556. NANCHIMA UNG’WANA MHELA ILINDA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhuching’wa bho ng’wana o mhela iyo ilinda. Ubhuching’wa bhunubho bhuli bho guchima jisumva jibhili, kunguno uyo alinda, ibhize mhela nulu munhu, agabhizaga alina ng’wiye umugati yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nanchima ung’wana mhela ilinda’.

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinsabhi o jikolo ja mbika ningi aha ng’wakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na sabho ningi ijo agajitumilaga nulu agalabhuka munhu ahakaya yakwe gumpija. Uweyi agajigufunyaga duhu, kunguno ojipandika ijikolo ijo jili jingi noyi umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agiikolaga nu munhu uyo  alinda, nulu ndimu iyo ilinda, kunguno n’uweyi alina sabho ijo agajitumilaga nulu kunchala ng’wiye uyo ominyikaga kusibhitali. Hunagwene abhanhu bhagayombaa giki, ‘nanchima ung’wana mhela ilinda.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu kubhiza na wisagizu bho gupandika jikolo bhuli ng’wene ijo alijichola umubhutumami bho milimo yakwe, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho umukikalile kabho.

(Mathayo 7:7-8; Luka 11:9-10; Luka 11:13).

KISWAHILI: NIMEMCHOMA MWANA KIFARU ANA HIMILA.

Chanzo cha msemo huu chaangalia kuchomwa kwa  kifaru ambaye ana mimba. Kuchomwa huko kwa kifaru mwenye himila ni hali ya kuumizwa kwa viumbe wawili, kwa sababu mwenye himila, awe mwanadamu au mnyama, ana mtoto ndani ya tumbo lake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nimemchoma mwana kifaru ana himila.’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri mwenye mali nyingi nyumbani kwake. Mtu huyo huzitumia mali zake hizo katika kutatua matatizo mbalimbali katika familia yake. Wingi wa mali hizo huweza kumsaidia hata mtu akiumia nyumbani kwake; huchukua mali hizo na kumuwahisha kwenye matibabu hospitalini. Mtu huyo hufanana na yule kiumbe mwenye himila aliyeumia, kwa sababu naye anazo mali ambazo huonekana anapozitumia wakati wa kutatua tatizo fulani katika familia yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nimemchoma mwana kifaru ana himila.’

Msemo huu hufundisha watu kuwa na matumaini ya kupata mafanikio makubwa kila mmoja wao anayejibidisha kutafuta katika utekelezaji wa makukumu yake, ili aweze kuishi kwa amani na wenzake maishani.

(Mathayo 7:7-8; Luka 11:9-10; Luka 11:13).

nsabhi masai

mhela

ENGLISH: I HAVE STABED A BABY IN A PREGNANT RHINO.

The origin of this saying is stabbing of a baby in a pregnant creature. This is a traumatic experience for two beings, because a pregnant being, whether human or animal, has a baby inside her womb. That is why people say, ‘I have stabbed a baby in a pregnant rhino.’

The saying is used comparatively to refer to a rich person with many possessions in his home. The person uses his/her wealth to solve various problems in his/her family. The wealth can even help a person when he or she is injured to get treated in a hospital. This person is like a pregnant creature, because his/her wealth is useful in solving problems in his/her family. That is why people say, ‘I have stabbed a baby in a pregnant rhino.’

The saying teaches people to hope for the greatest success as long as they execute their responsibilities as they should, so that they can live in peace with their peers.

(Matthew 7: 7-8; Luke 11: 9-10).

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.