Imbuki ya kahayile kenako, yilolile ng’hanga na wiza bho mabhala gayo. Ing’hanga yiniyo, ikagalaga na mabhala mingi ayo gagabholechaga uwiza bhoyo umukikalile kayo. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ng’hanga mabhala adamalaga wiza.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agafunyaga bhulangwa bhusoga ukubhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga makanza mingi bho gubhalomela abhiye imihayo iyo idulile gubhambilija ugwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho. Uweyi agabhejaga bhukengeji wingi ubho bhugang’winhaga bhumani bho mihayo mingi iyo ilina solobho ukuwikaji bho bhanhu bhakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’hanga iyo idamalaga wiza, iki bhuli yene igikalaga na mabhala miza, kunguno nuweyi adamalaga imihayo imiza ukubhanhu abho bhagandegelekaga.
Abhanhu bhenabho, bhagikalaga bhatogilwe ugwikala nang’hwe, kunguno ya mihayo yakwe iyo igabhalangaga nhungwa ja gwikala bho mholele na wichabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagiganilaga giki, ‘ng’hanga mabhala adamalaga wiza.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalomela abhana bhabho mihayo ya gwenha mholele ukubhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Ezekieli 16:11.
Yeremia 4:30.
KANGA MAPAMBO HAMALIZI UZURI.
Chanzo cha msemo huo, chaangalia kanga na uzuri wa mapambo yake. Kanga huyo, huwa ana manyoa yenye madoa madoa ya rangi mbalimbali. Mapambo yake hayo, huonesha uzuri wake na wa watoto wake ambao hauishi, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kanga mapambo hamalizi uzuri.’
Msemo huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutoa mafundisho mazuri kwa watu wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia muda mwingi katika kuwafundisha watu juu ya kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao. Yeye hufanya utafiti wa aina mbalimbali ambao humpatia uelewa wa kuongea maneno yenye hekima katika kuyajenga vizuri maisha ya watu wake.
Mtu huyo, hufanana na kanga mwenye mapambo yasiyomaliza uzuri, kwa sababu naye ana maneno ya hekima kwa watu wanaomsikiliza, katika mafundisho yake. Yeye naye hamalizi maneno hayo yenye hekima katika kinywa chake, kama yule kanga asiyemaliza uzuri wa mapando yake ambao huenea hata kwa watoto wake.
Watu hao, hupenda kuishi naye huku wakiyasikiliza maneno yake ambayo huwajengea tabia ya kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘kanga mapambo hamalizi uzuri.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaeleza watoto wao maneno yenye kuleta amani watu wao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.
Ezekieli 16:11.
Yeremia 4:30.
ENGLISH: THE BEAUTY OF GUINEAFOWL IS ENDLESS.
The source of this saying is the beauty of a bird known by the name of guineafowl. Guinefowls are featured by feathers of different colours. These colours are a reflection of their beauty and attraction. This beauty tends to be inherited from one generation of guineafowls to another, as long as they continue reproducing. This is why people came with this saying that ‘the beauty of guineafowls is endless’ to communicate how guineafowls keep on reproducing themselves so is their beautiful colours.
This saying can be compared to a person who gives good teaching to his/her people in his/her life. This person spends a lot of time in teaching people about how to live well with their peers in their lives. He/she can conduct a variety of research that gives him/her an understanding of how to speak wise words to better shape the lives of his/her people. Such a person, like a guineafowl, is regarded as an ornament of the society and his/her beauty will continue flourishing in the society.
There is also a possibility of this person having his/her children nurtured along those lines of wisdom thus keeping his/her wise words continue surviving generation after generation in the society.
This saying teaches people about how to tell their children words that encourage peace and wisdom. In so doing, they will be making a society that believes in peace and harmony all the time.
Ezekiel 16:11, Jeremiah 4:30.