629. UNG´WANA ULU WIBHALAGWA AGALOLAGA NG´HUNI YA NG´WA NINA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yingilile ukuwibhaji bho ug´wana uyo agalolaga ng’huni ya ng’wa nina. Ung’wana ng’wunuyo, ulu wibhalwa ku ngongo na nina agalolaga ku ng´huni  iya ng´wa nina yiniyo. Giko lulu, ung`wana ng’wunuyo agwikala ayidebhile umo yili kunguno, agaiyilolelaga bho makanza malihu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ung’wana ulu wibhalagwa agalolaga ng’huni ya ng’wa nila.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalelaga abhana bhakwe, bho gwikala na nhungwa niza uweyi ng’winikili, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile igiki, ung’wana agajilolaga ing’hungwa ja myaji okwe, kunguno akikalile ka ng’wa munhu hako kagalangaga kulebha imihayo yakwe.

Kuyiniyo lulu, umyaji uyo ali na ng’hungwa ja bhubhi, agabhalekejaga na bhana bhakwe, akajile kakwe kenako. Aliyo lulu, umyaji uyo ali na ng’hungwa ja wiza, abhana bhakwe bhagajigemeja ing’hungwa jakwe jinijo, umukikalile kabho.

Umunhu ng’wunuyo, agabhalelaga chiza abhana bhakwe bho kikalile kakwe ako kaligemelo ja gwikala na ng’hungwa jawiza. Uweyi agabhalomelaga abhanhu bhakwe bhenabho, mihayo iyo idulile gubhambilija ugwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘ung’wana ulu wibhalagwa agalolaga ng’huni ya ng’wa nila.’

ULusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhalela abhana mukalile kawiza, bho gwikala mu ng’hungwa jawiza abhoyi bhenikili, kugiki abhana bhabho bhenabho, bhudule gujikalana ing’hungwa jinijo, umuwikaji bhobho.

Hesabu 11:12.

Mithali 22:6.

Waefeso 6:4.

KISWAHILI: MTOTO AKIBEBWA MGONGONI HUANGALIA KISOGO CHA MAMA YAKE.

Chanzo cha methali hiyo, chatokea kwenye ubebwaji wa mtoto ngongoni ambaye huangalia kisogo cha mama yake. Mtu huyo, akibebwa mgononi na mama yake hukiangalia kisogo hicho cha mama yake. Hivyo basi, mtoto huyo atakuwa anakielewa sana kisogo hicho, kwa sababu ya yeye kukiangalia kwa muda mrefu katika maisha yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mtoto akibebwa mgongoni huangalia kisogo cha mama yake.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwalea watoto wake kwa kuishi katika maadili mema yeye mwenyewe, katika maisha yake. Mtu huyo, anafahamu kwamba, mtoto huiangalia tabia ya mzazi wake, kwa sababu, maisha ya mtu hufundisha zaidi kuliko maneno yake.

Kwa hiyo basi, mzazi mwenye tabia njema, huwaambukiza tabia hiyo watoto wake, kwa sababu ya wao kuifikiria tabia hiyo kuwa ndiyo nzuri kwa kuiishi. Kwa upande mwingine, mzazi mwenye tabia njema, au mwenye maadili mema, huwarithisha tabia hiyo pia watoto wake ambao humuiga jinsi anavyoishi.

Mtu huyo, huwalea vizuri watoto wake kwa kuishi katika maadili mema yeye mwenyewe, ili awe mfano wa kuigwa katika kuiishi tabia hiyo njema. Yeye huwasimulia watoto wake hao, maneno yenye hekima ya kuwasaidia katika kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu wake hao kwamba, ‘mtoto akibebwa mgongoni huangalia kisogo cha mama yake.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwalea kwa kuwakuza katika maadili mema watoto wao, ili waweze kuwa mfano wa kuigwa katika kuyaishi maadili yaliyo mema, maishani mwao.

Hesabu 11:12.

Mithali 22:6.

Waefeso 6:4.

nkima na ng

nkima na ng'wana

nkima wina ng'wana o namibia

gambia-nkima

 

ENGLISH: A BABY CARRIED ON THE BACK LOOKS AT ITS MOTHER’S NAPE.

The source of this saying is the baby that is carried on her mother’s back. When the kid is carried on its mother’s back, it looks at its mother’s nape. Therefore, kids are believed to be very much aware of their mothers’ napes. To describe this kind of awareness to kids, people came with this saying that ‘a baby carried on the back looks at its mother’s nape.’

This saying can be compared to a person who brings up his/her children by living a good life himself/herself. This person tends to behave in a good way thus paving a way for children to emulate him/her. Such a person teaches his/her children through actions, not mere words. He/she seems to hold the view that ‘actions are louder than words.’ The saying also gives an impression that a good parent or well-mannered parent gives such qualities to his/her children who also imitate his/her way of life.

This saying teaches people about nurturing and raising their children morally so that they can become role models in living good values ​​in their lives.

Numbers 11:12, Proverbs 22: 6, Ephesians 6: 4.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.