Sukuma Proverbs

343. NIYAKALE NAYO NG’HINDA,

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile ku ng’hinda. Ing’hinda yiniyo igab’izaga na kalilile kayo, ulu yukumiwa na munhu. Mumo igakuluhalila idugalucha akalilile kayo kenako. Ukwene huguhaya giki, nulu igakuluhala igwitanwa ng’hinda duhu. Hunagwene abhanhu bhagab’awilaga abhichab’o abho bhagajilekanijiga ing’hinda jabho ijakale giki, ‘niyakale nayo ng’hinda.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ukula ub’iza nhamhala, nulu ngikulu, umuchalo. Uyo okula ng’unuyo alitanwa munhu duhu mumo agakulila. Yigelelilwe nabho bhalang’hanwe chiza, abhanhu bhenabho, kunguno bhali sawa na bhichabho abho bhatali bhadoo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘niyakale nayo ng’hinda.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kub’alanghana chiza bhatale bhabho abho bhalikihamo na wabyaji bhabho, mumo bhagakulila, kunguno ‘niyakale nayo ng’hinda.’

2Wakorintho 4:16.

KISWAHILI: NA YAZAMANI NAYO NJUGA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye njuga. Njuga ni kengele ambayo hutoa mlima wake ikiguswa au kutikiswa. Hivyo, njuga hiyo huwa na mlio wake wa pekee. Hata iwe kuukuu kiasi gani, itaitwa njuga tu, kwa sababu hali hiyo haukani ule unjuga wake. Ndiyo maana watu huwaambia wale wazitelekezao njuga zao zilizo za zamani kwamba, ‘na yazamani nayo njuga.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu aliyezeeka katika jamii fulani. Mtu huyo huendelea kuitwa mtu hata kama amezeeka namna gani. Yafaa watu waliona nguvu hasa vijana, waendelee kuwantunza mzee wao huo, kwa sababu wao ni watu waliosawa na wao wenyewe. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘na yazamani nayo njuga.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri wazee wao katika jamii, wakiwemo wazazi, hata kama wamezeeka kiasi gani, kwa sababu, ‘na yazamani nayo njuga.

2Wakorintho 4:16.

 

bell

taking care of elders

 

ENGLISH: AN OLD ANKLE BELL IS ALSO AN ANKLE BELL.

The source of the proverb comes from an iron ankle bell. Such a bell gives a certain musical sound when it is shaken. It always has a unique sound regardless of whether it is old or new. This is why people tell others that ‘an old ankle bell is also an ankle bell’ to mean that they don’t have to ignore the old ones because they have the same effect as the new ones.

This proverb is likened to an old man in the society. Old men continue to be counted as human beings regardless of their age. Youngsters need to take care of the old ones and consider them as human beings that can have positive effects in the society. This is why people say, ‘an old ankle bell is also an ankle bell.’

The proverb teaches youngsters to take care of old people because, apart from being fellow human beings, they have positive impacts to the society.

2 Corinthians 4:16.

341. NG’OSHA YA MVA IDIGUSHAGA NA MBUNDA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwikaji bho mva ng’osha na mbunda. Imva ing’osha yiniyo igikalaga ilemile ugwigusha ni mbunda, munho igubhaluma bhandya guipela. Igubhalija kunguno iyoyi ilimyaji yabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’osha ya mva idigushaga na mbunda.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli namugi ohakaya uyo alina bhana wake. Unamugi ng’wunuyo alinikujo lwakwe ahakaya yakwe yiniyo. Kuyiniyo lulu, idichiza ugwigusha na bhana wake unamhala ng’wunuyo, kunguno bhagundalaha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’osha ya mva idigushaga na mbunda.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka wimaniliji bho sagala na bhana bhabho, kugiki bhadule gwikala ni kujo lya gubhalanga chiza umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:4.

KISWAHILI: DUME LA MVA HALICHEZI NA WATOTO WA MBWA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya dume la mbwa na watoto wa mbwa. Dume hilo hukataa kucheza na watoto wa mbwa, kwa sababu lenyewe ni kubwa kwao, vinginevyo litawauma mpaka wataanza kulikimbia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘dume la mbwa halichezi na watoto wa mbwa.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mzee mwenye familia na watoto wake. Mzee huyo huwa na heshima yake kwenye familiya yake, iyomuwezesha kuwalea vizuri watoto wake pamoja na familia yote. Kwa hiyo basi, siyo vizuri kucheza na watoto wake mzee huyo, kwa sababu akifanya hivyo watoto hao watamdharau maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘dume la mbwa halichezi na watoto wa mbwa.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha mazoea ya hovyo na watoto wao, ili waweze kuwalea vema kwa kujenga heshima inayotakiwa katika familia yote, maishani mwao.

Waefeso 6:4.

male dog

puppies

 

ENGLISH: A MALE DOG DOES NOT PLAY WITH PUPPIES

The source of the above proverb comes from the life of male dog and puppies. The male dog refuses to play with puppies because it is too big for them, otherwise it will bite them until they run away. This is why people say, ‘a male dog does not play with puppies.’

The proverb is likened to a family elder and his children. Elders tend to maintain their  respect to families in order to be able to take care of them. Therefore, it is not good for elders to play with children because they can disrespect them. This is why people warn elders by saying that ‘a male dog does not play with puppies.’

The proverb teaches people to stop being so intimate with children. This will help them from not being disrespected and disturb the whole process of taking care of them.

Ephesians 6: 4.

337. AB’ALI SENGE LIMO B’ADIKELELAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhusangiji wisenge b’o b’anhu bhab’ili. Ilisenge linilo ligolechaga bhiyaambilija bho gutumama milimo yabho kihamo. B’uli ng’wene amanile iyo ung’wiye aliitumama, kunguno bhagikalaga kihamo bhuli makanza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ab’ali senge limo b’adikelelaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’itolile, abho b’adadulile gwikelela, kunguno b’agikalaga kihamo b’uli makanza. Uwitoji bhobho abhanhu bhenabho, b’ulisawa nisenge ilo b’alisangilile umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ab’ali senge limo b’adikelelaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhitoji higulya ya gub’iza bhatungilija umukikalile ka witoji bhobho, umushigu jab’ulamu bhobho. Yigeleliwe abhanhu bhenabho bhab’ize na wigogwi bho gwikala kihamo, umuwikaji bhobho bhose.

Yohane 15:14-15.

KISWAHILI: WALIO UKUTA MMOJA HAWAFICHANI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uchangiaji wa ukuta wa watu wawili. Ukuta huo huonesha hali ya kusaidiana kwao katika kufanya kazi zao, kwa vile wao huishi pamoja. Kila mmoja huelewa afanyacho mwenzake, kwa sababu ya kuishi pamoja maishani mwao.  Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘walio ukuta mmoja hawafichani.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu walioona wasioweza kufichana kitu kwa sababu ya kuishi kwao pamoja kila wakati. Maisha ya wana ndoa hao ni sawa na ukuta wanaouchangia katika kuishi kwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘walio ukuta mmoja wahafichani.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa waaminifu katika maisha yao ya ndoa, siku zote za maisha yao. Yafaa watu hao wawe na upendo wa kuishi pamoja katika maisha yao yote.

Yohane 15:14-15.

couple african

ENGLISH: THOSE WHO SHARE THE SAME ROOM DO NOT HIDE FROM EACH OTHER.

This proverb has its source in married couples. It shows how people who share the same room cannot hide their doings to each other. They understand each other well because they live together. This is why people say, ‘those who share the same wall do not hide from each other.’

This proverb can be compared to marriage life where husband and wife, in sharing the same wall, find themselves not capable of hiding their doings to each other.

This proverb teaches people about being faithful in marriage. They must have true love and be able to live together for the rest of their lives.

John 15: 14-15.

334. GUKO NGILI ISE O NG’WAMBI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kub’itoji abho b’iyambilijaga uguitumama imilimo yabho.  Abhanhu bhenabho bhali nkima na ngosha abho bhalib’itolile. B’iyambilijaga gufuga, nulu gusegegesa mabhele. Unkima onkangililaga ungosha, bho gujishindika ijisabho ijojalijitungilile mlusunda, ulugoye lutungwa kumahaba, nang’hwe ungosha onkangililaga unkima. Bhuli ng’wene uluonkangilila ung’wiye ijisabho jinijo, oyombaga giki, ‘guko ngili ise o Ng’wambi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhitoji abho bhali na bhumo, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho, bhagaitumamaga imilimo yabho bhogwiyambilija chiza. Bhagabhalangaga na bhazenganwa b’abho akajile ka gwikala na bhumo bhunubho, umuwikaji bhobho wa witoji.

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu abho witolile higulya ya gub’iza na b’umo, bho gwiyambilija utuitumama imilimo yabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 2:18.

Tobithi 8:4-8.

KISWAHILI: HUKO NGILI BABA WA NG’WAMBI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia wanandoa ambao husaidiana katika kufanya kazi zao. Watu hao ni mwanamke na mwanaume waliofunga ndoa. Wao husaidiana kuchekecha maziwa. Mwanamke humsukumia mwanaume kibuyu kwenye maziwa hayo, ambacho huzungushiwa kamba iliyohufungwa kwenye mlingoti juu, ili kiweze kuning’inia, naye mwanaume hukisukuma kibuyu hicho kuelekea kwa mwanamke. Kila mmoja amsukumiapo mwenzake husema hivi, ‘huko ngili baba wa Ng’wambi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa wanandoa ambao wana umoja maishani mwao. Watu hao hufanya kazi zao kwa kusaidiana vizuri. Huwafundisha pia majirani zao namna ya kuishi katika umoja huo, katika maisha yao.

Methali hiyo hufundisha watu wa ndoa juu ya kuwa na umoja wa kuwawezesha kusaidiana katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku, maishani mwao.

Mwanzo 2:18.

Tobithi 8:4-8.

africa uganda

THERE IS NGILI; THE FATHER OF NG’WAMBI.

This saying is based on couples that help each other in their daily activities. It pictures a hanging calabash with little milk in it being tied to one of the roof poles. The wife and husband push it (the calabash) to each other in an attempt to shake the milk. Each of them pushes it by saying, ‘there is Ngili, the father of Ng’wambi.’

This saying can be comparable to married couples who live in unity throughout their lives. They work together by helping each other in viarious activities. They also teach their neighbours on how to live in peace, and unity in their lives. That is why they say to each other, ‘there is Ngili; the father of Ng’wambi.’

The saying teaches married couples how to maintain their unity by living in peace so as to fulfill their tasks of taking care of their families.

Genesis 2:18.

Tobithi 8: 4-8.

333. GILAGA GITUMO WAGILILA HA LUB’ELE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuleki bho ng’wana gong’ha ha lub’ele lo ng’wa nina. Ung’wana ulu ubyalwa agong’haga lub’ele halinina mpaka okula wikoma gulya. Ulu ukula ung’wana ng’wunuyo agabishiyagwa ogila ugong’ha. Ulu ubishiwa agagilaga ugong’ha na adalashokela. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gilaga gitumo wagilila ha lub’ele.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo witaga mihayo ya bhub’i, uyo agawilaga giki oye ugwiita imihayo yiniyo gitumo oyela gong’ha ha lub’ele lo ng’wa nina. Abhanhu abho umunhu ng’wunuyo ob’itilaga imihayo yiniyo, hab’o hagang’wilaga umhub’i ng’wunuyo giki, ‘gilaga gitumo wagilila ha lub’ele.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya goya gwita mihayo yabhub’i, na gub’awila abhahub’i bhoye ugwiita imihayo imib’i yiniyo, gitumo bhagilila ha lub’ele lo b’aninabho.’

Wakolosai 3:5.

KISWAHILI: ACHA KAMA ULIVYOACHA ZIWA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kuacha kunyonya kwa mtoto kwenye ziwa la mama yake. Mtoto akizaliwa hunyonya maziwa ya mama yake, mpaka anakua kiasi cha kutosha kula chakula. Akikua mtoto huyo huachishwa kunyonya ziwa na mama yake. Akiachishwa hivyo, mtoto huyo hukoma kunyonya na hatarudia. Ndiyo maana watu huambiana kwamba, ‘acha kama ulivyoacha ziwa.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu aliyefanya kitu kibaya kwa wenzake, ambao humwambia akome kufanya hivyo, kama alivyo koma kunyonya ziwa kwa mama yake. Watu hao aliowatendea kitendo hicho, yule mkosefu, huumia sana mpaka kufikia hatua ya kumwambia mtu huyo kwamba, ‘acha kama ulivyoacha ziwa.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda matendo mauvu katika jamii, kwa sababu matendo hayo huwaumiza sana wenzao. Ndiyo maana wao humwambia, mtu huyo aache maovu hayo kama alivyoacha kunyonya ziwa kwa mama yake.

Wakolosai 3:5.

woman breatfeeding

 

ENGLISH: STOP AS YOU STOPPED FEEDING AT YOUR MOTHER’S BREAST

This proverb has its origin in breastfeeding. It is obvious that when a baby is born, it begins by feeding at its mother’s breasts until when it is old enough to eat other food stuff.

At the time the baby begins eating other food stuff the mother can stop him/her from breastfeeding.

This proverb can be compared to a person who does something wrong to his/her friends then warned against it. The warning can be associated with stopping such a wrong behaviour in the same way he/she stopped sucking from his/her mother’s breasts.’

This proverb teaches people to stop doing bad things in the society because they hurt others. That is why they tell wrong doers to stop their evil deeds in order not to harm the society.

Colossians 3: 5.