372. NG’WA B’ULALAGO B’ULI HITALE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kunzara iyo igigela kubhanhu bha ntuzu. Intuzu yali tarafa ya wilaya ya Bariadi umunkoa go Simiyu. Abhana ntuzu bhenabho umugusuma gobho bhagigwa giki ub’usiga  b’ulihoyi iLalago, umuwiya ya Maswa. Ng’hana ahab’aja koyi, b’ugab’usanga bhuhoyi, niyo bhutali bhuli Hitale. B’agayujingijiwa bho beyi ya hasili. Hunagwene abhanhu bhagayikumija bho guyomba giki, ‘ng’wa b’ulalago b’uli hitale.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho ghagabhagunanaga abhichabho, abho bhali na makoye guti ga nzala, na gangi mingi. Abhanhu bhenabho bhagabhalanjaga na bhichabho bhogub’awila  uko bhuli ub’upandiki bho jikolo na gwikala na wigunani bhunubho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’wa lalago b’uli hitale.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhagunana abhanhu abho bhali na makoye, kugiki bhadule gugamala wangu, amakoye genayo.

Yakobo 4: 16-17.

 Isaya 33:8.

Isaya 28:22.

LALAGO UPO KWENYE MWAMBA.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye hali ya njaa iliyotokea kwa watu wa Ntuzu. Ntuzu ilikuwa tarafa ya wilaya ya Bariadi, Mkoani Simiyu. Watu hao wa Ntuzu, katika kuhemea kwao walisikia kwamba mtama unapatikana Lalago iliyoko wilayani Maswa.

Walipoenda huko, kweli waliukuta upo mtama huo, tena ulikuwa bado kwenye mwamba wa kuupigia. Wakawa wanauziwa kwa bei nafuu. Wakawa wakipeana taarifa kwa kusema kwamba, ‘Lalago upo kwenye mwamba.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo mbalimbali yakiwemo yale ya njaa, na mengine mengi. Watu hao huwafundisha pia wenzao, namna ya kuishi kwa kusaidiana hivyo, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Lalago upo kwenye mwamba.’

Methali hiyo yafundisha watu juu ya kuwasaidia watu wao walioko kwenye matatizo, ili waweze kuyatatua mapema matatizo hayo.

Yakobo 4: 16-17.

 Isaya 33:8.

Isaya 28:22.

farming

 

ENGLISH: IN LALAGO SORGHUM ARE ON THE ROCK.

The source of this saying is famine that affected the Ntuzu people. Ntuzu was a division in Bariadi district, Simiyu Region. The Ntuzu people heard that sorghum was found in Lalago in Maswa district.

When they visited the place, they could see plent of it and it was still on the rock; a place for drying after harvesting it. The sorghum was sold cheaply to the Ntuzu people. As a way to encourage each other to visit the place, they could say ‘in Lalago millet are on the rock.’

The saying can be compared to people who help others during distress time, including hunger, and many others. It also teaches people how to live by helping each other in their lives. This is why people can say ‘in Lalago sorghum are on the rock’ to communicate care and offering a helping hand.

The proverb teaches people about helping their fellows who are in crisis so that they can solve their problems.

James 4: 16-17.

 Isaiah 33: 8.

Isaiah 28:22.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.