Sukuma Proverbs

582. YANISONGA GUTI NZILA YA MADATULA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile wisongwi bho makoye ubho wiyikolile ni nzila ya madatula. Inzila ya madatula lilipande ilo nzila ningi jigagelelaga hoyi. Uyo upandika ginhu, lulu mayange mingi, agiikolaga ni nzila yiniyo. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, agayombaga giki, ‘yanisonga guti nzila ya Madatula.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agamanaga upandika mayange guti ga lufu, nulu ga sada bhuli makanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhizaga alimumayange genayo, ayo gaganyanjaga noyi, umukikalile kakwe.

Uweyi abhizaga guti ali hanzila iyo gagabhitilaga amakoye aga bhuli mbika, kunguno ya guchilwa hamo na bhadugu bhakwe, nulu gusada weyi, ahakaya yakwe yiniyo. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga guti giki, amakoye genayo, gagandebhaga weyi duhu. Hunagwene agayombaga giki, ‘yanisonga guti nzila ya Madatula.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiyumilija umumakoye gose, kugiki bhadule gupandika nzila ijo jidulile gugamala chiza amakoye genayo, umukikalile kabho.

KISWAHILI: YAMENISONGA KAMA SEHEMU ZINAPOSHIA NJIA NYINGI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia ulengwaji wa mfululizo wa matatizo unafanana na sehemu ile ambayo njia nyingi huishia hapo. Sehemu hiyo, ni makutanio ya njia nyingi ambazo huishia hapo. Kwa hiyo basi, hali hiyo ya kusongwa na matatizo mengi, hufanana na sehemu hiyo zinashia njia hiyo nyingi. Ndiyo maana mtu huyo, husema kwamba, ‘yamenisonga kama sehemu zinapoishia njia nyingi.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupata matatizo kama vile yale magonjwa, na vifo mara nyingi, maishani mwake. Mtu huyo, huishi katika matatizo mengi ambayo humsumbua sana, katika maisha yake.

Yeye huwa kama yuko kwenye sehemu ile ambayo matatizo ya kila aina hufikia, kwa sababu ya matatizo hayo humkumba yeye tu. Ndiyo maana mtu huyo husema kwamba, ‘yamenisonga kama sehemu zinapoishia njia nyingi.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu katika matatizo wanayokumbana nayo, maishani mwao, ili waweze kupata njia  za kuyatatulia matatizo yao, katika maisha yao.

nzila

kaniki1

kanigini1

ENGLISH: I’M BEING PESTERED BY MANY PROBLEMS LIKE THE ONE END OF SEVERAL ROADS.

The source of this saying is many problems one encounter in life. These problems are likened to one end of several roads. The part of the road that marks the end of it can have several roads with different challenges. And, being the final destination, this part of the road should be able to withstand those challenges. This is why people came with the saying that ‘I’m being pestered by many problems like the one end of several roads.’  

This saying can be compared to people who suffer from problems such as illnesses and deaths many times in their lives. They suffer to the extent of making them appear like being at the one end of the road that has several roads.

This proverb teaches people to be patient when they face problems in their lives. Patience will enable them to have a peace of mind in their lives.

578. NGEGEMEJI IDIKOJAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola nzagamba ya Ng’ombe iyo idapandaga inhima. Inzagamba yiniyo, igamanaga yugegemela bho gujilimhila ng’hima, nugupanda nduhu. Iyiniyo, idudula ugwikoja nulu ng’wana (ndilanha). Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngegemeji idikojaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo bhogususanya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adiko gubyedecha nimo gosegose, kunguno ya gwikala bho nduhu ugutumama chiza imilimo yakwe.

Uweyi agikolaga ni nzagamba iyo igagegemelaga duhu, bho nguhu ugupanda, kunguno nuweyi agasusanyama uguitumama imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngegemeji idikojaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kutumama milimo bho nduhu ugususanya, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15-20.

Mathayo 7:21-28.

Waroma 12:11-12.

Yakobo 2:14-17.

KISWAHILI: ANAYESITASITA HAWEZI KUFANIKISHA KUPATA MTOTO ANAYEFANANA NAYE.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia fahari wa ng’ombe ambaye apandi majike. Fahari huyo, ni dume la ng’ome ambalo haliwezi kupata majike, badala yake lenyewe huishia kujalibia tu, bila kuyapanda. Yeye hawezi kuwa na ndama anayefanana naye. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘anayesitasita hawezi kufanikisha kupata mtoto anayefanana naye.’

Methali hiyo, hufananishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi kwa kusitasita, maishani mwake. Mtu huyo, hawezi kufanikiwa katika kazi yoyote ile, kwa sababu ya kuishi bila kuyatekeleza vizuri majukumu yake.

Yeye hufanana na fahari ambaye husitasita kupanda majike, kwa sababu naye husitasita kuyatekeleza majukumu yake. Mtu huyo, hajiwekei mikakati ya kufanya kazi kwa badii hadi kuzimaliza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘anayesitasita hawezi kufanikisha kupata mtoto anayefanana naye.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa ukamilifu hadi kuyamaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika maisha yao.

Mathayo 7:15-20.

Mathayo 7:21-28.

Waroma 12:11-12.

Yakobo 2:14-17.

nzagamba ngegemeji

bull

buli1

 

ENGLISH: HE WHO HESITATES WILL NEVER GET A CHILD THAT RESEMBLES HIM.

The source of this proverb is a bull that is hesitant to mount a cow. This bull fails to mount the cow, instead, ends up trying to mount it. Such a bull is not likely to have a calf that resembles it (the bull). This is why people can describe such a bull using the proverb that ‘he who hesitates will never get a child that resembles him.’

The proverb is likened to a person who works with hesitation in his/her life. Such a person will not be able to succeed in life because he or she is not living up to his or her responsibilities. He/she is like a bull that fails to fulfill its responsibilities. This person also does not make plans to work to the end.

This proverb teaches people to carry out their tasks to the fullest. This will enable them to have achievements in life.

Matthew 7: 15-20. Matthew 7: 21-28. Romans 12: 11-12. James 2: 14-17.

577. NG’HALA NINGI JIDISIMBILAGA MYOB’O.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola ndimu iji jigitanagwa Ng’hala. Indimu jinijo, jigikalaga mu mang’ob’o. Bhuli Ng’hala igikalaga mung’ob’o goyo uyo yagusimba yoyi. Aliyo lulu, ulu jigwa ng’wichajo oyogolwa, pye jigafumaga gujung’wambilija. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hala ningi jidisimbilaga myob’o.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gwiyambilija wangu ulu ng’wichabho opandikaga makoye. Abhanhu bhenabho, bhiyiigwile chiza mukikalile kabho, kunguno bhuli ng’webe agatumamaga imilimo yakwe chiza, ukunhu alumanile nabhiye ijinagubhamilija abho bhapandikaga mayange.

Abhoyi bhagikolaga ni ng’hala, ijo jidisimbilaga myob’o, aliyo bhuli yene igajaga wangu ugujubhambilija abhichabho abho bhapandikaga makoye, kunguno nabhoyi bhali na ng’wigwano ugogwiyambilija chiza, umumakoye gabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hala ningi jidisimbilaga myob’o.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwiyambilija umumakoye gabho, bho gudima malagilo ga ng’wa Mulungu na ga Kanisa, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:22-24.

1Timotheo 6:11-12.

Luka 12:58.

KISWAHILI: VICHECHE WENGI HAWACHIMBIANI MAPANGO/MASHIMO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia wanyama wanaoitwa vicheche. Vicheche hao, huishi kwenye mapango au mashimo mbalimbali ambayo kila mmoja amendaa. Kila mmoja huishi kwenye shimo lake alilolichimba. Lakini basi, vicheche hao wakisikia kwamba mmoja wao amevamiwa, wote hutoka mashimoni mwao, kwenda kumsaidia mwenzao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vicheche wengi hawachimbiani mashimo/mapango.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano mzuri wa kusaidiana haraka wanapoona kwamba mwenzao amepata matatizo. Watu hao, wanaelewana vizuri katika maisha yao, kwa sababu kila mmoja wao hufanya kazi zake, huku akiwa tayari kwenda kuwasaidia wenzake wenye matatio, kwa haraka inavyo wezekana.

Wao hufanana na vicheche wanaojitegemea katika kuyatekeleza majukumu yao, huku wakiwa tayari kwenda kuwasaidia wenzao waliopata matatizo, kwa sababu nao wana uelewano wa kusaidiana vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vicheche wengi hawachimbiani mashimo/mapango.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kusaidiana vizuri katika kutatua matatizo mbalimbali, kwa kuzishika amri za Mungu na za Kanisa, maishani mwao, ili aweze kuishi kwa amani na wenzao katika maisha yao.

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:22-24.

1Timotheo 6:11-12.

Luka 12:58.

ng'hala3

ng'hala2

 

ENGLISH: MEERKATS DO NOT DIG HOLES FOR EACH OTHER.

The source of this proverb is the wild animal known by the name of meerkat. These animals always live in caves or pits, which each one of them digs. Each of these meerkats live in its cave/pit but when it comes that one of them is attacked by an enemy, all of them living around can come out to defend their fellow. This is why people came with this proverb to mean that meerkats do not dig caves/pits for others rather they dig them for their own but protection against enemies is the responsibility of each one of them.

This proverb can be compared to those people who have a good understanding of helping each other as soon as they find out that someone is in need of help. These people understand others well and they are able to help them. These people are highly needed during times of crisis.

The proverb teaches people about the need of helping each other in solving problems. It also teaches people to abide by God’s and Church’s commandments by ensuring that needy people are helped accordingly.

Matthew 7: 13-14. Luke 13: 22-24. 1Timothy 6: 11-12. Luke 12:58.

573. INGI AHO YUNYELA IGALEKAGA BHANA.

Imbuki ya lusumo lunulo, ililola kikalile ka ingi, na kibyalile kayo. Ingi yiniyo, igagwilaga lulu mujiliwa yaleka bhana moyi. Abhana bhayo tugabhizaga tugino tudodo tope, uto tudulile guibhoza nulu nyama iyo yagwilagwa ni ingi yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingi aho yunyela ikalaekaga bhana.’

Ulusumo lunulo, lugalenaganijiyagwa kuli munhu uyo ali nomolomo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo ya bhulomolomo iyo igabhipyaga kaya ja bhanhu.

Uweyi agikolaga ni ngi iyo igalekaga bhana abho bhagabhipyaga jiliwa ja bhanhu, kunguno nuweyi imihayo yakwe ya bhulomolomo yiniyo, igalisanyaga bhanhu, mpaga nose bhabhulaga kaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘ingi aho yunyela igalekaga bhana.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhulomolomo umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 23:1.

Walawi 9:11.

Mathayo 7:15-18.

2Watorintho 4:2.

Yakobo 1:26.

KISWAHILI: INZI AKITUA POPOTE HUACHA WATOTO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia maisha ya inzi na kuzaliana kwake. Ingi huyo, hutua hata kwenye chakula na kuacha watoto. Watoto hao, huwa funza wadogo wadogo ambao huweza hata kuharibu nyama ambayo wameachwa juu yake na inzi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘inzi akitua popote huacha watoto.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni muongo katika maisha yake. Mtu huyo, husema maneno ya uongo ambayo husababisha hata kugawanyika kwa wanafamilia, kwa sababu ya uchonganishi wake.

Yeye hufanana na inzi ambaye huwaacha watoto kila anapotua ambao huharibu chakula cha watu, kwa sababu naye hugonganisha watu hata kufikia hatua ya kuvunjika kwa mji wao, kwa sababu ya uongo wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘inzi akitua popote huacha watoto.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kusema uongo matika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu  wao, maishani mwao.

Kutoka 23:1.

Walawi 9:11.

Mathayo 7:15-18.

2Watorintho 4:2.

Yakobo 1:26.

ngi

ngi1

ngi2

 

ENGLISH: EVERYWHERE A FLY LANDS IT LEAVES ITS EGGS

The source of this saying is the life of a fly. Everywhere a fly lands it leaves eggs. These eggs can grow into larvae that can destroy something, for example, meat and other related things. To warn people against entertaining such insects, one can use the saying that ‘everywhere a fly lands it leaves its eggs/larvae.’

The saying can be compared to a person who is a liar in his or her life. This person is likely to affect family members by making false statements. In such a context of false statements, one can experience division among family members. Such a person who is a liar can be compared to a fly that always leaves impact wherever it lands.

This proverb teaches people to break the habit of lying in their lives. Rather, they have to be trusthworthy so that they can have peace with others in the society.

Exodus 23: 1. Leviticus 9:11. Matthew 7: 15-18. 2Corinthians 4: 2. James 1:26

572. INGILI YA BHANA IDALUMAGWA MATIMBA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola ndimu iyi igitangwa ngili. Indimu yiniyo, igikalaga ikingilwe na bhana bhayo umumagulu gayo. Kuyiniyo lulu, abhana bhayo bhenabho, bhagagashigijaga amatimba gayo, kugiki gadizulung’wa na ginhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingili ya bhana idalumagwa matimba.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhana bhingi abho bhagang’wimbilijaga, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agagunanagwa na bhana bhenabho, ulu opandikaga makoye.

Uweyi agikolaga ni ngili iya bhana iyo idalumagwa matimba, kunguno nuweyi, agalanghanagwa na bhana bhake bhenabho, bho gwambilijiwa umumakoye gakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingili ya bhana idalumagwa matimba.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gubhambilija chiza, ijinagubhinja umumakoye, umukikalile kabho.

Mathayo 28:16-20.

Marko 3:14-19.

Zaburi 127:3-5.

KISWAHILI: KIFARU MWENYE WATOTO HANG’ATWI MIGUUNI.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mnyama poli anayeitwa ngili. Mnyaga huyo, huwa na watoto ambao huzunguka miguuni pake. Kwa hiyo basi, watoto hao huizuia miguu yake kung’atwa na kitu chochote. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ngili mwenye watoto hang’atwi miguuni.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana watoto wengi wa kumsaidia katika maisha yake. Mtu huyo, hupata msaada wa kuyatatua matatizo mbalimbali maishani mwake.

Yeye hufanana na ngili mwenye watoto waizuiao miguu yake kung’atwa na kitu, kwa sababu naye ana watoto ambao humsaidia anapopata matatizo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ngili mwenye watoto hang’atwi miguuni.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watu wato, ili waweze kuwasaidia vizuri katika kutatua matatizo mbalimbali, katika maisha yao.

Mathayo 28:16-20.

Marko 3:14-19.

Zaburi 127:3-5.

ngili2

ENGLISH: THE RHINOCEROS THAT HAS BABIES IS NOT BITTEN ON HER LEGS.

The source of this proverb is the wild animal known by the name of Rhinoceros. This wild animal, when has children, its children will always surround their mother thus keeping their mothers’ legs always protected against any insect that is likely to harm them through their legs. It is through this kind of protection that people came up with this proverb that ‘the wild boar with children is not bitten on legs’ to communicate the power of children in protecting their mothers against enemies.

The proverb can be compared to a person who has children to support in his or her life. This person is capable of getting help from his/her children in his or her life. This person can be likened to wild boar with children who keep its feet from getting stuck. Children ensure the survival of their mother.

This proverb teaches people on how to take care of their children with hope that these children will help their parents when they are old enough to sustain their lives.

Matthew 28: 16-20. Mark 3: 14-19. Psalm 127: 3-5