Sukuma Proverbs

297. NGOKOLO IGAMALA MHANGA

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kuntugo, uyo gokula, nulu gusadu. Untugo gunuyo gugakondaga kunguno ya sada, nulu bhukuji. Gugabhizaga guti giki, gulibihi gucha. Aliyo lulu, jigamanaga jucha ni mhanga duhu, yalekwa ingokolo yiniyo, nose jigashilaga gucha imhanga jinijo, yalekwa bhung’wene. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngokolo igamala mhanga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhalibhasadu, nulu abho bhakula, guti bhananhala na bhagikulu, abho bhagabhizaga bhalebh’u, aliyo bhagalekagwa na bhapanga. B’agamanaga bhucha na bhapanga, walekwa abhasadu na bhakuji bhenabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngokolo igamala mhanga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhalanhana chiza abhanamhala na bhagikulu bha muchalo jabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi, umuwikaji bhobho, mpaga aho Mulungu alab’itanile.

Mathayo 19:30.

KISWAHILI: DHAIFU ILIMALIZA WAZIMA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye mfugo uliozeeka kwa sababu ya ugonjwa au amri. Mfugo huo, hukonda kwa sababu ya ugonjwa huo au umri wake kuwa mkubwa. Huwa kama unataka kufa. Lakini badala yake, mifugo yenye afya njema hufa na kuiacha hai hiyo iliyodhaifu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘dhaifu ilimaliza wazima.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu waliowagonjwa au wale waliozeeka, waonekanao kama ni dhaifu, lakini hufa wenye afya njema na kubakia wao. Wenye afya hundelea kufa na kuwaacha wakiwa hai, hao waliogonjwa na wazee. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘dhaifu ilimaliza wazima.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwatunza vizuri wazee walionao katika jamii yao, ili waweze kuishi kwa furaha maishani mwao, hadi Mungu atakapowaita.

Mathayo 19:30.

cow2

 

ENGLISH: STRONG ONES DIED BEFORE WEAK ONES

The proverb above comes from an old or sick animal.The old or sick animal usually becomes thin and weak because of disease or old age. This animal looks almost dead. But the healthy and strong animals keep on dying leaving behind the sick or old ones.This makes people to say, “Strong ones died before the weak ones.”

The proverb is compared to the sick or elderly people who appear to be weak, but the healthy people are the ones who die and leave behind the weak and elderly people. Healthy people continue to die and leave the weak and the elderly people alive. That is why people say, “Strong ones die before the weak ones.”

The proverb teaches people to take good care of the weak and the elderly in their communities so that they can live happily until God takes them.

Matthew 19:30.

 

296. NG’HANGA MALAB’A ADAMALAGA B’IZA

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kujilangu ja gwikumbwa kub’iza na najo bhuli jene ijo jililab’a. Ijililab’a jinijo jilolecha ginhu jawiza. Ulu jigela jawiza, uweyi uojilangu jinijo, ojisola nijene, kunguno ahayile ajipandike uweyi bhuli jene ijo jilijawiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hanga malab’a adamalaga b’iza.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinajilangu ja kubhona bhuli ng’wene uyo aliowiza, ohaya ab’ize okwe. Umunhu ng’wunuyo agamonaga bhuli ng’wene ontogwa na gung’wila giki bhitole, kunguno ya jilangu jakwe jinijo, ijagung’wila gwitola bhuli ng’wene uyo aliowiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga, umunhu ng’wunuyo, giki, ‘ng’hanga malab’a adamalaga b’iza.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhutungilija umuwitoji, bho kuleka jilangu ja guhaya gub’iza na bhuli ng’wene uyo aliowiza. Ubhutungilija bhunubho, bhugubhambilija abhanhu bhenabho, ijinagwikala bho mholele umuwitoji bhobho, nu muwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-29.

Yakobo 1:14-15.

KISWAHILI: MWENYE TAMAA HAMALIZI WAZURI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye tamaa ya kutaka kuwa nacho kila kile, kimelemetacho machoni pake. Kimelemetacho hicho, huonesha kitu kilicho kizuri. Akikiona popote pale mwenye tamaa hiyo, hutaka kukichukua, kwa sababu ya kutaka kwake kukimiliki, kila kilichokizuri machoni pake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mwenye tamaa hamalizi wazuri.’

Methali hiyo hulinnganishwa kwa mtu yule aliye na tamaa ya kutaka awe naye kila amuonaye kuwa ni mzuri. Mtu huyo humpenda kila amuonaye na kumtaka waoane, kwa sababu ya tamaa yake ya kutaka kuoana na kila aliye mzuri. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘mwenye tamaa hamalizi wazuri.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu katika ndoa, kwa kuacha tamaa ya kutaka kuwa pamoja naye kila aliye mzuri. Uaminifu huo utawasaidia watu hao, katika kuishi kwa amani kwenye ndoa zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-29.

Yakobo 1:14-15.

people1

 

ENGLISH: A LUSTFUL PERSON CANNOT FINISH THE BEAUTIFUL ONES

The proverb stems from a person with a desire to own everything beautiful. Wherever such a person sees a beautiful woman, he wants to have her. That is why people say, “A lustful person cannot finish the beautiful ones.”

The proverb is tailored to a person who desires to have every beautiful woman. Such a person loves every woman he meets and wants to marry her because of his desire to marry every beautiful woman. So, people use the proverb to warn such type of persons.

This proverb teaches people about trust by giving up the desire of being with every beautiful woman. Being faithful will help these people to live peacefully in their marriage.

Matthew 5: 27-29.

James 1: 14-15.

295. MINZI GA KULE GADAMALAGA NOTA

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kubhuchoji bho mingi, bho abhanhu abho bhali nikoye lya nota, umuchalo jabho. Aminzi genayo galikule nuko bhalib’azengile. Bhamanaga bhugajila aminzi genayo, bhagiza b’agang’wa, inota yabho yaduma ugushira. Ulu bhagajila hangi aminzi genayo, ikikule uko gigelelaga, inota yasangagwa yakulaga hangi, b’iza bhaduma uguimala.

Nose abhanhu bhenabho bhugumana igiki, aminzi genayo gaduimala inota yabho, kunguno galikule noyi. Bhagiyangula guchola nzila ja gugegeleja aminzi genayo, huna bhuyimala inota yabho yiniyo.  Gashinaga guligong’hana igiki, ‘mingi ga kule gadamalaga nota.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ukob’eleja jikolo, nulu sabho ja gufumila kubhanhu bhangi, bho nduhu ugutumama imilimo, iyo ayidulile. Umunhu ng’wunuyo adagamalaga amakoye ahakaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘minzi ga kule gadamalaga nota.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guitumama imiliyo iyo bhayidulile, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija uguginja makoye, umuwikaji bhobho, kunguno aminzi ga kule gadamalaga nota.

Yohana 4:7-13.

KISWAHILI: MAJI YA MBALI HAYAMALIZI KIU

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye utafutaji wa maji, wa watu ambao walikumbwa na tatizo hilo kwenye kijiji chao. Maji hayo yalipatikana mbali na kule walikokuwa wakiishi watu hao. Walikuwa wakiyafuata mara nyingi mpaka kule mbali yaliko, wanayaleta na kuyanywa. Lakini yalikuwa hayaimalizi kiu yao kwa sababu ya kutumia mda mrefu katika kuyafuata kutoka kule mbali yalikopatikana.

Mwishowe waligundua kwamba, maji hayo ya mbali hayawezi kuimaliza kiu yao. Waliamua kutafuta njia za kuyaleta maji hayo kwenye kijiji chao, ndipo walipofaulu kuimaliza kiu yao. Kumbe ni kweli kwamba, ‘maji ya mbali hayamalizi kiu.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye huishi kwa kutafutiza vitu, au mali kutoka kwa watu wengine, bila kufanya kazi, hata zile anazoziweza. Mtu huyo hubaki akisumbuliwa na matatizo mengi kwenye familia yakwe. Ndiyo maana watu humwambia, mtu huyo, kwamba, ‘maji ya mbali hayamalizi kiu.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuzifanya kazi zile waziwezazo ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika kutatua matatizo yao, maishani mwao, kwa sababu, ‘maji ya mbali hayamalizi kiu.’

Yohana 4:7-13.

thirsty

 

ENGLISH: DISTANT WATER DOES NOT QUENCH THIRST

The proverb comes from the story of people who experienced scarcity of water in their village. These people got water from a distant village.Since the water was found far from their village, they frequently used to fetch drinking water.However, such water did not quench their thirst because they did not fetch enough of it, and they walked for several hours to fetch water.

In the end, they realized that distant water would not quench their thirst. They decided to find ways to bring the water to their village.Then they succeeded to quench their thirst.Therefore, it is true that “distant water does not quench thirst.”

The proverb is compared to a person who does not work and lives by begging things from other people. Such a person and his/her family are likely to remain in problems.That is why people tell such a person that “distant water doesn’t quench thirst.”

This proverb teaches people to work in order get resources to help them solve their problems in their lives because “distant water does not quench thirst.”

John 4: 7-13.

 

294. MBULI NHUB’U IGAMALA MAPEMBE

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kumbuli iyo ilinhub’u. Imbuli yiniyo yapelelaga mumigunda ya bhanhu, yagalisha, undimi oyo, oyitulaga amapempe gayo. Yamanaga yulisha imbuli yiniyo yatulwa amapembe, nose gushila gub’inzwa pye, kunguno ya bhulaku bhoyo. Hunagwene abhanhu b’agayombaga giki, ‘mbuli nhub’u igamala mapembe.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo opandika jika kunguno ya bhulaku bho gusola jikolo ja bhiye. Uweyi adigwaga uguhang’wa igiki oye ugwita iyabhubhi yiniyo, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agamagaga bhita iyabhubhi yiniyo, oding’wa na bhininkili, olipishiwa. Agakenya hangi, otulwa, nose agapandika jika, nulu makoye, kunguno ya bhulaku bho gwita ya bhub’i ubho gulema guwilwa na bhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘mbuli nhub’u igamala mapembe.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho gwita ya bhubhi, na guzunya guhang’wa na bhichabho. Uwigwi bho guhang’wa bhunubho bhugub’enhela wasa bho gubhulang’hana chiza ubhupanga bhobho. Bhagupila gub’iza na jika, umuwikaji bhobho.

Yakobo 4:15-17.

KISWAHILI: MBUZI MLAFI ALIMALIZA PEMBE

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye mbuzi aliyekuwa mlafi. Mbuzi huyo alikuwa akikimbilia kwenye mashamba ya watu kwenda kulisha. Mchungaji wake alikuwa akimpiga pembe na kuzivunja. Hivyo mbuzi huyo aliendea kulisha kwenye mashamba ya watu na kupigwa pembe zake hadi kuvunjwa. Mwishowe, pembe za mbuzi huyo ziliisha kuvunjwa, kwa sababu ya ulafi wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mbuzi mlafi alimaliza pembe.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu aumizwaye kwa sababu ya ulafi wa kutamani vitu vya wenzake. Mtu huyo hasikii aambiwapo kwamba aache tamaa hiyo maishani mwake. Yeye huendelea kuchukua vitu vya wenzake na kupigwa mara kwa mara. Mwishowe, atapata kilema au tatizo kubwa maishani mwake, kwa sababu ya tamaa yake ya kuchukua vitu vya wenzake. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘mbuzi mlafi alimaliza pembe.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha ulafi wa kutamani vitu vya watu wengine, na kukubali kuonywa na wenzao. Maisha hayo, yatawapatia nafasi ya kuulinda uhai wao na kueputa kupata vilema, maishani mwao.

Yakobo 4:15-17.

goat

 

ENGLISH: A GREEDY GOAT DESTROYED ITS HORNS

This proverb originates from a goat that was greedy. The goat kept on running to the fields to feed on people’s crops. Its care-taker kept on beating its horns and breaking them. The goat went on with its habit of feeding on people’s fields and its horns were beaten until they broke. Finally, the goat’s horns were completely broken because of its greed. That is why people say, “A greedy goat destroyed its horns.”

The proverb is likened to a person being hurt because of greed. Such a person does not listen when people tell him/her to stop such behaviour. He/she keeps on taking other people’s things and getting beaten up over and over again. In the end, he/she will get a disability or a serious problem in his/her life because of his/her habit of taking other people’s belongings. That is why people tell a person with such behaviour that, ”a greedy goat destroyed it horns.”

The proverb teaches people to stop being greedy for other people’s things and to accept warnings from others. This will protect their lives and avoid getting disabilities in their lives.

James 4: 15-17.

293. MAGUZU MAMALWA SI

Imbuki ya lusumo lunulo ilolile nguzu ijo jigatumamaga milimo. Imilimo yiniyo mumo igatumamilwa, itiho ugumlab’ula untumani oyo, iyoyi igamalaga nguzu ja ntumami, aha si iyo iliitumamilwa imilimo yiniyo. Kuyiniyo lulu, inguzu jidulile gumalwa ni si yiniyo.  Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘maguzu mamalwa si.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagajitumilaga chiza inguzu jabho umugutumima milimo ya bhuli lushugu. Abhanhu bhenabho bhalib’akamu noyi uguitumama imilimo iyo igabhenhelaga matwajo mingi, umuwikaji bhobho. B’agabhalanjaga na bhanhu bhabho ahigulya ya ugub’iza na bhukamu bhunubho, kunguno bhadeb’ile igiki ‘maguzu mamalwa si.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gongeja bhukamu bho gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 6:9-10.

Mathayo 11:12.

KISWAHILI: NGUVU HUMALIZWA NA ARDHI

Chanzo cha methali hiyo chaangalia nguvu zile zifanyazo kazi. Kazi hata kama zifanyweje haziwezi kumuumiza mfanya kazi, kwa vile zenyewe humaliza nguvu zake kwenye ardhi ile ambayo mfanya kazi yule ayatekelezea majukumu yake. Kwa hiyo basi, nguvu zaweza kumalizwa na ardhi hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nguvu humalizwa na ardhi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao huzitumia vizuri nguvu zao katika kufanya kazi zao za kila siku. Watu hao wanabidii sana katika kufanya kazi zile ziwaleteazo mafanikio maishani mwao. Huwafundisha pia watu wao jinsi ya kuwa na bidii hiyo, kwa sababu waelewa kwamba ‘nguvu humalizwa na ardhi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuongeza bidii ya kufanya kazi zao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Wagalatia 6:9-10.

Mathayo 11:12.

sandworms

ENGLISH: THE LAND ONLY DRAINS ONE’S PHYSICAL POWER

The source of this proverb is connected to the power that people use during work. Regardless of the work people do, it will not harm them.The land on which one works drains his/her physical power.Thus, the land drains the power of the worker. That is why people say, “the land ony drains one’s physical power.”

The proverb above is likened to those people who make good use of their power in their daily activities. Such people work hard to succeed in their lives. They also teach their people how to be diligent because they know that “the land only drains one’s physical power.”

The proverb teaches people about putting more effort into their daily activities for them to prosper in their lives.

Galatians 6: 9-10.

Matthew 11:12.