Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kukatumamile ka lushu lo nsabhi. Ulushu lunulo, lugabhagaga ntugo gosegose, gubhize guginu, nulu gukondu. Uloyi ludakomanije imitugo ja gubhaga. Hunagwene abhanhu bhagayomga giki, ‘ulushu lwa nsab’i lugabhagaga ni dida.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bhose bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gwiyambilija na bhiye abho agikalaga nabho. Uweyi agahoyaga na bhanhu bhose, bho gubhambilija ugwinga umumayange gabho.
Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gutumama milimo kihamo, ukubhiye, kunguno ya gubhambilija bhanhu bhose bho ndugu ugubhakomanya, kuti un lushu ulo nsabhi, ulo lugabhagaga ni dida.
Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye higulya ya gubhadilila abhanhu bhose, bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘ulushu lwa nsab’i lugabhagaga ni dida.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhadilila abhanhu bhose, bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Hesabu 12:4.
Mithali 8:17.
1 Thimotheo 5:10.
Wagalatia 6:7-9.
Luka 13:24.
Luka 6:20.
Matendo 10:34.
Mathayo 5:43-44.
Yakobo 2:7.
KISWAHILI: KISU CHA TAJIRI HUCHUNA HATA MNYAMA DHAIFU.
Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye utendaji wa kisu cha tajiri. Kisu hicho, huchuna mfugo wa aina yoyote, uwe ule wenye afya au ule ulikonda. Kisu hicho, hakibagui mfugo wa kuchuna. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kisu cha tajiri huchuna hata mnyama dhaifu.’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi na watu wote bila kuwabagua, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kusaidiana na wenzake anaoishi nao. Yeye huongea na watu wote, katika utekelezaji wa kazi zake za kuwasaidia wenye matatizo mbalimbali.
Mtu huyo, ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kufanya kazi kwa ushirikiano na wenzao, kwa sababu ya namna anavyosaidia watu wote, kama kile kisu cha tajiri ambacho huchuna hata mnyama dhaifu.
Maisha yake, hufundisha watu juu ya kuwajali watu wote bila ubaguzi, katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kisu cha tajiri huchuna hata mnyama dhaifu.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwajali watu wote bila kuwabagua, katika maisha yao, ili waweze, kuishi kwa amani na kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.
Hesabu 12:4.
Mithali 8:17.
1 Thimotheo 5:10.
Wagalatia 6:7-9.
Luka 13:24.
Luka 6:20.
Matendo 10:34.
Mathayo 5:43-44.
Yakobo 2:7.
ENGLISH: THE RICH’S KNIFE SKINS EVEN THE WEAKEST ANIMAL.
The source of this proverb is a knife of a rich man. This knife is associated with skinning animals where, if the knife is blunt, it can fail to skin properly the animal and if it is sharp enough, it can smoothly skin the animal. But, the rich man’s knife in this context is considered to be able to skin whatever animal comes its way. It is always sharp. This sharpness of the rich aman’s knife made people to come up with this proverb that ‘The rich man’s knife skins even the weakest animal.
This proverb can be compared to a person who lives with all people without exception in his/her life. This prson tends to accept his/her responsibility by assisting others in fulfilling their obligations. This person can act as a role model to others because of the way he/she does his/her things in a more appropriate and helpful manner. He/she teaches others about care and he/she helps others.
This proverb teaches people about caring for all people without discrimination.
Numbers 12: 4, Proverbs 8:17, 1Timothy 5:10, Galatians 6: 7-9, Luke 13:24, Luke 6:20, Acts 10:34, Matthew 5: 43-44, James 2: 7.