Sukuma Proverbs

372. NG’WA B’ULALAGO B’ULI HITALE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kunzara iyo igigela kubhanhu bha ntuzu. Intuzu yali tarafa ya wilaya ya Bariadi umunkoa go Simiyu. Abhana ntuzu bhenabho umugusuma gobho bhagigwa giki ub’usiga  b’ulihoyi iLalago, umuwiya ya Maswa. Ng’hana ahab’aja koyi, b’ugab’usanga bhuhoyi, niyo bhutali bhuli Hitale. B’agayujingijiwa bho beyi ya hasili. Hunagwene abhanhu bhagayikumija bho guyomba giki, ‘ng’wa b’ulalago b’uli hitale.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho ghagabhagunanaga abhichabho, abho bhali na makoye guti ga nzala, na gangi mingi. Abhanhu bhenabho bhagabhalanjaga na bhichabho bhogub’awila  uko bhuli ub’upandiki bho jikolo na gwikala na wigunani bhunubho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wa lalago b’uli hitale.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhagunana abhanhu abho bhali na makoye, kugiki bhadule gugamala wangu, amakoye genayo.

Yakobo 4: 16-17.

 Isaya 33:8.

Isaya 28:22.

LALAGO UPO KWENYE MWAMBA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya njaa iliyotokea kwa watu wa Ntuzu. Ntuzu ilikuwa tarafa ya wilaya ya Bariadi, Mkoani Simiyu. Watu hao wa Ntuzu, katika kuhemea kwao walisikia kwamba mtama unapatikana Lalago iliyoko wilayani Maswa.

Walipoenda huko, kweli waliukuta upo mtama huo, tena ulikuwa bado kwenye mwamba wa kuupigia. Wakawa wanauziwa kwa bei nafuu. Wakawa wakipeana taarifa kwa kusema kwamba, ‘Lalago upo kwenye mwamba.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo mbalimbali yakiwemo yale ya njaa, na mengine mengi. Watu hao huwafundisha pia wenzao, namna ya kuishi kwa kusaidiana hivyo, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Lalago upo kwenye mwamba.’

Methali hiyo yafundisha watu juu ya kuwasaidia watu wao walioko kwenye matatizo, ili waweze kuyatatua mapema matatizo hayo.

Yakobo 4: 16-17.

 Isaya 33:8.

Isaya 28:22.

farming

 

ENGLISH: IN LALAGO SORGHUM ARE ON THE ROCK.

The source of this saying is famine that affected the Ntuzu people. Ntuzu was a division in Bariadi district, Simiyu Region. The Ntuzu people heard that sorghum was found in Lalago in Maswa district.

When they visited the place, they could see plent of it and it was still on the rock; a place for drying after harvesting it. The sorghum was sold cheaply to the Ntuzu people. As a way to encourage each other to visit the place, they could say ‘in Lalago millet are on the rock.’

The saying can be compared to people who help others during distress time, including hunger, and many others. It also teaches people how to live by helping each other in their lives. This is why people can say ‘in Lalago sorghum are on the rock’ to communicate care and offering a helping hand.

The proverb teaches people about helping their fellows who are in crisis so that they can solve their problems.

James 4: 16-17.

 Isaiah 33: 8.

Isaiah 28:22.

370. WALALILAGA IGONG’HO LIMO.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulaji b’o ng’wa munhu higong’ho limo. Umunhu ng’wunuyo agaminyigagwa ni ligong’ho linilo ulu olilalila kunguno ya bhudimu bholyo. Uluwela ubhujiku agab’izaga adina lubhango kunguno ya guluhiwa ni ligong’ho linilo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki ‘walalilaga igong’ho limo.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo omishaga apelanile ying’wene. Umunhu ng’wunuyo nulu agabhujiwa mhayo na bhiye, agagakalihaga gwike. Abhiye bhagadumaga uguhoya nang’hwe, kunguno ya gogoha gukalihilwa sagala. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘walalilaga igong’ho limo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya guleka gwikala na bhupelanu bho gubhakalihila sagala abhichab’o, kugiki bhadule gwikala bho mholele nabho, umuwikaji bhobho.

Yakobo 1:19-20.

Ayubu 9:27.

Mithali 19:3.

KISWAHILI: UMELALIA GONGO MOJA

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulalaji wa mtu kwenye gongo moja. Mtu huyo huumizwa sana na gongo hilo alilaliapo, kwa sababu ya ugumu wake. Usiku ukicha, yeye huwa hana raha kwa sababu ya kuteswa kwake hivyo.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘umelalia gongo moja.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ameamuka akiwa amekasilika mwenyewe. Mtu huyo, hata akiulizwa jambo na wenzake, huwa alielewi. Wenzake hushindwa kuongea naye kwa sababu ya kuogopa kukalipiwa hovyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘umelalila gongo moja.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuishi kwa hasira na wenzao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao hao, maishani mwao.

Yakobo 1:19-20.

Ayubu 9:27.

Mithali 19:3.

houmeles sleeping

 

ENGLISH: YOU HAVE SLEPT ON ONE WOOD.

The source of this saying is someone who sleeps on one wood. Such a person is likely to have severe spine pain when he/she wakes up. He/she is someone who is in pain the whole night. This is why people can tell such a person that ‘you have slept on one wood.’

The saying can be compared to a person who appears to be angry in the morning. Such a person, even when asked something, he/she can pretend not to have understood it. This is why people can tell such a person that ‘you have slept on one wood.’

The proverb teaches people about letting go of anger so that they can live in peace with their neighbors.

James 1: 19-20.

Job 9:27.

Proverbs 19: 3.

369. ULALILE BHULI?

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuli munhu uyo alalile. Umunhu ng’wunuyo adigwaga ginhu josejose kunguno ya gub’iza alimutulo jakwe jinijo. Uweyi agab’izaga alalile ahamakanza ayo yigelelilwe abhize ali miso. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, ‘ulalile b’uli.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agab’izaga adadeb’ile ijo jilendeleya aho ali uweyi. Jidulile nulu gwigela jito jitale aho ali umunhu ng’wunuyo, aliyo uweyi agub’iza adajideb’ile. Kukikalile kenako agab’izaga guti alalile aho ali henaho. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, ‘ulalile b’uli?’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gwita bhukengeji bho gudeb’a iyo ilendelea aho bhali, kugiki bhadule gub’ambilija abhichabho abho bhali mumakoye.

Luka 24:18.

Luka 22:45-46.

Zaburi 44:23.

KISWAHILI: KWA NINI UMELALA?

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya mtu aliyelala. Mtu huyo huwa hasikii kitu chochote kile kwa sababu ya kuwa na usingizi wake huo. Yeye huwa amelala hata wakati ule atakiwapo kuwa macho. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, ‘kwa nini umelala?’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwa haelewi kile kinachoendelea pale alipo. Chaweza hata kutokea kitu kubwa ambacho hutakiwa kuwa amekielewa, lakini yeye huwa hakielewi. Maisha hayo hulingana na mtu aliyelala pale alipo. Nidyo maana watu humuuliza kwamba, ‘kwa nini umelala?’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kufanya utafiti wa kuwawezesha kuelewa kile kinachoendelea pale walipo, ili waweze kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo.

Luka 24:18.

Luka 22:45-46.

Zaburi 44:23.

boy

 

 

ENGLISH: WHY HAVE YOU SLEPT?

The source of the above saying comes from someone who appears to be asleep. Such a person usually does not hear anything because of his/her sleep. He/she is always asleep even when he/she has to be awake. Such people are always being asked: ‘why have you slept?’

This saying can be compared to a person who does not understand what is going on around him/her. Something might happen that he/she should have understood, but he/she does not understand it. The saying can also be likened to a lazy person who does not want to work.This is why people can ask such a person ‘why have you slept?’ to mean that he/she has to wake up.

The proverb teaches people about doing research that can enable them understand what is going on around them. This will help them have good life.

Luke 24:18.

Luke 22: 45-46.

Psalm 44:23.

368. JALALA NGWAJE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulaji bho mitugo ng’waje. Imitugo jinijo jilina nyango, aliyo gudalugalgwa. Abhanhu ulu bhub’ona gudalugalilwe unyango gunuyo bhagayombaga giki, ‘jalala ng’waje.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajidililaga chiza ijikolo, nulu isabho jakwe. Isabho jinijo nulu jigajimila, uweyi adajisadagwa. Umunhu ng’wunuyo agajilekanijaga sagala duhu kunguyo ya gugayiwa bhudiliji bho sabho jakwe bhunubho. Hunagwene abhanhu ulu bhajibhona jilekanijije chiniko, bhagayombaga giki, ‘jalala ng’waje.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kujilang’hana chiza isabho jabho, kugiki jidizujimila sagala.

2 Mambo ya Nyakati 10:16.

Luka 16: 4- 12.

1 Timotheo 6:17.

KISWAHILI: IMELALA WAZI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulalaji wa mifugo bila kufungiwa mlango. Mifugo hao huwa na mlango wake lakini mlango huo haufungwi. Watu waunapo mlango huo ukiwa wazi, husema kwamba, ‘imelala wazi.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwa haijali vizuri mali yake. Mali hiyo hata ikipotea yeye huwa hajali. Yeye huitelekeza mali hiyo kwa sababu ya kutokujali kwake. Ndiyo maana watu waionapo mali yake hiyo iliyotelekezwa husema, ‘imelala wazi.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kutunza vizuri mali zao ili zisije zikapotea hovyo.

2 Mambo ya Nyakati 10:16.

Luka 16: 4- 12.

1 Timotheo 6:17.

maasai-herdsman

sheep-hut

 

ENGLISH: THEY HAVE SLEPT WHILE THE DOOR IS OPEN.

The source of the above saying comes from sleeping animals in their kraal without protecting them by closing their entrance door. Kraals always have doors that need to be locked when animals are in for security reasons and for limiting them moving out before being allowed to do so. This is why when people see the kraal’s door is open while animals are in can say, ‘they have slept while the door is open.’

This saying can be compared to someone who is not taking good care of his/her property. Even if the property is lost he/she does not care. He/she is someone who forsakes the property because of his/her negligence. This is why when people see such a person can say, ‘they have slept while the door is open.’

This proverb teaches people to take good care of their property.

2 Chronicles 10:16.

Luke 16: 4- 12.

1 Timothy 6:17.

367. IYILALILE IGANYELAGWA NI YIMILILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwikaji bho mitugo.  Imitugo jinijo ulu jilimulugutu lojo, ijingi jigabhizaga jilalile, ijingi jimilile. Ijo jimilile jigajinyelaga ijo jilalile. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘iyilalile iganyelagwa ni yimilile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alilembekejiwa limhayo ilo adalitumamile, kugiki wipije uyo olitumama. Umunhu uyo olitumama ilimhayo linilo, agiyejaga duhu ukubhanhu, kugiki bhamone munhu owiza, aliyo gashinaga ali munhu nomolomo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘iyilalile iganyelagwa ni yimilile.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gub’ilembekeja bhanhu ubhuhub’i ubho bhadawitile, kugiki bhalikalane ililagilo lya ng’wa Mulungu ilya kanane, ilo lilemejije uguyomba ubhulomolomo.

Yakobo 3:2-12.

Zaburi 36:3-4.

KISWAHILI: ILIYOLALA HUNYEWA NA ILIYOSIMAMA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya mifugo. Mifugo hao wakiwa zizini mwao, wengine huwa wamesimama, na wengine huwa wamelala. Wale waliosimama huwanyea wale waliolala. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘iliyolala hunyewa na iliyosimama.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule aliyesingiziwa neno ambalo hakulifanya, ili yule aliyelifanya ajiokoe. Mtu huyo aliyetenda kitendo hicho hujiosha tu kwa watu, ili aonekane kuwa ni mtu mwema, lakini kumbe ni muongo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘iliyolala hunyewa na iliyosimama.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kusema uongo, ili waweze kuiishi amri ya nane ya Mungu, ikatazayo kusema uongo.

Yakobo 3:2-12.

Zaburi 36:3-4.

cows

 

moose

 

ENGLISH: THE STANDING ONES WILL DEFALCATE ON THEIR SLEEPING COUNTERPARTS.

The source of this proverb comes from animal life. When animals are in their kraal, some will be standing while others are sleeping. Those that are standing can defalcate on the sleeping ones. This is why people can say, ‘the standing ones will defalcate on their sleeping counterparts.’

This proverb can be compared to a person who is insinuated to have done something while not. This is done in order to save someone from being given a negative label in the society.

Such a person who has done such a bad thing (might be a leader or someone who is highly respected in the society) would like to fool people around him/her by appearing smart all the time while in actual fact he/she is not. This is why one can warn such people by telling that ‘the standing ones will defalcate on their sleeping counterparts.’

This proverb teaches people to stop lying so that they can live the eighth commandment of God which prohibits people from lying.

James 3: 2-12.

Psalm 36: 3-4.

1 Timothy 6:17.