Sukuma Proverbs

333. GILAGA GITUMO WAGILILA HA LUB’ELE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuleki bho ng’wana gong’ha ha lub’ele lo ng’wa nina. Ung’wana ulu ubyalwa agong’haga lub’ele halinina mpaka okula wikoma gulya. Ulu ukula ung’wana ng’wunuyo agabishiyagwa ogila ugong’ha. Ulu ubishiwa agagilaga ugong’ha na adalashokela. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gilaga gitumo wagilila ha lub’ele.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo witaga mihayo ya bhub’i, uyo agawilaga giki oye ugwiita imihayo yiniyo gitumo oyela gong’ha ha lub’ele lo ng’wa nina. Abhanhu abho umunhu ng’wunuyo ob’itilaga imihayo yiniyo, hab’o hagang’wilaga umhub’i ng’wunuyo giki, ‘gilaga gitumo wagilila ha lub’ele.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya goya gwita mihayo yabhub’i, na gub’awila abhahub’i bhoye ugwiita imihayo imib’i yiniyo, gitumo bhagilila ha lub’ele lo b’aninabho.’

Wakolosai 3:5.

KISWAHILI: ACHA KAMA ULIVYOACHA ZIWA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye kuacha kunyonya kwa mtoto kwenye ziwa la mama yake. Mtoto akizaliwa hunyonya maziwa ya mama yake, mpaka anakua kiasi cha kutosha kula chakula. Akikua mtoto huyo huachishwa kunyonya ziwa na mama yake. Akiachishwa hivyo, mtoto huyo hukoma kunyonya na hatarudia. Ndiyo maana watu huambiana kwamba, ‘acha kama ulivyoacha ziwa.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu aliyefanya kitu kibaya kwa wenzake, ambao humwambia akome kufanya hivyo, kama alivyo koma kunyonya ziwa kwa mama yake. Watu hao aliowatendea kitendo hicho, yule mkosefu, huumia sana mpaka kufikia hatua ya kumwambia mtu huyo kwamba, ‘acha kama ulivyoacha ziwa.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kutenda matendo mauvu katika jamii, kwa sababu matendo hayo huwaumiza sana wenzao. Ndiyo maana wao humwambia, mtu huyo aache maovu hayo kama alivyoacha kunyonya ziwa kwa mama yake.

Wakolosai 3:5.

woman breatfeeding

 

ENGLISH: STOP AS YOU STOPPED FEEDING AT YOUR MOTHER’S BREAST

This proverb has its origin in breastfeeding. It is obvious that when a baby is born, it begins by feeding at its mother’s breasts until when it is old enough to eat other food stuff.

At the time the baby begins eating other food stuff the mother can stop him/her from breastfeeding.

This proverb can be compared to a person who does something wrong to his/her friends then warned against it. The warning can be associated with stopping such a wrong behaviour in the same way he/she stopped sucking from his/her mother’s breasts.’

This proverb teaches people to stop doing bad things in the society because they hurt others. That is why they tell wrong doers to stop their evil deeds in order not to harm the society.

Colossians 3: 5.

332. NG’HULU JAWIZA, JIGALAJA MBITI HA NYANGO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuli nigini na nina. Unigini ng’wunuyo olatogilwe kulila ahikanza lya b’ujiku. Lushugu lumo, unina agankanga unigini giki, ‘ululamane ulila naguguponya hanze uliwe mbili.’ Ahikanza linilo aliyomba, imbiti nayo yalihoyi aha nyango. Naigwa imihayo yiniyo. Kuyiniyo lulu, imbiti yiniyo yaduka yalindilaga giki iguponegejiwa akana ize ikalye, nose ub’ujiku wela. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ng’hulu jawiza, jigalaja mbiti hanyango.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalindilaga gupandika sabho, nulu jiliwa, bho gwikuga, giki munhu agujigwisha, bho nduhu ugutumama  nimo gose gose. Umunhu ng’wunuyo adulile nulu gucha na nzala, guti ni mbiti yiniyo iyo igelewa b’ujiku, kunguno bhuli ng’wene adatogilwe uguponya sabho jakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hulu jawiza jigalaga mbiti hanyango.

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gutumama milimo ya gubhapandikila sabho, bho nduhu gulindila ja guponyiwa na bhangi, kugiki abhoyi bhajikuge.

KISWAHILI: HABARI NZURI ILIMLAZA FISI MLANGONI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwa mtoto na mama yake. Mtoto huo alipenda kulia wakati wa usiku. Siku moja mama yake alimtisha mtoto huyo, kwa kumwambia hivi, ‘ukiwa unalia nitakutupa nje uliwe na fisi.’ Wakati mama huyo akiongea hivyo, fisi naye alikuwepo mlangoni. Akayasikia maneno hayo. Kwa hiyo, fisi huyo alibaki amesubiri kwamba atatupiwa mtoto aje amle, mwishowe usiku ukapambazuka. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘habari nzuri ilimlaza fisi mlangoni.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule asubiriye kupata mali au chakula kwa kuokota, kwamba mmoja atadondosha, bila kufanya kazi yoyote. Mtu huyo huweza hata kufa kwa njaa, kama yule fisi aliyepambazukiwa usiku, kwa sababu kila mtu hapendi kutupa mali zake, au kupoteza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘habari nzuri ilimlaza fisi mlangoni.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya kazi mbalimbali ziwezazo kuwapatia mahitaji yao yakiwemo yale ya chakula, badala ya kusubiri kuokota au wengine wapoteze, ili wao waweze kuokota.

hyena

mother

ENGLISH: GOOD NEWS MADE A HYENA SLEEP AT THE DOOR

The source of this proverb is a child who used to cry at night. One day the mother of the child threatened to hrow out the child to be eaten by hyena. The hyena was around the door when the mother was threatening the child. Hearing the mother’s threat, the hyena hid itself near the door waiting for the meat. It waited the whole night with no success. That is why people say, ‘good news made a hyena sleep at the door.’

The proverb is likened to lazy people, who dream to have possessions or abundant food without struggling for them. They just wait with hope that someone will drop possessions for them to pick. Such people are likely to starve to death.

The proverb teaches people to work hard so as to be self sufficient in different sorts of life, including food and other necessities.

329. WINGA B’UDALIAGWA KAB’ILI

Imbuki ya lusumo lunulo yinginile kubhuli bho winga. Ulu winga wikwela mumho na b’amalaga b’adalashokela gwikwela hangi. Ulushugu ulo b’ikwelaga b’agiigwa b’ulya bhumala. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, winga b’udaligwa kab’ili.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’adajidililaga indoa jacho. Abhanhu bhenabho bhagajilekanijiga ikaya jabho guti giki, bhalashokela  hangi ugwikwela. Abhanhu bhenabho bhagakomelejiyagwa gujidilila ikaya jabho, bhaleke ugujilekanija, kunguno bhamala gutola. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘winga b’udaliagwa kab’ili.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujilanghana chiza ikaya jabho bho gujilisha jiliwa, kugiki abhanhu bhabho bhadule, gwikala na b’uyegi.

Mathayo 28:16-20.

Waefeso 4:5.

KISWAHILI: HARUSI HAILIWI MARA MBILI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulaji wa harusi. Harusi akisherekewa kwa wahusika kuelewana, ndiyo wamemaliza, hawatarudia tena. Siku ya kuelewana huwa wanakula chakula na kumaliza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘harusi hailiwi mara mbili.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao huzitelekeza ndoa zao kwa kutokuzijali familia hizo. Watu hao huwaacha wanafamilia bila msaada, kama kwamba, watarudia kusherekea ndoa tena.

Wale wanaozitunza ndoa zao huwahimiza watu hao wazijali familia zao kwa kuzitunza vizuri, kwa sababu, hawatarudia kufunga ndoa nyingine wakati hii ya sasa bado ipo. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, ‘harusi hailiwi mara mbili.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuzilinda kwa kuzitunza vizuri familia zao, ili watu wao waendelee kupata mahitaji yao vizuri, maishani mwao.

Mathayo 28:16-20.

Waefeso 4:5.

couples

african-food

 

ENGLISH: A WEDDING IS NEVERCELEBRATED TWICE

The source of this saying is wedding celebration. When the wedding is celebrated, it is done, it cannot be repeated. On the day of negotiating the dowry, they conclude everything and celebrate. That is why people say, “a wedding is nevercelebrated twice.”

The saying is compared to people who do not respect their marriage. Such people abandon their families as if they will celebrate the marriage again.

Such people are urged to respect their marriage and take care of their families because they cannot celebrate another wedding as the first marriage still binds them. That is why people tell these people, “a wedding is never celebrated twice.”

The proverb teaches people about respecting their marriage and being responsible for their families so that family members can live happily.

Matthew 28: 16-20.

Ephesians 4: 5.

325. NOMBA GULYA ADAB’ONELAGWA MHAYO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulombi bho jiliwa. Unombi ojiliwa ng’wunuyo, agabhizaga atub’ile. Agabhonaga giki, ilichiza ugulomba ijiliwa jinijo ukubhanhu abho bhalinajo, gutimda kujisola bho nduhu uguzunulijwa na bhanikili jiliwa. Unombi o jiliwa ulu ojipandika ijo alilomba agajilyaga na b’uyegi, kunguno adiho guhayiwa giki ohub’aga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nomba gulya adabhonelagwa mhayo.’

Usulumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatogilwe gusola sabho jabhanhu bho nduhu ugulomba. Umunhu ng’wunuyo agatumilaga makanza gakwe bho gujilomba ijiliwa jinijo, kunguno adebhile igiki, ‘nomba gulya adabhonelagwa mhayo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gusola sabho ja bhanhu bho nduhu ugulomba, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:7.

KISWAHILI: MUOMBA KULA HAONEWI NENO

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uombaji wa chakula. Muombaji huyo wa chakula huwa ameshikwa njaa. Huona kwamba ni vizuri kuomba badala ya kuchukua bila kuruhusiwa na wenye chakula hicho. Muombaji huyo wa chakula hukila kwa furaha akikipata chakula hicho alichokiomba, kwa sababu hawezi kufikiliwa kwamba amekosea. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘muomba kula honewi neno.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule asiyependa kuchukua mali za watu bila kuomba. Mtu huyo hutumia mda wake katika kuomba chakula hicho, kwa sababu, aelewa kwamba, ‘muomba kula haonewi neno.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuchukua mali za watu bila kuomba, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 7:7.

poverty

ENGLISH: ONE WHO BEGS FOOD HAS NO FAULT

This proverb rises from a person who begs for food. The person who begs for food is always hungry. Such a person finds it good to beg rather than taking food without permission from owners. When he/she is given the food, this person eats it happily because he/she cannot be accused of having done something wrong.That is why people say, “he who begs for food has no fault.”

The proverb is likened to someone who does not want to take others’ properties without asking. Such a person spends his/her time begging for food because he/she understands that, “he who begs for food has no fault.”

The proverb teaches people to stop taking others’ possessions without permission in order to live peacefully with neighbours.

Matthew 7: 7.

324. NKULU ADALYAGA

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile mub’utuuji bho jikolo jigehu mulijisema litale. Ijikolo jinijo jigusaga numo jilili duhu, jidikomile gukwila jokale umujiseme jinijo, nulu gugeha. Untuuji ojo agujisanga gitumo ojituulila jilihoyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkulu adalyaga.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agatuulaga sabho jabho mujikolo jitale ja gudula gujilang’hana chiza, nulu jigikala moyi bho makanza malihu jidujimila. Abhanhu bhenabho bhagajisangaga isabho jabho jilihoyi gitumo bhajituulila, kunguno b’adebhile igiki, ‘nkulu adalyaga.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gulanghana chiza isabho jabho bho gujituula mubenki iyo idulile gujilanghana chiza.

Zaburi 78:70-72.

1Samweli 16:7.

KISWAHILI: MKUBWA HALI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uwekaji wa vitu vichache kwenye chombo kikubwa. Kitu hicho hubakia kama kilivyo tu, hakiwezi kuongezeka kikalingana na chombo hicho, wala kupungua. Mwekaji wa kitu hicho huvikuta kama kilivyokuwa wakati akikiweka pale. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mkubwa hali.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale wawekao mali zao kwenye kitu kikubwa ambacho chaweza kutunza mali hizo kwa usalama, hata kama zitakaa kwa mda mrefu, hazitapotea. Watu hao huzikuta mali zao zikiwa salama kama walivyoziweka, kwa sababu wafahamu kwamba, ‘mkubwa hali.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kutunza vizuri mali zao kwa kuziweka kwenye mabenki yawezayo kuzitunza vizuri.

Zaburi 78:70-72.

1Samweli 16:7.

treasure

 

ENGLISH: KEEP YOUR PROPERTIES/ ITEMS IN A BIG CONTAINER

This saying comes from a tendency of putting things in a big container. Things kept in a big container will not decrease or increase to fill the container. The owner of those things will find it intact.That is why people say, “keep your properties in a big container.”

The proverb is comparable to those people who put their belongings in a container that can hold them safely for a long time without losing them. These people find their properties intact.

The proverb teaches people how to take good care of their properties by putting them in banks that can take good care of them.

Psalm 78: 70-72.

1 Samuel 16: 7.