367. IYILALILE IGANYELAGWA NI YIMILILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwikaji bho mitugo.  Imitugo jinijo ulu jilimulugutu lojo, ijingi jigabhizaga jilalile, ijingi jimilile. Ijo jimilile jigajinyelaga ijo jilalile. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘iyilalile iganyelagwa ni yimilile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alilembekejiwa limhayo ilo adalitumamile, kugiki wipije uyo olitumama. Umunhu uyo olitumama ilimhayo linilo, agiyejaga duhu ukubhanhu, kugiki bhamone munhu owiza, aliyo gashinaga ali munhu nomolomo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘iyilalile iganyelagwa ni yimilile.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gub’ilembekeja bhanhu ubhuhub’i ubho bhadawitile, kugiki bhalikalane ililagilo lya ng’wa Mulungu ilya kanane, ilo lilemejije uguyomba ubhulomolomo.

Yakobo 3:2-12.

Zaburi 36:3-4.

KISWAHILI: ILIYOLALA HUNYEWA NA ILIYOSIMAMA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya mifugo. Mifugo hao wakiwa zizini mwao, wengine huwa wamesimama, na wengine huwa wamelala. Wale waliosimama huwanyea wale waliolala. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘iliyolala hunyewa na iliyosimama.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule aliyesingiziwa neno ambalo hakulifanya, ili yule aliyelifanya ajiokoe. Mtu huyo aliyetenda kitendo hicho hujiosha tu kwa watu, ili aonekane kuwa ni mtu mwema, lakini kumbe ni muongo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘iliyolala hunyewa na iliyosimama.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kusema uongo, ili waweze kuiishi amri ya nane ya Mungu, ikatazayo kusema uongo.

Yakobo 3:2-12.

Zaburi 36:3-4.

cows

 

moose

 

ENGLISH: THE STANDING ONES WILL DEFALCATE ON THEIR SLEEPING COUNTERPARTS.

The source of this proverb comes from animal life. When animals are in their kraal, some will be standing while others are sleeping. Those that are standing can defalcate on the sleeping ones. This is why people can say, ‘the standing ones will defalcate on their sleeping counterparts.’

This proverb can be compared to a person who is insinuated to have done something while not. This is done in order to save someone from being given a negative label in the society.

Such a person who has done such a bad thing (might be a leader or someone who is highly respected in the society) would like to fool people around him/her by appearing smart all the time while in actual fact he/she is not. This is why one can warn such people by telling that ‘the standing ones will defalcate on their sleeping counterparts.’

This proverb teaches people to stop lying so that they can live the eighth commandment of God which prohibits people from lying.

James 3: 2-12.

Psalm 36: 3-4.

1 Timothy 6:17.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.