Mbuki ya kahayile kenako, yililola wisagiji bho nhingi. Inhingi yiniyo lilinti ilo lyapunzwagwa chiza mpaga lyawiza nhingi. Imhingi jinijo, bhalijisanije noyi abhanhu, kunguno ya wiza na bhudamu bhojo, umugujilanghana inumba jabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nisagilwa nhingi.’
Akahahile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ang’wisanije Welelo, umukikale kabho. Umunhu ng’wunuyo, adebhile igiki, Uwelelo hung’wene unduja o jose, kunguno uweyi aliNsumbi o jose.
Uweyi agabhalangaja na bhiye ahigulya ya gung’wisanya Mulungu uyo alinajo inguzu ja jilanghana chiza ikaya jabho. Akikalile kakwe kagabhizukijaga abhiye igiki, unhanghani omigunda yabho, ali Mulungu uyo adulile gugalemeja amajilili mpaga gukija ugujilya ijiliwa jibho. Hunagwene uweyi agayombaga giki, ‘nisagilwa nhingi.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gung’wisanya Mulungu, umubhutumami bho milimo yabho, nu umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho molele na bhichabho, shigu jose.
Mathayo 24:36-44.
Mathayo 25:1-13.
1Petro 5:8-11.
KISWAHILI: NIMETEGEMEA NGUZO.
Chanzo cha msemo huo, chaangalia utegemeaji wa nguzo. Nguzo hiyo ni mti ambao hukatwa vizuri na kutengenezwa nguzo ambayo huwa na nguvu sana katika kuzilinda nyumba zao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘nimetegemea nguzo.’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humtegemea Mungu katika kuishi kwake. Mtu huyo, anafahamu kwamba, Mungu Ndiye mweza ya yote, kwa sababu Ndiye aliyeviumba vyote.
Yeye huwafundisha pia wenzake, juu ya kumtegemea Mungu aliye na nguvu za kuzilinda vizuri familia zao. Maisha yake, huwakumbusha wenzake kwamba, mlinzi wa mashamba yao, ni Mungu awezaye kuwazuia hata wadudu kula mazao yao. Ndiyo maana mtu huyo huwa anawaambia watu kwamba, ‘nimetegemea nguzo.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kumtegemea Mungu katika utekelezaji wa majukumu yao, na katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, siku zote.
Mathayo 24:36-44.
Mathayo 25:1-13.
1Petro 5:8-11.
ENGLISH: I HAVE DEPENDED ON A PILLAR
The foundation of the above saying looks at the dependency of someone on a pillar. The pillar is a tree that is neatly trimmed to become a strong post enough to effectively support houses. That is why people say, ‘I have depended on a pillar.’
The saying is compared to the person who trusts God in life. Such person knows that God is the Almighty who made everything.
He also teaches other people about trusting in God who has the power to better protect their families. The life of such person reminds them that the keeper of their fields is God who can stop even pests from eating their crops. That is why he/she often tells people that, ‘I have depended on a pillar.’
The saying teaches people about trusting God in the execution of their responsibilities, in their lives, so that they can live in peace with one another throughout their lives.
Matthew 24: 36-44.
Matthew 25: 1-13.
1 Peter 5: 8-11.