573. INGI AHO YUNYELA IGALEKAGA BHANA.

Imbuki ya lusumo lunulo, ililola kikalile ka ingi, na kibyalile kayo. Ingi yiniyo, igagwilaga lulu mujiliwa yaleka bhana moyi. Abhana bhayo tugabhizaga tugino tudodo tope, uto tudulile guibhoza nulu nyama iyo yagwilagwa ni ingi yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingi aho yunyela ikalaekaga bhana.’

Ulusumo lunulo, lugalenaganijiyagwa kuli munhu uyo ali nomolomo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo ya bhulomolomo iyo igabhipyaga kaya ja bhanhu.

Uweyi agikolaga ni ngi iyo igalekaga bhana abho bhagabhipyaga jiliwa ja bhanhu, kunguno nuweyi imihayo yakwe ya bhulomolomo yiniyo, igalisanyaga bhanhu, mpaga nose bhabhulaga kaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu ng’wunuyo giki, ‘ingi aho yunyela igalekaga bhana.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya guleka bhulomolomo umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 23:1.

Walawi 9:11.

Mathayo 7:15-18.

2Watorintho 4:2.

Yakobo 1:26.

KISWAHILI: INZI AKITUA POPOTE HUACHA WATOTO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia maisha ya inzi na kuzaliana kwake. Ingi huyo, hutua hata kwenye chakula na kuacha watoto. Watoto hao, huwa funza wadogo wadogo ambao huweza hata kuharibu nyama ambayo wameachwa juu yake na inzi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘inzi akitua popote huacha watoto.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni muongo katika maisha yake. Mtu huyo, husema maneno ya uongo ambayo husababisha hata kugawanyika kwa wanafamilia, kwa sababu ya uchonganishi wake.

Yeye hufanana na inzi ambaye huwaacha watoto kila anapotua ambao huharibu chakula cha watu, kwa sababu naye hugonganisha watu hata kufikia hatua ya kuvunjika kwa mji wao, kwa sababu ya uongo wake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘inzi akitua popote huacha watoto.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kusema uongo matika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na watu  wao, maishani mwao.

Kutoka 23:1.

Walawi 9:11.

Mathayo 7:15-18.

2Watorintho 4:2.

Yakobo 1:26.

ngi

ngi1

ngi2

 

ENGLISH: EVERYWHERE A FLY LANDS IT LEAVES ITS EGGS

The source of this saying is the life of a fly. Everywhere a fly lands it leaves eggs. These eggs can grow into larvae that can destroy something, for example, meat and other related things. To warn people against entertaining such insects, one can use the saying that ‘everywhere a fly lands it leaves its eggs/larvae.’

The saying can be compared to a person who is a liar in his or her life. This person is likely to affect family members by making false statements. In such a context of false statements, one can experience division among family members. Such a person who is a liar can be compared to a fly that always leaves impact wherever it lands.

This proverb teaches people to break the habit of lying in their lives. Rather, they have to be trusthworthy so that they can have peace with others in the society.

Exodus 23: 1. Leviticus 9:11. Matthew 7: 15-18. 2Corinthians 4: 2. James 1:26

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.