Imbuki ya lusumo lunulo, yilolile bhubhagwa bho ng’holo ya nzagamba. Ubhubhagwa bhunubho, kalikalile ka nzagamba yiniyo, ako kali kanyalyehu. Ukwene hugahaya giki, inzagamba yiniyo, yili ndyehu ung’widale lyayo, iyo idagaja kumadale gangi. Iyoyi igikalaga nu ng’widale lyayo duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nzagamba yeniyi yab’agwa ng’holo.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga mu ndoa yakwe na ng’wiye uyo bhatunga ndoa nanghwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alintungilija umubhutumami bho milimo yakwe, ahakaya yakwe. Uweyi agahoyaga nu ng’wiye ahigulya ya katulile kasabho jabho, kugiki bhuli ng’wene wikale adebhile umojili.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzagamba iyo yab’agwa ng’holo, kunguno nuweyi adafumaga ihanze ya ndoa yakwe, umukikalile kakwe. Akikalile kakwe kenako, kagabhalanjaga abhiye inzila ja gujilanghanila chiza indoa jabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nzagamba yeniyi yab’agwa ng’holo.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gujilanghana chiza indoa jabho, bho gwikala bhatungilija, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala kihamo bhitogilwe, umuwitoji bhobho, shigu jose.
1Wathesalonike 4:5.
Luka 16:15.
Mathayo 5:11-12.
Mathayo 5:27.
Marko 10:1-12.
KISWAHILI: FAHALI HUYU AMECHUNWA MOYO.
Chanzo cha methali hiyo, chaangalia uchunwaji wa moyo wa dume la ng’ombe. Uchunwaji huo, ni maisha ya fahali huyo ambayo ni ya upole. Ndiyo kusema kwamba, dume hilo la ng’ombe lina upole wa kuishi ndani ya zizi lake tu, bila kwenda kwenye mazizi mengine. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahali huyo amechunwa moyo.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hubaki ndani ya ndoa yake bila kutoka nje, katika maisha yake. Mtu huyo, ni mwaminifu katika utekelezaji wa majukumu yake, katika familia yake. Yeye huongea na mwenzake wa ndoa juu ya namna ya kuzitunza mali zao, ili kila mmoja aweze kuelewa zilivyo.
Mtu huyo, hufanana na dume la ng’ombe lililochunwa moyo, kwa sababu naye hatoki nje ya ndoa yake, katika maisha yake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kuzitunza ndoa zao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘fahali huyu amechunwa moyo.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuzitunza vizuri ndoa zao, kwa kuwa waaminifu, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa upendo katika ndoa zao, siku zote.
1Wathesalonike 4:5.
Luka 16:15.
Mathayo 5:11-12.
Mathayo 5:27.
Marko 10:1-12.
ENGLISH: THE HEART OF THIS BULL HAS BEEN SKINNED.
The source of this saying is the bull that does not visit other cowsheds. This is a gentle bull. When it happens that the bull remains in its own cowshed, people can describe it as its heart being skinned. That is why people came with this saying that ‘the heart of thisbull has been skinned’ to justify the gentleness of the bull.
This saying can be compared to a person who remains in his/her marriage without having extramarital relationship in his/her life. This person demonstrates his/her faithfulness to his/her partiner. Like a bull that remains in the cowshed, this person is dedicated to his/her family in such a way that he/she cannot think of anything beyond caring his/her family. Such a person teaches others about being faithful in marriage.
This saying teaches people how to take good care of their marriages by being faithful in their lives.
1Thessalonians 4: 5, Luke 16:15, Matthew 5: 11-12, Matthew 5:27, Mark 10: 1-12.