukamu bhutale, gwingila aho ligafumilaga ilimi, mpaga aho ligagwilaga.

Uweyi agalenganijiyagwa na munhu uyo alimchilu, uyo agafungagwa limi, kunguno nang’hwe, agatumamaga milimo, mpaga, agafungagwa limi duhu. Uweyi agatumamaga milimo mpaga oya ugulibhona ilimi, huna ogodoka, ukumilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘limi lyafunga bhachilu.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza bhakamu bha gutumama milimo, kugiki bhadule gubhiza na matwajo mingi, ayo gadulile gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Yahane 9:4.

Mathayo 11:12.

Joshua 10:12-15.

KISWAHILI:JUA LILIAMUA WAKALI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia ukali wa watu. Ukali huo huwa unakuwepo wakati wa mchana, jua likiwepo. Jua hilo likizama, watu huacha hata kufanya kazi zao, kwa sababu ya kushindwa kuona vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘jua liliamua wakali.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye ni mchapa kazi kweli. Mtu huyo hufanya kazi zake hizo, kwa bidii kubwa, yaani huanzia wakati wa mawio ya jua, hadi machweo yake.

Yeye hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ni mkali aliyeamliwa na jua, kwa sababu naye, hufanya kazi kwa bidii kubwa, kuanzia asubuhi, mpaka jioni, anapoamuliwa na jua. Mtu huyo, hufanya kazi mpaga anaacha kuliona jua, ndipo anaondoka kazini kwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘jua liliamua wakali.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi, ili waweze kupata mafanikio mengi, yawezayo kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwao.

Yahane 9:4.

Mathayo 11:12.

Joshua 10:12-15.

woman-nimi

ENGLISH: THE SUN DECIDED ON THE FURIOUS ONES.

The source of this proverb is the zeal of people. People can always show zeal during day time. When the sun goes down, people stop even doing their jobs, because they can’t see properly. That is why people can say ‘the sun decided on the furious ones.’

The proverb can be compared to a person, for example, an artist who performs his/her duties with great diligence, that is, from sunrise to sunset. Such a person, in his/her work, the sun determines his/her ability and to describe such a person one can use the proverb that ‘the sun decided on the furious one.’

This proverb teaches people to work hard so that they can achieve many successes. Those successes can help to better off their lives and for the better future.

John 9: 4.

Matthew 11:12.

Joshua 10: 12-15.

470. ULAFUNDA LUGE LWA NGOKO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile luge lo ngoko, ulo luli ludoo gete. Aliyo kihamo nu bhudoo bhunubho, umunhu adulile gubhiza na ginhu jitale, ubhiza adinalo uluge lunulo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ulafunda luge lwa ngoko.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinsabhi, aliyo agagayiyagwa ginhu jidoo noyi, guti nu luge lo ngoko lunulo. Umunhu ng’wunuyo, nulu agabhiza nsabhi ntale naginehe, jigwigela duhu ijikolo ijo agubhiza adinajo, ahakaya yakwe, nulu jidoo.

Ijikolo ijo alijigayiwa aha ng’wakwe henaho, hijo jikolile na luge lunulo, ulo ngoko. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ulafunda luge lwa ngoko.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gudula gubhambilija gwikala kihamo, abhasabhi na bhahabhi, kugiki bhuli ng’wene adule kupandika gufumila kuli ng’wiye ijo adinajo, umuwikaji bhobho.

Yakobo 1:9-15.

Yakobo 2:5-7.

Ufunuo 3:17.

KISWAHILI: UTAKOSA MSHIPA WA KUKU

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mshipa wa kuku, ambao ni mdogo kabisa. Lakini pamoja na udogo wa mshipa huo, mtu aweza kuwa na vitu vikubwa, akawa hana mshipa huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘utakosa mshipa wa kuku.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri, lakini hukosa kitu kidogo sana, kama mshipa huo wa kuku. Mtu huyo, hata awe tajiri mkubwa kiasi gani, kitakuwepo tu, kitu kile ambacho hatakuwa na nacho, katika familia yake.

Kitu hicho, akikosacho kwakwe mtu huyo, ndicho hicho kifananacho na mshipa ule wa kuku. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘utakosa mshipa wa kuku.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwawezesha matajiri na maskini, kuishi pamoja, ili kile anachokikosa mmoja wao, aweze kukipata kutoka kwa mwenzake, maishani mwao.

Yakobo 1:9-15.

Yakobo 2:5-7.

Ufunuo 3:17.

chicken-

ENGLISH: YOU WILL FAIL TO HAVE A CHICKEN VEIN.

The source of the saying is the vein of a chicken. This vein is considered to be very small in size. Despite its small size it has its own importance for the survival of the chicken. One can have a lot of properties but fail to have a very small item which is very essential in his/her life. This is why people can tell such a person that ‘you will fail to have a chicken vein’ to communicate the message that human beings cannot easily have self-sufficiency in life.

The saying can be compared to a rich man who claims to be self-sufficient in terms of possession of properties but, in actual fact, he may be missing some small items which are more important in his life.

This saying teaches people about humility by advicing rich individuals not to despite their poor counterpart rather consider them as fellow individuals who might be having some abilities that are not found in the rich fellows. Humility can enable them have peace and love.

James 1: 9-15.

James 2: 5-7.

Revelation 3:17.

469. NTUNGA JILEMEJIJE AGATUNGAGA WIMILILE.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhutungi bho ginhu, ijo jilemejiwe ugutumamilwa. Untungi o ginhu jinijo, agatungaga ukunu wimilile, kugiki adule gupela wangu, ulu bhumhona abhanikili, nulu abho bhajilemejije. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ntunga jilemejije agatungaga wimilile.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu, uyo atogilwe gwita mihayo ya bhubhi, umukalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiitaga iyo iliyabhubhi yiniyo, ukunu wimilile shangu na gupela, kunguno igabhizaga ilemejiwe imihayo yiniyo.

Uweyi agalenganijiyagwa nu ntunga jilemejije, kunguno nang’hwe agiitaga imihayo iyo ilemejije iyabhubhi yiniyo, ukunu alibihi na kupela, ulu bhumhona abho bhayilemejije. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘ntunga jilemejije agatungaga wimilile.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kuleka gwita ya bhubhi, kugiki bhadule gujidimila chiza isheria jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 4:8-9.

Mathayo 27:3-4.

KISWAHILI: MFUNGAJI WA KILICHOKATAZWA HUFUNGA AKIWA AMESIMAMA

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia ufungaji wa kitu kilichokatazwa kutumiwa. Umfungaji wa kitu hicho, hufunga huku akiwa amesimama, ili aweze kukimbia kwa haraka, wakimuona wale waliokikataza kutumiwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mfungaji wa kilichotazwa hufunga akiwa amesimama.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule apendaye kufanya maovu katika mwenendo wake. Mtu huyo, huyafanya maovu hayo huku akiwa amesimama tayari kwa kukimbia, kwa sababu anafahamu kwamba hayo, yamekatazwa katika jamii.

Yeye hulinganishwa na mfungaji wa kitu kilichokatazwa, afungaye huku akiwa amesimama, kwa sababu, naye huyafanya maovu hayo, kwa kuibia akiwa tayari kukimbia wakati wowote, wakimuona wale wahusikao na sheria ikatazayo maovu hayo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘mfungaji wa kilichotazwa hufunga akiwa amesimama.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kufanya maovu katika jamii, ili waweze kuishi kwa kufuata sheria za maeneo yao, katika maisha yao.

Mwanzo 4:8-9.

Mathayo 27:3-4.

fishing

angry women

ENGLISH: HE WHO FASTENS WHAT IS FORBIDDEN WILL DO IT WHILE STANDING.

The source of this proverb is someone who fastens something in the environment where doing such a fastening activity is forbidden. Such a person is likely to fasten it while standing for fear of being caught by those who forbade the doing of the activity of fastening. This is why people can describe this scenario using the proverb that ‘he who fastens what is forbidden will do it while standing.’

The proverb can be likened to a man who loves to do evils in his life. This person can be doing those evils with a lot of attention because he knows that he can be caught any time therefore he has to be ready to run fast to free himself from being beaten.

The proverb teaches people about giving up bad habits in the society. This will enable them to have a better society where people love each other.

Genesis 4: 8-9.

Matthew 27: 3-4.