Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile luge lo ngoko, ulo luli ludoo gete. Aliyo kihamo nu bhudoo bhunubho, umunhu adulile gubhiza na ginhu jitale, ubhiza adinalo uluge lunulo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ulafunda luge lwa ngoko.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinsabhi, aliyo agagayiyagwa ginhu jidoo noyi, guti nu luge lo ngoko lunulo. Umunhu ng’wunuyo, nulu agabhiza nsabhi ntale naginehe, jigwigela duhu ijikolo ijo agubhiza adinajo, ahakaya yakwe, nulu jidoo.
Ijikolo ijo alijigayiwa aha ng’wakwe henaho, hijo jikolile na luge lunulo, ulo ngoko. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ulafunda luge lwa ngoko.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gudula gubhambilija gwikala kihamo, abhasabhi na bhahabhi, kugiki bhuli ng’wene adule kupandika gufumila kuli ng’wiye ijo adinajo, umuwikaji bhobho.
Yakobo 1:9-15.
Yakobo 2:5-7.
Ufunuo 3:17.
KISWAHILI: UTAKOSA MSHIPA WA KUKU
Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mshipa wa kuku, ambao ni mdogo kabisa. Lakini pamoja na udogo wa mshipa huo, mtu aweza kuwa na vitu vikubwa, akawa hana mshipa huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘utakosa mshipa wa kuku.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri, lakini hukosa kitu kidogo sana, kama mshipa huo wa kuku. Mtu huyo, hata awe tajiri mkubwa kiasi gani, kitakuwepo tu, kitu kile ambacho hatakuwa na nacho, katika familia yake.
Kitu hicho, akikosacho kwakwe mtu huyo, ndicho hicho kifananacho na mshipa ule wa kuku. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘utakosa mshipa wa kuku.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwawezesha matajiri na maskini, kuishi pamoja, ili kile anachokikosa mmoja wao, aweze kukipata kutoka kwa mwenzake, maishani mwao.
Yakobo 1:9-15.
Yakobo 2:5-7.
Ufunuo 3:17.
ENGLISH: YOU WILL FAIL TO HAVE A CHICKEN VEIN.
The source of the saying is the vein of a chicken. This vein is considered to be very small in size. Despite its small size it has its own importance for the survival of the chicken. One can have a lot of properties but fail to have a very small item which is very essential in his/her life. This is why people can tell such a person that ‘you will fail to have a chicken vein’ to communicate the message that human beings cannot easily have self-sufficiency in life.
The saying can be compared to a rich man who claims to be self-sufficient in terms of possession of properties but, in actual fact, he may be missing some small items which are more important in his life.
This saying teaches people about humility by advicing rich individuals not to despite their poor counterpart rather consider them as fellow individuals who might be having some abilities that are not found in the rich fellows. Humility can enable them have peace and love.
James 1: 9-15.
James 2: 5-7.
Revelation 3:17.