Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhubhundi bho miyaga bho jivumva jilebhe, nu bho ningi uyo alinduja. Ubhubhundi bho miyaga bhunubho bhuli bho jisumva ijo jigasamaga huna lwingila luyaga umuno gojo. Ijoyi jigihayaga giki jilina bhudula bho gulubhugila luyaga lutale.
Ulu ningi nduja ubhakinda abhiye agihaya giki n’uweyi agabhundaga miyaga, kunguno adahebhagwa umumbina jakwe. Hungwene agiitanaga umugiji o miyaga ng’wunuyo giki, ‘Lub’unda miyaga.’
Akahayile kenako kagalenganijiyaga kuli munhu uyo alina nguzu ja gutumama milimo iyo igamalilaga makoye umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo ya gubhatongela chiza abhiye, kugiki bhadebhe ugugamala amakoye gabho bho gutumama milimo yabho chiza.
Uweyi agikolaga nu lubhunda miyaga, kunguno n’uweyi alina nguzu ja guyihebha imilimo yakwe chiza. Imilimo yiniyo igamalilaga makoye aha ng’wakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘Lubhunda miyaga.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu gubhiza na nguzu ja guyitumama imilimo yabho chiza, kugiki bhadule gubhingija abhanhu bhabho makoye ga gugayiwa jiliwa umuwikaji bhobho.
(Mathayo 27:45-54; Marko 1:21-28; Matendo ya Mitume 16:2; 1Wathesalonike 4:11-12).
KISWAHILI: MBUGIA UPEPO.
Chanzo cha msemo huu chaangalia ubugiaji wa upepo wa kiumbe fulani au wa manju ambaye huwashinda wenzake katika michezo ya ngoma. Ubhugiaji huo ni wa kiumbe ambacho huachana ili kuruhusu upepo ungie mdomoni. Chenyewe hujidai kuwa na uwezo wa kubugia kimbunga kiwezacho kuzoa vitu mbalimbali.
Hali hiyo hutokea wakati manju anayesifika akiwashinda wenzake kwenye michezo ya ngoma, anajitapa. Yeye hujiita majina ya kuonesha kwamba ana uwezo mkubwa kuwazidi wenzake, ili waendelee kumwogopa. Ndiyo maana yeye hujiita kwamba ni ‘mbugia upepo.’
Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mwenye nguvu za kumwezesha kufanya kazi zile ziwezazo kumuondolea matatizo kwa haraka maishani mwake. Mtu huyo huyatekeleza majukumu yake ya kuwaongoza vizuri wenzake, ili waelewe namna ya kuyatatua matatizo yao kwa kufanya kazi vizuri na kwa bidii.
Yeye hufanana na mbugia upepo, kwa sababu naye ana nguvu za kuzitekeleza kazi zake vizuri hadi kuzimaliza. Kazi hizo humsaidia katika kuyatatua vizuri matatizo yake. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni ‘mbugia upepo.’
Msemo huu hufundisha watu kuwa na nguvu za kuyatekelezea majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mafanikio yawezazo kuwatatulia matatizo mbalimbali maishani mwao.
(Mathayo 27:45-54; Marko 1:21-28; Matendo ya Mitume 16:2; 1Wathesalonike 4:11-12).
ENGLISH: A WIND SWALLOWER.
The origin of this saying is ghostly nature of a particular creature or a maestro that overpowers his/her colleagues in dance competitions. The creature opens its mouth to allow wind to enter. It claims to be able to swallow a storm, which can take on many objects.
The self praise happens a maestro beats his/her contestants. When it so happens, he/she calls himself/herself praise names to show that he/she has great powers over his/her contestants so that they will always be scared of him/her. That is why he/she calls himself/herself ‘a wind swallower.’
The saying is used comparatively to refer to a person who has the power to do tasks that can get him out of trouble quickly in life. The person carries out his/her responsibilities to properly guide others to understand how to solve their problems, by working effectively and diligently. He/she is like a wind swallower, because he/she also has the power to carry out his tasks well. Such activities help him/her to solve his/her problems properly. That is why people call him ‘a wind swallower.’
The saying teaches people to carry out their tasks properly, so that they can achieve the best they can to solve a variety of problems in their lives.
(Matthew 27: 45-54; Mark 1: 21-28; Acts 16: 2; 1Thessalonians 4: 11-12).