588. UGUJIBHONA IJIJIGANHUULUJA JIMINOGENI.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kumiito ga ng’wa Jiminogeni. UJiminogeni ng’wunuyo, oli munhu o miito mab’i, kunguno ya  bhushiya bhokwe. Aho adinading’wa oyombaga giki, ‘duguminogaga ndafu’ (ginhu) jinogoleku.

Aliyo lulu, oho oding’wa umunhu ng’wunuyo, agatulwa noyi na guliwa b’ushiya. Hunagwene abhanbhu bhagayombaga mpaga lelo ukubhanhu abho bhali na nhungwa ja bhubhiya, giki ‘ugujib’ona ijijiganhuuluja Jiminogeni.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi, guti ya bhushiya yiniyo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, alemile ugubhigwa abhanhu abho bhagang’wilaga giki, ajileke inhungwa jinijo, ija gubhitila mihayo ya bhubhi abhiye.

Uweyi agikolaga nu jiminogeni, kunguno nuweyi agiitaga imahayo yiniyo iyabhubhi. Abhanhu abho bhajidebhile inhungwa jakwe jinijo, bhagang’wilaga giki, ‘ugujib’ona ijijiganhuuluja Jiminogeni.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka miito ga bhubhi, guti ga bhushiya na gangi, ayo giikolile na geneyo, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-28.

1Wakorintho 6:18-20.

Marko 7:20-23.

2Petro 2:4.

Ufunuo 2:21-22.

KISWAHILI: UTAKIONA KILICHOMFANYA JIMINOGENI ALIE.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye matendo ya mtu aliyeitwa Jiminogeni. Jiminogeni huyo, alikuwa mtu mwenye matendo maovu yakiwemo yale ya uzinzi. Alipokuwa bado hajakamatwa alikuwa akisema, ‘tunatafuta dafu, (kitu) laini.’

Lakini Jiminogeni huyo, alipokamatwa alipigwa sana, na kutozwa faini ya uzinzi. Ndiyo maana watu husema kwa watu wenye tabia kama hiyo hata leo, kwamba, ‘utakiona kilichomfanya jiminogeni alie.’

 Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutenda maovu kama yale ya uzinzi, katika maisha yake. Mtu huyo, hataki kuonywa na wenzake juu ya kuiacha tabia yake hiyo mbaya.

Yeye hufanana na Jiminogeni, kwa sababu naye hutenda maovu kama hayo katika maisha yake. Watu wanaoifahamu tabia yake hiyo ya kutenda maovu, humwambia kwamba, ‘utakiona kilichomfanya jiminogeni alie.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha matendo maovu yakiwemo yale ya uzinzi, na mengine yanayofanana na hayo, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-28.

1Wakorintho 6:18-20.

Marko 7:20-23.

2Petro 2:4.

Ufunuo 2:21-22.

nshiya

 

ENGLISH: YOU WILL FACE WHAT MADE JIMINOGENI CRY.

The source of this saying is the actions of a man called Jiminogeni. This man was labelled my villagers as someone who is bad mannered. He could engage in immoral relationships like fornication. Before being caught red handed for his corrupt behaviour, he was boasting himself that he lives through eating “soft things”.

One day it happened that Jiminogeni was caught red handedly by people who disapproved of his behaviour. He was beaten off and fined for adultery. This scenario led to the formulation of the saying that ‘you will face what made Jiminogeni cry’ as a warning to others who have similar unacceptable behaviour.

 This saying can be compared to a person who commits immorality such as adultery in his/her life. This person does not want to be warned by his/her colleagues to stop his/her bad behaviour. He/she is like Jiminogeni who was adamant to accept people’s advice.

The saying teaches people to stop evil practices such as fornication, and the likes, in their lives.

Matthew 5: 27-28, 1Corinthians 6: 18-20, Mark 7: 20-23, 2 Peter 2: 4, Revelation 2: 21-22.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.