544. JILUTULA MBANGA.

Imbuki ya kahayile kenako yingile ku jisumva ijo jili na nguzu umukikalile kajo. Ijisumva jinijo, jigabhitaga hosehose kunguno ya nguzu jajo. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, ‘jilutula mbanga.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo midimu bho wiyumilija mpaga oyimala. Umunhu ng’wunuyo adulile nulu gusenga ipolu lya manti matale mpaka upandika ngunda goguyulima hoyi jiliwa. Uweyi agalimaga migunda mitale iyo idulile gubhalisha bhanhu bhingi umuwikaji bhobho.

Umunhu ng’wunuyo agabhizaga jigemelo ukubhiye ja gutumama milimo bho bhukamu bhutale, kunguno ya bhukalalwa bhokwe ubho gutumama milimo bho gwiyambilija chiza na bhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘jilutula mbanga.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu gujitumila inguzu jabho bho gwigulyambija gutumama milimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho umukikalile kabho.

(Kutoka 7:8-13; 1Wafalme 18:20-39; Matendo ya mitume 8:9-25).

KISWAHILI: BINGWA WA MAPAMBANO.

Chanzo cha msemo huu chaangalia kiumbe kile ambacho kina nguvu maishani mwake. Kiumbe hicho hupita popote pale kwa sababu ya nguvu zake hizo. Ndiyo maana watu hukiita ‘bingwa wa mapambano.’

Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi ngumu kwa uvumilivu hadi kuzimaliza. Mtu huyo anaweza hata kufyeka pori lenye miti mikubwa mpaka akapata shamba la kulimia mazao yake. Yeye hulima mashamba makubwa ambayo humwezesha kuwalisha watu wengi katika maisha yake.

Mtu huyo huwa mfano wa kuigwa na wenzake katika utekelezaji wa majukumu yao, kwa sababu ya kupenda kwake kufanya kazi kwa kusaidiana na wenzake. Ndiyo maana watu humwita, ‘bingwa wa mapambano.’

Msemo huu hufundisha watu kuzitumia nguvu zao kwa kusaidiana katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao katika maisha yao.

(Kutoka 7:8-13; 1Wafalme 18:20-39; Matendo ya Mitume 8:9).

ferry-of zambia

worker1

 

ENGLISH: A WAR CHAMPION.

The origin of this saying is a powerful creature. That creature passes anywhere because of its powers. That is why people call it ‘A war champion.’

The saying is used comparatively to refer to any individual who works hard patiently for the purpose of finishing it. The individual may even clear a forest to get a farm for cultivating crops. The individual cultivates large fields, which enables him/her to feed many people.

Such a person becomes a role model for his or her colleagues in the execution of their responsibilities, because of their willingness to work in support of their colleagues. That is why people call him/her, ‘A war champion.’

The saying teaches people how to use their power to help each other in fulfilling their responsibilities, so that they can better support their families in their lives.

(Exodus 7: 8-13; 1Kings 18: 20-39; Acts 8: 9).

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.