296. NG’HANGA MALAB’A ADAMALAGA B’IZA

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kujilangu ja gwikumbwa kub’iza na najo bhuli jene ijo jililab’a. Ijililab’a jinijo jilolecha ginhu jawiza. Ulu jigela jawiza, uweyi uojilangu jinijo, ojisola nijene, kunguno ahayile ajipandike uweyi bhuli jene ijo jilijawiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hanga malab’a adamalaga b’iza.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinajilangu ja kubhona bhuli ng’wene uyo aliowiza, ohaya ab’ize okwe. Umunhu ng’wunuyo agamonaga bhuli ng’wene ontogwa na gung’wila giki bhitole, kunguno ya jilangu jakwe jinijo, ijagung’wila gwitola bhuli ng’wene uyo aliowiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga, umunhu ng’wunuyo, giki, ‘ng’hanga malab’a adamalaga b’iza.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhutungilija umuwitoji, bho kuleka jilangu ja guhaya gub’iza na bhuli ng’wene uyo aliowiza. Ubhutungilija bhunubho, bhugubhambilija abhanhu bhenabho, ijinagwikala bho mholele umuwitoji bhobho, nu muwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-29.

Yakobo 1:14-15.

KISWAHILI: MWENYE TAMAA HAMALIZI WAZURI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye tamaa ya kutaka kuwa nacho kila kile, kimelemetacho machoni pake. Kimelemetacho hicho, huonesha kitu kilicho kizuri. Akikiona popote pale mwenye tamaa hiyo, hutaka kukichukua, kwa sababu ya kutaka kwake kukimiliki, kila kilichokizuri machoni pake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mwenye tamaa hamalizi wazuri.’

Methali hiyo hulinnganishwa kwa mtu yule aliye na tamaa ya kutaka awe naye kila amuonaye kuwa ni mzuri. Mtu huyo humpenda kila amuonaye na kumtaka waoane, kwa sababu ya tamaa yake ya kutaka kuoana na kila aliye mzuri. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘mwenye tamaa hamalizi wazuri.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu katika ndoa, kwa kuacha tamaa ya kutaka kuwa pamoja naye kila aliye mzuri. Uaminifu huo utawasaidia watu hao, katika kuishi kwa amani kwenye ndoa zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-29.

Yakobo 1:14-15.

people1

 

ENGLISH: A LUSTFUL PERSON CANNOT FINISH THE BEAUTIFUL ONES

The proverb stems from a person with a desire to own everything beautiful. Wherever such a person sees a beautiful woman, he wants to have her. That is why people say, “A lustful person cannot finish the beautiful ones.”

The proverb is tailored to a person who desires to have every beautiful woman. Such a person loves every woman he meets and wants to marry her because of his desire to marry every beautiful woman. So, people use the proverb to warn such type of persons.

This proverb teaches people about trust by giving up the desire of being with every beautiful woman. Being faithful will help these people to live peacefully in their marriage.

Matthew 5: 27-29.

James 1: 14-15.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.