Imbuki ya lusumo lunulo yilolile limi na bhuchilu bho bhanhu. Ubhuchilu bhunubho, bhugabhizaga bho likanza lya limi. Ulu lyusalalila ilimi linilo, abhanhu bhagoyaga nulu guitumama imilimo yabho, kunguno ya kuduma ugubhona chiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘limi lyafunga bhachilu.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu, uyo alintumami gete o milimo. Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yiniyo, bho bhukamu bhutale, gwingila aho ligafumilaga ilimi, mpaga aho ligagwilaga.
Uweyi agalenganijiyagwa na munhu uyo alimchilu, uyo agafungagwa limi, kunguno nang’hwe, agatumamaga milimo, mpaga, agafungagwa limi duhu. Uweyi agatumamaga milimo mpaga oya ugulibhona ilimi, huna ogodoka, ukumilimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘limi lyafunga bhachilu.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza bhakamu bha gutumama milimo, kugiki bhadule gubhiza na matwajo mingi, ayo gadulile gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.
Yahane 9:4.
Mathayo 11:12.
Joshua 10:12-15.
KISWAHILI:JUA LILIAMUA WAKALI.
Chanzo cha methali hiyo, chaangalia ukali wa watu. Ukali huo huwa unakuwepo wakati wa mchana, jua likiwepo. Jua hilo likizama, watu huacha hata kufanya kazi zao, kwa sababu ya kushindwa kuona vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘jua liliamua wakali.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule, ambaye ni mchapa kazi kweli. Mtu huyo hufanya kazi zake hizo, kwa bidii kubwa, yaani huanzia wakati wa mawio ya jua, hadi machweo yake.
Yeye hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ni mkali aliyeamliwa na jua, kwa sababu naye, hufanya kazi kwa bidii kubwa, kuanzia asubuhi, mpaka jioni, anapoamuliwa na jua. Mtu huyo, hufanya kazi mpaga anaacha kuliona jua, ndipo anaondoka kazini kwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘jua liliamua wakali.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi, ili waweze kupata mafanikio mengi, yawezayo kuziendeleza vizuri, familia zao, maishani mwao.
Yahane 9:4.
Mathayo 11:12.
Joshua 10:12-15.
ENGLISH: THE SUN DECIDED ON THE FURIOUS ONES.
The source of this proverb is the zeal of people. People can always show zeal during day time. When the sun goes down, people stop even doing their jobs, because they can’t see properly. That is why people can say ‘the sun decided on the furious ones.’
The proverb can be compared to a person, for example, an artist who performs his/her duties with great diligence, that is, from sunrise to sunset. Such a person, in his/her work, the sun determines his/her ability and to describe such a person one can use the proverb that ‘the sun decided on the furious one.’
This proverb teaches people to work hard so that they can achieve many successes. Those successes can help to better off their lives and for the better future.
John 9: 4.
Matthew 11:12.
Joshua 10: 12-15.