Imbuki ya lusumo lunulo, yililola ndimu iyi igitangwa ngili. Indimu yiniyo, igikalaga ikingilwe na bhana bhayo umumagulu gayo. Kuyiniyo lulu, abhana bhayo bhenabho, bhagagashigijaga amatimba gayo, kugiki gadizulung’wa na ginhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingili ya bhana idalumagwa matimba.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhana bhingi abho bhagang’wimbilijaga, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agagunanagwa na bhana bhenabho, ulu opandikaga makoye.
Uweyi agikolaga ni ngili iya bhana iyo idalumagwa matimba, kunguno nuweyi, agalanghanagwa na bhana bhake bhenabho, bho gwambilijiwa umumakoye gakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ingili ya bhana idalumagwa matimba.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gubhambilija chiza, ijinagubhinja umumakoye, umukikalile kabho.
Mathayo 28:16-20.
Marko 3:14-19.
Zaburi 127:3-5.
KISWAHILI: NGILI MWENYE WATOTO HANG’ATWI MIGUUNI.
Chanzo cha methali hiyo, chaangalia mnyama poli anayeitwa ngili. Mnyaga huyo, huwa na watoto ambao huzunguka miguuni pake. Kwa hiyo basi, watoto hao huizuia miguu yake kung’atwa na kitu chochote. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ngili mwenye watoto hang’atwi miguuni.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana watoto wengi wa kumsaidia katika maisha yake. Mtu huyo, hupata msaada wa kuyatatua matatizo mbalimbali maishani mwake.
Yeye hufanana na ngili mwenye watoto waizuiao miguu yake kung’atwa na kitu, kwa sababu naye ana watoto ambao humsaidia anapopata matatizo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘ngili mwenye watoto hang’atwi miguuni.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwalea vyema watu wato, ili waweze kuwasaidia vizuri katika kutatua matatizo mbalimbali, katika maisha yao.
Mathayo 28:16-20.
Marko 3:14-19.
Zaburi 127:3-5.
ENGLISH: THE WILD BOAR THAT HAS CHILDREN IS NOT BITTEN ON LEGS
The source of this proverb is the wild animal known by the name of wild boar. This wild animal, when has children, its children will always surround their mother thus keeping their mothers’ legs always protected against any insect that is likely to harm them through their legs. It is through this kind of protection that people came up with this proverb that ‘the wild boar with children is not bitten on legs’ to communicate the power of children in protecting their mothers against enemies.
The proverb can be compared to a person who has children to support in his or her life. This person is capable of getting help from his/her children in his or her life. This person can be likened to wild boar with children who keep its feet from getting stuck. Children ensure the survival of their mother.
This proverb teaches people on how to take care of their children with hope that these children will help their parents when they are old enough to sustain their lives.
Matthew 28: 16-20. Mark 3: 14-19. Psalm 127: 3-5