Imbuki ya kalagu yiniyo, yilolile bhudakuni bho nyama iyo ili njumu. Inyama yiniyo, igikalaga ndamu noyi uguidakuna. Giko lulu, iyoyi igamilagwa aliyo idinanojiwa ugudakunwa. Hunagwene abhanhu bhagikanilaga giki, ‘babara babara ng’wa nkub’a:- Kanyama kumu.’
Ikagalu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agayombaga mamihayo mingi ayo gadi na solobho yoseyose, ukuwikaji bho bhanhu. Umunhu ng’wunuyo, atogilwe gubhalomela abhiye mihayo mingi, kunguno ya bhuyombaganiji bhokwe bhunubho.
Aliyo lulu, imihayo yakwe yiniyo idanogaga guti ni nyama injumu iyo igamilagwa bho nduhu ugudakunwa chiza, kunguno nuweyi agayiyombaga imihayo yakwe yiniyo bho nduhu uguiganika chiza.
Umunhu ng’wunuyo, adabhadegelegaga chiza abhiye, umukikalile kakwe, kunguno ya bhuyombi bhokwe ubho mamihayo genayo, ayo gadina solobho yosehose, umuwikaji bhobho.
Abhanhu abho bhajidebhile inhungwa jakwe jinijo, bhaganhamaga giki, oye uguyomba mihayo iyo idina solobho. Hunagwene bhagiganilaga giki, ‘babara babara ng’wa nkub’a:- Kanyama kumu.’
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kuleka bhuyombi bho mihayo iyo idina solobho, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule guitegeleja imihayo iyagwambilija ijinagujibheja chiza ikaya jabho, umukikalile kabho.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA:-
KIGUMU KIGUMU KWA NKUBA:- NYAMA KAVU.
Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia utafunaji wa nyama kavu. Nyama hiyo, huwa ngumu sana kuitafuna. Hivyo basi, yenyewe humezwa hata ikiwa bado haijalainika kwa sabahu ya mtafunaji kutokutumia muda mrefu kuitafuna. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kigumu kigumu kwa mkuba:- Nyama kavu.’
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huongea maneno mengi yasiyo na maana yoyote. Mtu huyo, hupenda kuwasimulia wenzake maneno mengi kwa sababu ya uongeaji wakwe huo.
Lakini, maneno yake huwa hayana ukweli, kama nyama ile kavu, inayomezwa bila kutafunwa mpaka ikalainika vizuri, kwa sababu na yeye huongea bila kuyafikiria kwa makini maneno yake hayo.
Mtu huyo, hawasikilizi vizuri wenzake katika maisha yake, kwa sababu ya uongeaji wake huo wa maneno yasiyo na faida yoyote, maishani mwa watu. Watu wale wanaoifahamu tabia yake hiyo, humuonya ili aiache tabia yake hiyo mbaya. Ndiyo maana watu hao huhadithiana kwamba, ‘kigumu kigumu kwa mkuba:- Nyama kavu.’
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha kuongea maneno yasiyo na maana, maishani mwao, ili waweze kuyafikiria na kuyatumia yale ambayo yatawasidia katika kuziendeleza vizuri familia zao, katika maisha yao.
ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.
THE HARDEST THING TO CHEW – DRY MEAT.
The source of this riddle is dry meat. Dry meat can sometimes be very hard to chew compared to the cooked one. This dry meat can sometimes be swallowed before being chewed properly. Thus, when swallowed before being chewed properly, it can cause difficult in one’s throat. This is why people came with this saying that ‘The hardest thing to chew – dry meat’ to justify how dry meat is difficult to chew.
This riddle can be compared to a person who speaks the most meaningless words and he/she is hard to be understood. The person likes to tell a lot of words to others without thinking carefully on what exactly he/she wants to communicate. Such a person does not listen to others rather he/she wants to be listened all the time.
This riddle teaches people about stopping worthless words in their lives. Rather, listen what others say in order to have good relationship with neighbours and family members as well.