Folklore

498. KALAGU – KIZE. MBULUGUTWA TUNDE:- NGOKO ILOGA.

Imbiki ya kalagu yiniyo, ililola bhogi bho ngoko. Ingoko yiniyo, igogaga bho gubuluguta mu mabhu, nulu mumasalu amanogoleku. Iyoyi igacholaga aha soga hunayogela hoyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘mbulugutwa tunde:- ngoko iloga.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagulang’hanaga chiza umili gokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga ni kujo umuchalo jakwe, kunguno ya akikalila kakwe. Adipondaga soni bho sagala, kunguno ulu uhaya gwita mhayo nhebhe, acholaga aha soga, guti ni ngoko iyo igacholaga aha bhogelo ubhusoga.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalanjaga nabhiye ahigulya ya kuilang’hana chiza imimili yabho, kugiki bhadizita mihayo iyo idulile gubhaponda soni, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu bhakwe giki, ‘mbulugutwa tunde:- ngoko iloga.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuidebha na kuilang’hana chiza imimili yabho, bho gwikala nikujo umuwikaji bhobho, kugiki bhadiziita imihayo iyo idulile gubhaponda soni, umukikalile kabho.

Yana 3:4-10.

Yoeli 2:12-17.

Luka 15:18-19.

KISWAHILI: KITENDAWILI    –   TEGA

KUGAAGAA KWAKWE ARDHINI:- KUKU ANAOGA

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia uogaji wa kuku. Kuku huoga kwa kujigalagaza kwenye majivu, au kwenye mchanga laini. Yeye huwa anatafuta sehemu nzuri ya kuogea. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kugaagaa kwake aridhini:- kuku anaoga.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, huutunza vizuri mwili wake, bila kupoteza heshima yake katika jamii. Mtu huyo, huendelea kuheshima kijijini mwake, kwa sababu ya mwenendo wake mzuri wa kuishi kwa kuwaheshimu pia wenzake.

Yeye hutekeleza yale yawezayo kutunza heshima yake kwa kuwaheshimu wale anaoishi nao. Hajiaibishi hovyo, kwa sababu, akitaka kutekeleza jambo fulani, hutafuta pale linapofaa kufanyika, kama vile kuku atafutavyo, sehemu nzuri ya kuogea kwake.

Mtu huyo, huwafundisha pia wenzake juu ya kutunza vizuri miili yao, kwa kutunza heshima yao katika jamii, ili wasije wakafanya mambo ya aibu maishani mwao. Ndiyo maana yeye huwahadithia watu kwamba, ‘kugaagaa kwake aridhini:- kuku anaoga.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuitunza vizuri miili yao, kwa kuheshimiana katika maisha yao, ili wasije wakajivunjia heshima, kwa kufanya mambo ya aibu, katika jamii.

Yona 3:4-10.

Yoeli 2:12-17.

Luka 15:18-19.

ngoko iloga

ngoko jiloga

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

 A MOTHER HAS FEET BUT A CHILD HAS NO FEET – A CHICKEN EGG.

The source of this riddle is the chicken and its eggs. Chickens have legs but they lay eggs which do not have legs. It is the care of the mother-chicken that can make eggs eventually develop legs and walk like mother-chicken. This scenario of chicken and egg relationship can be described using a riddle that ‘a mother has feet but a child has no feet – a chicken egg.’

This riddle can be compared to a person who protects his/her children well. This person knows well how to raise his/her children in good behaviour. This person is likened to a hen that cares for eggs until they are hatched into chicken and continue taking care of chicken till they become full independent chicken.

This riddle teaches people about having the patience to nurture their children so that they can understand how to live better with other people as they themselves understand what to do and not to do in life.

Isaiah 10: 14-15.

Matthew 1: 18-25.

497. KALAGU – KIZE. MAYU MUNHU ALINA MAGULU LELO UMYALWA ADINA MAGULU:- LIGI LYA NGOKO.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola jisumva ijo jigibyalaga bho gunya magi, guti ngoko. Ingoko ilina magulu, aliyo lulu, ulu yunyela amagi gayo, gadina magulu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mayu munhu alina magulu lelo umyalwa adina magulu:- ligi lya ngoko.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agabhalanhanaga chiza pye abhana bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugubhakuja chiza abhana bhenabho, mpaka bhajimana inhungwa ija wiza, ijo ajidebhile uweyi.

Uweyi agikolaga ni ngoko, iyo igabyalaga bhana abho bhadi na magulu, aliyo igagalang’hana amagi gayo, mpaga bhafuma moyi bhana, abho bhali na magulu guti ni yoyi, kunguno nuweyi, agabhalanjaga nhungwa jabhiza abhana bhakwe, mpaga bhiikola nang’hwe, umukikalile akawiza. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu giki, ‘mayu munhu alina magulu lelo umyalwa adina magulu:- ligi lya ngoko.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumulija bho gubhalanga nhungwa ja wiza abhana bhabho, kugiki bhadule gudebha ugwikala na bhanhu bho mholele, gitumo bhagikalilaga abhoyi.

Isaya 10:14-15.

Mathayo 1:18-25.

KISWAHILI: KITENDAWILI   –  TEGA.

MAMA MTU ANA MIGUU BALI MZALIWA HANA MIGUU:-  YAI LA KUKU.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia viumbe ambavyo kuzaliana kwa kutaga mayayi, kama kuku. Kuku ana miguu lakini basi, akitaga mayayi yake, hayana miguu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mama mtu ana miguu bali mzaliwa hana miguu:- yai la kuku.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalinda vizuri watoto wake. Mtu huyo, anafahamu kuwakuza katika maadili mema watoto wake hao, hadi huwafikisha kwenye hatua ya kuyaelewa malezi hayo mema, kama anavyo yaelewa yeye.

Yeye hufanana na kuku atagaye mayayi yasiyo na miguu, na kuyatunza hadi wanapatikana watoto wenye miguu kama yeye, kwa sababu naye, huwafundisha maadili mema watoto wake, hadi kufikia hatua ya kufanana naye, katika mwenendo wa kuishi. Ndiyo maana huwahadithia watu kwamba, ‘mama mtu ana miguu bali mzaliwa hana miguu:- yai la kuku.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwakuza katika maadili mema watoto wao, ili waweze kuelewa namna ya kuishi vizuri na watu, kama wanavyoelewa wao wenyewe.

Isaya 10:14-15.

Mathayo 1:18-25.

ngoko

chicken-eggs

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

 A MOTHER HAS FEET BUT A CHILD HAS NO FEET – A CHICKEN EGG.

The source of this riddle is the chicken and its eggs. Chickens have legs but they lay eggs which do not have legs. It is the care of the mother-chicken that can make eggs eventually develop legs and walk like mother-chicken. This scenario of chicken and egg relationship can be described using a riddle that ‘a mother has feet but a child has no feet – a chicken egg.’

This riddle can be compared to a person who protects his/her children well. This person knows well how to raise his/her children in good behaviour. This person is likened to a hen that cares for eggs until they are hatched into chicken and continue taking care of chicken till they become full independent chicken.

This riddle teaches people about having the patience to nurture their children so that they can understand how to live better with other people as they themselves understand what to do and not to do in life.

Isaiah 10: 14-15.

Matthew 1: 18-25.

496. KALAGU – KIZE. WITANDULA TANDULA KULWA LUTUGA LOKWE:- MADUTU GIDOKE.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola linti ili ligitanagwa idoke. Ilinti linilo, lilinogoleku noyi, kunguno, ulu guyemba unyaga, amadutu galyo gatitulanyaga, na gayiyongeja ugusanaguka. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘witandula tandula kulwa lutuga lokwe:- madutu gidoke.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli myaji, uyo abhagabhakenagulaga abhana bhakwe, kunguno ya inhungwa jakwe ijo jililabhubhi. Umyaji ng’wunuyo, agabhalekanijaga abhana bhakwe, bhabhiza na kajile kabhi, kunguno ya kikalile kakwe ako kadinilange ilya gwikala na bhanhu chiza.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nituga lidoke ilo ligatandulwa na luyaga, aliyo nunina ogo alihaho, kunguno nuweyi, agabhakenagulaga abhana bhakwe, kunguno ya gugayiwa nhungwa ja wiza, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘witandula tandula kulwa lutuga lokwe:- madutu gidoke.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni lange lya wiza, ukubhana bhabho, kugiki, bhadule gukula bhali nilange ilya gwikala chiza na bhanhu, uwikaji bhobho.

Mwanzo 3:1-7.

Luka 21: 34-38.

Wagalatia 3:1-6.

Warumi 5:12-14.

KISWAHILI: KTENDAWILI:  –  TEGA.

KUJICHANA CHANA NI SABABU YA WEHU WAKE:- MAJANI YA MGOMBA.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia mti unaoitwa mgomba. Mtu huo, ni mlaini sana, kwa sababu, ukipulizwa na upepo, majani yake huanza kugongana, na kujiongeza kujichana chana. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kujichana chana ni sababu ya wehu wake:- mgomba.’

Kitendawili hicho, chalinganishwa kwa mzazi, yule ambaye huwaharibu watoto wake, kwa sababu ya mfano mbaya wa maisha yake wanauona. Mzazi huyo, huwatelekeza watoto wake, na kuwaonesha mfano mbaya wa mwenendo wake, ambao hauna maadili ya kuishi vizuri na watu.

Mtu huyo, hufanana na wehu wa mgomba uliowachana chana watoto wake, kwa sababu naye, ametelekeza watoto wake, kwa kuonesha mfano mbaya wa maisha, ambao hauna maadili mema. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kujichana chana ni sababu ya wehu wake:- mgomba.’

Kitendawili hicho, chafundisha watu juu ya kuwa na malezi mema kwa watoto wao, ili waweze kukua wakiwa wamejengeka vizuri katika maadili ya kuwawezesha kuishi vizuri na watu, maishani mwao.

Mwanzo 3:1-7.

Luka 21: 34-38.

Wagalatia 3:1-6.

Warumi 5:12-14.

banana leave

banana ni doke

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME

HE/SHE HAS CUT HIMSELF/HERSELF BECAUSE OF HER/HIS CRAZINESS- BANANA TREE.

The source of this saying is a banana tree that appears to be soft and because of its softness, when the wind blows, it cuts off its branches. That is why people can say ‘he/she has cut himself/herself because of his/her craziness – banana tree’ to communicate how the softness of banana branchs makes them to swing around when the wind blows that result into them being cut into pieces.

This riddle can be compared to a parent who destroys his/her children because of the way he/she lives with other people around him/her. Such a parent can set a bad example to his/her children. It can also be compared to a person who abandons his/her children, a behaviour that demonstrates bad parenting system to his/her children.

This saying teaches people about caring for their children so that they can grow up to be well-grounded in values ​​that enable them to live well with people in their lives.

Genesis 3: 1-7.

Luke 21: 34-38.

Galatians 3: 1-6.

Romans 5: 12-14.

495. KALAGU – KIZE. NSIZA ONE ALI NA MIKIMBILI MINGI:- NHUMBI JI GUWA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, ililola iguwa. Iliguwa lilina nhumbi ningi noyi. Huguhaya giki, ligalenganijiyagwa na nkimbili kunguno ligikolaga chene. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nsiza one ali na mikimbili mingi:- nhumbi ji guwa.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo adebhile chiza isumo  yakwe. Umunhu ng’wunuyo, aidebhile ihitoria ya bhabyaji bhakwe, niya bhabyaji bha bhabyaji bhakwe.

Uweyi agabhalanjaga na bhiye ihistoria yiniyo, kugiki bhimane umundugu yabho. Abho bhagandelekaga, bhagadulaga ugubhamana chiza abhadugu bhabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nsiza one ali na mikimbili mingi:- nhumbi ji guwa.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guidebha historia ya jibyalilwe jabho, kugiki bhadule gwimana chiza, umuwikaji bhobho, kunguyo abhanhu bhali na jibyalilwe jingi noyi.

Mathayo 1:1-17.

Mwanzo 15:1-6.

Luka 3:23-38.

KISWAHILI: KITENDAWILI   –  TEGA.

KAKA YANGU ANA VIUNO VINGI:- MUWA.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia muwa. Muwa huo, una pingili nyingi sana. Ndiyo kusema kwamba, huwa unalinganishwa na kiuno, kwa sababu ya wenyewe kufanana nacho. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kaka yangu ana viuno vingi:- muwa.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anaelewa vizuri historia ya ukoo wake. Mtu huyo, anaielewa historia ya wazazi wake na ile ya wazazi wa wazazi wake.

Yeye huwafundisha wenzake historia hiyo, ili waweze kuwaelewa ndugu zao. Wale wanaomsikiliza, huweza kuzifahamu vizuri koo zao, maishani mwao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kaka yangu ana viuno vingi:- muwa.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuzielewa historia za koo zao, ili waweze kufahamiana vizuri, maishani mwao, kwa sababu watu huwa wana vizazi vingi mno.

Mathayo 1:1-17.

Mwanzo 15:1-6.

Luka 3:23-38.

maguha

miguha1

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

MY BROTHER HAS MANY WAISTS:- SUGARCANE.

The source of this riddle is sugarcane and its joints. Sugarcanes have so many joints that look like waists. Those sugarcane joints are being compared to waists. That is why people came up with a riddle that describes the structure of sugarcane in comparison to waists by riddling that ‘my brother has many waists – sugarcane.’

This saying can be compared to a person who understands his/her family history. That person understands well his/her parent’s history and that of his parents’ parents. He/she can teach history to his/her colleagues so that they can understand their past in terms of family geneology.

This saying teaches people about understanding their family history so that they can get to know each other better in their lives. This comes because people have so many generations that are inter-connected and sometimes cannot be easy to know them.

Matthew 1: 1-17.

Genesis 15: 1-6.

Luke 3: 23-38.

494. IGOSHA LYA NHULULU.

Imbuki ya kahayile kenako, yililola ngosha uyo alina nhululu. Inhululu jilinhinda ja ngosha ng’wunuyo, uyo agasiminza wimanile igiki uweyi humani opye iyose.  Uweyi adazunyaga imihayo iya bhiye, kunguno ya nhinda jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘igosha lya nhululu.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhani, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, ali nambu uyo adazunyaga ya bhiye, kunguno ya nhani jakwe jinijo. Uweyi agamanaga ulema duhu ya bhiye.

Umunhu ng’wunuyo, agalenganijiyagwa ni igosha lya nhululu, kunguno nang’hwe alina nhani, ijagwimana weyi duhu. Nuweyi ali nanhinda ijo jigang’wenhelejaga guyuilema imihayo iyabhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘igosha lya nhululu.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na nhinda umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umukalile kabho.

Mwanzo 4:9-10.

Luka 18:9-14,

2Wakorintho 2:10-11.

KISWAHILI: MWANAMUME MWEYE KIBURI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia mwanamume mwenye kiburi. Kiburi hicho, humpelekea mtu huyo, kutembea kwa kujidai kujua kila kitu. Yeye hakubali mawazo ya wenzake, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni ‘mwanamume mwenye kiburi.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ana majibu ya mkato, yaliyotawalia na kiburi maishani mwake. Mtu huyo, amejaa kiburi, uchoyo na kujiamini kupita kiasi. Yeye hakubali mawazo ya wengine, kwa sababu ya kiburi chake hicho. Akiambiwa kitu yeye hukataa tu bila sababu yoyote iliyo ya msingi.

Mtu huyo, hulinganishwa na mwamume mwenye kiburi, kwa sababu naye ana kiburi cha kujijali yeye mwenyewe tu. Kiburi hicho, humpelekea kukataa kila anachoambiwa na wenzake. Ndiyo maana watu humwita kwamba, yeye ni ‘mwanamume mwenye kiburi.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwa na kiburi maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao.

Mwanzo 4:9-10.

Luka 18:9-14,

2Wakorintho 2:10-11.

munhu o bhuganda

te-tugu-igasha

ENGLISH: AN ARROGANT MAN.

The source of this saying is an rrogant man who walks around pretending to know everything in his society. This man does not accept advice or any opinion from other individuals because of his arrogance. Such a person can be described as ‘an arrogant man’, as the saying shows.

The saying can be compared to a person who answers people’s queries shortly with no respect. He is arrogant, greedy and over-confident. He is someone who does not accept other people’s views with no reason for refusing them.

The saying teaches people about not being arrogant rather respecting others in the sameway one respects himself/herself.

Genesis 4: 9-10.

Luke 18: 9-14.

2Corinthians 2: 10-11.