Sukuma Proverbs

638. LYUBA MBANDEBUTOLWA BHO NASSA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhudamu bho bhutolwa bho bhanhu bha Nassa. Ukubhanhu bhenabho abha Nassa, ubhutolwa bholi bhulambu noyi ikale. Gashinaga lulu, ugushiga munhu ugatolwa mumho lyubha lwake, kunguno yiniyo, ulu umo wabho utolwa olamyaga lyubha lyakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘lyubha mbandebhutolwa bho Nassa.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalombaga Lyubha lwakwe, ulu uhaya gutumama mhayo ntale, guti kutola, lunu gutolwa. Umunhu ng’wunuyo, agalombaga lyuka, nulu Mulungu, kunguno, adebhile igiki Uweyi huyo aimanile imyoyo ya bhanhu bhose. Kuyiniyo lulu, uMulungu adulile gupandikila bahati umunhu ng’wunuyo, ya gugumala chiza umaho gokwe gunuyo.

Umunhu ng’wunuyo, ulu ogutumama chiza umhayo gokwe, aganumbilija Mulungu, guti na bhanhu abha Nassa, abho bhagalumbaga Lyubha ulu bhapandika inhola, umukikalile kabho.

Uweyi agabhalangaga abhiye ahigulya ya kunomba Mulungu ulu bhalihaya gutumama milimo yabho, na gunumbilija Weyi ulu bhayipandika iyo bhaluyilombaga. Hunagwene ulu bhatumama chiza imilimo yabho, abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, ‘‘lyubha mbandebhutolwa bho Nassa.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gunomba Welelo haho bhatali ugiutumama imilimo yabho, na gunumbilija Weyi ulu bhayimala chiza mihayo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 17:8-9.

Luka 17:11-17.

Luka 11:5-13.

Mathayo 11:28.

KISWAHILI: NURU UNIHIFADHI KUOLEWA KWA WATU WA NASSA.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye ugumu wa kuolewa wa watu wa Nassa. Watu hao wa Nassa, suala la kuolewa lilikuwa gumu sana hapo zamani. Kumbe basi, mtu akipata bahati ya kuolewa au kuoa, ali mshukuru yule aletaye mwanga ambaye ni Mungu, kwa kumwezesha kulikamilisha jambo hilo. Ndiyo maana watu walisema kwamba, ‘nuru unihifadhi kuolewa kwa watu wa Nassa.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humuomba Mungu akitaka kufanya kazi fulani, zikiwemo zile za kupata mchumba aliye mwema, maishani mwake. Mtu huyo, humuomba Mungu kwa sababu Huyo ndiye anayifahamu mioyo ya watu wote. Kwa hiyo, Mungu aweza kumpatia mtu huyo, bahati ya kuimaliza vizuri kazi yake hiyo, na kwa mafanikio makubwa.

Mtu huyo, akifanikiwa vizuri kwenye kazi zake, humshukuru Mungu, kama wale watu wa Nassa wanavyomshukuru Yeye kwa kuwawezesha kufunga ndoa, au kupata jambo walilolimba kwakwe, kwa sababu naye, humshukuru Mungu anapoikamilisha kazi yake, aliyomuomba.

Yeye huwafundisha wenzake juu ya kumuomba Mungu kabla ya kutekeleza kazi au jambo fulani, na kumshukuru Yeye wanapofanikiwa kulitekeleza jambo hilo. Ndiyo maana watu hao, husema kwamba, ‘nuru unihifadhi kuolewa kwa watu wa Nassa.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kumuomba Mungu kabla ya kulitekeleza jambo wanalokata kulifanya, na kumshukuru Yeye wanapolikamisha, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 17:8-9.

Luka 17:11-17.

Luka 11:5-13.

Mathayo 11:28.

african-2

girl-madagascar

prayer

 

ENGLISH: GETTING MARRIAGE FOR THE NASSA PEOPLE NEED GOD’S GRACE.

The source of this saying is the Nassa people and how they struggle to get married. In the past, it was very difficult for people coming from a place called Nassa to get married. Much as they were struggling to get partners for marriage, it was not easy to accomplish the marriage mission. If one of them managed to get married then she/he was considered to be blessed.

This saying can be compared to a person who prays to God for a specific help, including getting a good and life-long bride. This person knows the power of God and therefore entrusts Him his/her needs with hope that they will be resolved and with great success. This person, like the Nassa people, is thankful to God because He enables him/her fulfill his/her ambitions. He/she teaches other people about the power of prayers and respect to God in order to have a successful life.

This proverb teaches people to pray to God before doing what they want to do. They also need to thank Him when they have accomplished it. When they do so, they can have good achievements in their societies.

Psalm 17: 8-9, Luke 17: 11-17, Luke 11: 5-13, Matthew 11:28.

635. MBISILA YA NCHI AIMANILE UYO ALING`OJA.

Imbuki ya lusumo lunuo, yilolile bhoja bho nchi, nulu mimba go munhu. Ubhoja bho mimba bhunubho, bhugang’wenhelejaga ung’oja gumana mbisila ningi ija mimba gokwe umunhu uyo ozumalikaga ng’wunyo.

Imbisila jinijo, jigambilijaga ugudebha umo wikalilaga unjimiji, umushigu ja bhulamu bhokwe. Ung’oja okwe ng’wunuyo, agajilang’hanaga imbisila jinijo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mbisila ya nchi alimanile uyo aling’oja.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agailanghana chiza imihayo ya mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaiyombaga sagara imihayo ya mugati ya numba yakwe, kunguno adebhile ugujidimila imbisira ja kaya yakwe. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwikala na bhuyegi na bhiye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’oja o nchi, kunguno nuweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe, bho gujilang’hana imbisila ja mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya kujibheja chiza ikaya jabho, bho guilang’hana imihayo ya mukaya jabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘mbisila ya nchi alimanile uyo aling’oja.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujibheja chiza ikaya jabho, bho gujilanghana imbisila ja mukaya yabho jinijo, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

KISWAHILI: SIRI YA MAITI AIJUAYE MWOSHA.

 Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uoshaji wa maiti. Uoshaji huo wa maiti, humwezesha yule anayeosha kuzifahamu siri ya marehemu, kwa sababu ya kupata nafasi ya kumuangalia mwili mzima.

Siri hizo husaidia kuyaelewa maisha ya marehemu huyo yalivyokuwa katika enzi za uhai wake. Yeye huzitunza sili hizo, katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘siri ya maiti aijuaye mwosha.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitunza vizuri siri za ndani ya familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hayaongei hovyo maneno ya ndani ya familia yake hiyo, kwa sababu anafahamu namna ya kuzitunza siri za familia yake. Yeye huijenga vizuri familia yake kwa huishi kwa furaha na wenzake, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mwoshaji wa maiti azitunzaye siri za maiti, kwa sababu naye huwa anaijenga vizuri familia yake, kwa kuzitunza siri za familia yake hiyo, katika maisha yake.

Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kuzijenga familia zao, kwa kuzitunza vizuri siri za ndani ya familia zao hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘siri ya maiti aijuaye mwosha.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijenga vizuri familia zao, kwa kuzitunzia siri zake, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao, maishani mwao.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

active couple

couple africans

family kids

ENGLISH: THE CLEANER KNOWS THE SECRET OF THE DEAD.

The foundation of the overhead proverb is the washing of dead bodies. This cleaning of the corpse enables the one who washes them to discover the mystery of the deceased, because he/she gets an opportunity to look at the whole body.
Such secret helps to understand the deceased’s life during his/her lifetime. He/she takes care of those jewels, in lifetime. That is why people say, ”the cleaner knows the secret of the dead.’

Such proverb is compared to the man who takes good care of secrets of his family, in his life. Such man does not speak to any person his family’s words, because he knows how to keep his family secret. He builds his family well by living happily with others, in their lives.

The man is like a corpse cleaner who treats the mysteries of the dead, because he also builds his family well, by keeping his family’s secret, in his life.
In his own life, he teaches his family members on how to build their families, by taking good care of the secrets of their families. That is why he tells people, ‘the cleaner knows the secret of the dead.’

This proverb imparts in people an idea on how to properly build their families, by safeguarding their secrets, in their lives, so that they can live happily with others, in their lives.

Proverbs 25: 9.
Daniel 2:22.
Luke 8:10.
Colossians 1: 26-27.
1Corinthians 15:51.
Ephesians 1: 9.

634. KABHAMBILE KA NG´OMA KAMANILWE MAMBI WAYO.

Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubhambi bho ng’oma. Ubhubhambi bho ng’oma bhunubho, bhugikalaga bhulekanile, kunguno abhabhambi bhenabho, bhuli ng´wene, ali na kabhambile kakwe ako kali heke na kab´iye.

Abhoyi bhagatulaga ginhu, umugati ya ng´oma yiniyo, ijo bhagajitanaga liana lya ng´oma. Iginhu jinijo, igabhizaga siri ya mambi, nulu kamanwa mambi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘kabhambile ka ng’oma kamanilwe mambi wayo.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agailang’hanaga chiza imihayo ya mukaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adaiyombaga sagara imihayo ya mugati ya numba yakwe, kunguno adebhile ugujidimila imbisira hakaya yakwe. Uweyi agaibhejaga chiza ikaya yakwe bho gwikala na bhuyegi na bhiye, umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mambi o ng’oma uyo gajilang’hanaga imbisila ja nchi, kunguno nuweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe, bho gujilang’hana imbisila ja mukaya yakwe, umukikalile kakwe.

Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya kujibheja chiza ikaya jabho, bho guilang’hana imihayo ya mukaya jabho. Hunagwene uweyi agabhawilaga abhanhu giki, ‘kabhambile ka ng’oma kamanilwe mambi wayo.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujibheja chiza ikaya jabho, bho gujilanghana imbisila ja mukaya yabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho bhuyeji na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1 Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

KISWAHILI: NAMNA YA KUZIBA NGOMA ANAFAHAMU ANAYEZIBA.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uzibaji wa ngoma. Uzibaji huyo wa ngoma, hutofautiana, kwa sababu ya wazibaji hao kuwa kila mmoja ana namna yake ya kuziba, ambayo nitofauti na za wenzake.

Wao huweka kitu ndani ya ngoma waliyoiziba, kinachoitwa, toto la ngama. Kitu hicho, ni siri ya mzibaji wa ngoma hiyo, ambayo hufahamika kwa yule aliyeiziba peke yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘namna ya kuziba ngoma anaifahamu mzibaji wake.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzilinda vizuri siri za  ndani ya familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, hayaongei hovyo maneno ya ndani ya familia yake hiyo, kwa sababu anafahamu namna ya kuzitunza siri za familia yake. Yeye huijenga vizuri familia yake kwa huishi kwa furaha na wenzake, maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na mzibaji wa ngoma anayezitunza siri za maiti, kwa sababu naye huwa anaijenga vizuri familia yake, kwa kuzitunza siri za familia yake hiyo, katika maisha yake.

Maisha yake hayo, huwafundisha watu namna ya kuzijenga familia zao, kwa kuzitunza vizuri siri za ndani ya familia zao hizo. Ndiyo maana yeye huwaambia wenzake kwamba, ‘namna ya kuziba ngoma anaifahamu mzibaji wake.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzijenga vizuri familia zao, kwa kuzintuzia siri zake, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa furaha na wenzao, maishani mwao.

Mithali 25:9.

Daniel 2:22.

Luka 8:10.

Wakolosai 1:26-27.

1 Wakorintho 15:51.

Waefeso 1:9.

ng'oma

ng'oma1

ng'oma5

 

ENGLISH: HOW TO MAKE A DRUM IS ONLY KNOWN BY THE DRUM MAKER.

The source of this proverb is a drum and the way it is overlayed. The way one drum can be overlayed can differ from one to another, depending on its maker. The makers of drums have different artifacts in decorating them and ensuring that they produce a certain sound of their choice. This secret about what has been used to decorate the drum is only known by the maker of that drum. This is why people came with this proverb that ‘How to make a drum is only known by the drum maker.’

This proverb can be compared to a person who protects the privacy of his/her family.This person does not like revealing family secrets in public. Such a person will be able to build his/her family well by living happily with others in their lives. Like the drum maker, this person will ensure that the family is solid enough and has a good reputation by hiding some of the family issues that are likely to affect the general society’s welfare.

This person also teaches others about family unification and respect by having family secrets.

This proverb teaches people about how to properly build their families by concealing secrets that are likely to affect the society or damage the family’s reputation.

Proverbs 25: 9, Daniel 2:22, Luke 8:10, Colossians 1: 26-27, 1Corinthians 15:51, Ephesians 1: 9.

633. MBI YA MPANGA IDABHAMBALAGWA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhusimbi bho jigila ja ng’wa munhu uyo atali mpanga. Ubhusimbi bho jigila bhunubho, bhugabhejiyagwa ulu munhu omalaga guzumalika, kunguno ulu bhujisimba hayo atali mpanga, mumho bhahayile giti ache umunhu ng’wunuyo.

Ubhusimbi bho jigila ja  ng’wa munhu uyo atali uguzumalika, hugubhambala mbi ya ng’wa munhu uyo atali mpanga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘mbi ya mpanga idabhambalagwa.’

Ulusumo lusuno, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agabhalombelaga gupandika yabhubhi abhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adina ubhutogwa bho ng’hana ukubhuye, kunguno ya bhuchilu, nulu bhukali bhokwe. Uweyi ahayile apandike weyi duhu iyawiza, abhiye bhagayiwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikilolaga nu bhusimbi bho jigila ja ng’wa munhu uyo atali mpanga, kunguno nuweyi agabhiganikilaga mihayo ya bhubhi abhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘mbi ya mpanga idabhambalagwa.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho ng’hana ukubhichabho, bho gubhalombela mbango, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandkika matwajo ga gubheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 23:53b.

2 Samweli 12:18.

1 Wafalme 13:22.

2 Nyakati 34:28.

Mathayo 27:59-60.

KISWAHILI: KABURI LA MTU HAI HALITAYARISHWI.

Chanzo methali hiyo, chatokea kwenye utayarishaji wa kaburi la mtu  aliye hai. Utayarishaji huo wa kaburi, hufanyika wakati mtu amefariki baada ya kufahamu kule atakakozikwa, kwa sababu wakimchimbia kaburi yule alie hai, humaanisha kumtakia kifo mtu huyo. Kumbe mtu aliye hai hatayarishiwi kaburi kabla hajafa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kaburi la mtu hai halitayarishwi.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatakia mabaya wenzake katika maisha yake. Mtu huyo, hana upendo wa kweli kwa wenzake, kwa sababu ya ukali wake au hasira zake. Yeye hutaka afanikiwe yeye tu na wengine wakose.

Mtu huyo, hufanana na uchimbaji wa kaburi la mtu yule ambaye bado hajafa, kwa sababu naye, huwatakia mabaya wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kaburi la mtu hai halitayarishwi.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kweli kwa wenzao, kwa kuwaombea baraka au kuwatakia mema, katika maisha yao, ili waweze kupata mafanikio ya kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 23:53b.

2 Samweli 12:18.

1 Wafalme 13:22.

2 Nyakati 34:28.

Mathayo 27:59-60.

jigila4

jigila3

 

ENGLISH: ONE’S GRAVE CANNOT BE PREPARED WHILE HE/SHE IS STILL ALIVE.

The source of this proverb is a grave and how it can be prepared. Under normal circumstances, graves are prepared when someone has died. It is very uncommon to see a person preparing a grave for someone who is still alive. If he/she does so then that person is considered as a bad wisher to his/her colleague. This is why people came with this saying that ‘one’s grave cannot be prepared while he/she is still alive’ to communicate the impossibility of preparing a grave for a still living person.

This proverb can be compared to a person who wishes others bad things in life. Such a person does not have real love to others. Like someone who can dig a grave for a living person, this person can block someone’s struggle in his/her life.

The proverb teaches people to show genuine love for their fellow huma beings by praying for their blessing or wishing them good in their lives. In so doing they will be helping them to have success in life.

Luke 23: 53b, 2Samuel 12:18, 1Kings 13:22, 2Chronicles 34:28, Matthew 27: 59-60.

630. UGUBHALAGA MAGANA MABHOZU.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile kubhubhaji bho gushika mpaka magana, aliyo gali mabhozu. Ubhubhaji bhunubho, bhuli bho gusoloja ginhu ijo jabhola mpaga jukoma magana mingi.

Umhaji uo magana amabhozu genayo, agiganikaga giki ali na jikolo, aliyo gashinaga nduhu adinajo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugubhalaga magana mabhozu.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalaga ginhu ijo adinajo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajisolojaga ijikolo ijo jili muwisagizu bhokwe duhu. Uweyi agiganikaga guti giki ugujipandika, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhalaga magana mabhozu, kunguno nuweyi agajisolojaga ginhu ijo jilimuwisagizu bhokwe duhu, ijo atali ugujipandika. Uweyi agitindika guchola jikolo bho gutumama milimo yakwe chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘ugubhalaga magana mabhozu.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho, gukila gwisagilwa ginhu ijo bhadinajo, umukikalile kabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Hesabu 11:6.

Ayubu 6:20.

Luka 6:34.

Ufunuo 3:17-18.

Luka 12:16-31.

KISWAHILI: UNAHESABU MAMIA YALIYOOZA.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye uhesabuji bho vitu viliyooza mpaga kufikisha mamia. Uhesabau huo, ni wa kuhesabu mpaga kufikisha mamia ya vitu vilivyoharibika. Mhesabuji huyo, hudhani kwamba vitu hivyo vitamsaidia katika maisha yake, kumbe sivyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘unahesabu mamia yaliyooza.’

Mtu huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huhesabu vitu ambavyo hana, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa anavihesabu vitu vile ambavyo yeye huvitumaini kwa maana ya kutaka kuvipata. Yeye huvifikiria vitu hivyo kana kwamba amevipata tayari, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule anayehesabu vitu vilivyooza, kwa sababu naye huhesabu vitu ambavyo huvitumaini tu, kuvipata, lakini bado hajavipata. Yeye hujichelewesha kutafuta mali kwa kujibidisha kufanya kazi. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘unahesabu mamia yaliyooza.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kujibidisha kufanya kazi zao, kuliko kutegemea vitu vya kufikirika wasivyokuwa navyo, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Hesabu 11:6.

Ayubu 6:20.

Luka 6:34.

Ufunuo 3:17-18.

Luka 12:16-31.

ntumami4

nimi

bhalimi1

bhalimi

 

ENGLISH: YOU COUNT HUNDREDS OF ROTTEN THINGS.

The source of this saying is counting of objects. This counting can include even things that are out of date or rotten. The person who is doing the counting might think that all the available items/objects are useful in life while in actual fact they are not. This is why people came with this saying that ‘you count hundreds of rotten things’ to mean the inclusion of rotten objects in counting.

This saying can be compared to a person who, in his/her life, tends to include things that do not exist rather he/she is in the plan of getting them. He/she includes hopes/wishes in his/her counting by assuming that he/she has them already. Such a person is compared to someone who includes even rotten things in his/her counting.

This saying teaches people to concentrate on doing their works rather than relying on things they don’t have in life.

Numbers 11: 6, Job 6:20, Luke 6:34, Revelation 3: 17-18, Luke 12: 16-31.