Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuki. Ubhuki bhunubho bhuli bhunonu noyi, nulu bhugatulwa musuha, isuha yiniyo igunona nayo, kunguno ubhuki bhugamililaga umugati yayo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘suha ya bhuki idamalaga bhunonu.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja wiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agayombaga mihayo ya wiza, kunguno yigenhaga mholele ya gwitogwa na bhiye umumahoya gakwe.
Imihayo yakwe yiniyo igabhizaga minonu guti bhuki, kunguno idasukaga ukubhadegeleki bhayo. Abhanhu bhagikalaga na ng’humbu ya gundegeleka umunhu ng’wunuyo, kugiki bhadule guyimana iyo aliiyombaga. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘suha ya bhuki idamalaga bhunonu.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu gubhiza na nhungwa ja wiza umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho umuwikaji bhobho.
(1Wakorintho 16:13-14; Zaburi 119:89-91).
KISWAHILI: KIBUYU CHA ASALI HAKIISHIWI UTAMU.
Chanzo cha msemo huu chaangalia uwekaji wa asali kwenye kibuyu. Asali ni tamu sana, hata ukiiweka kwenye kibuyu, utamu wake utabakia humo kwa sababu huwa inang’ang’ania ndani yake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kibuyu cha asali hakiishiwi utamu.’
Msemo huu hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, ni mwenye tabia njema katika maisha yake. Mtu huyo huongea maneno mazuri yenye amani na upendo kwa wenzake katika maongezi yake.
Maneno hayo huwa matamu kama asali, kwa sababu huwa hayaishiwi utamu wake kwa wasikilizaji wake. Watu huwa na hamu ya kuendelea kumsikiliza mtu huyo, ili waweze kuyaelewa yale anayoyaongea. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘kibuyu cha asali hakiishiwi utamu.’
Msemo huu hufundisha watu kuwa na tabia njema katika namna yao ya kuishi kwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao maishani mwao.
(1Wakorintho 16:13-14; Zaburi 119:89-91).
ENGLISH: A HONEYCALABASH NEVER LACKS SWEETNESS.
The origin of this saying is storage of honey in a calabash. Honey is very sweet, even if you put it in a syrup, its sweetness will remain there because it sticks in it. That is why people say, ‘Honeycalabash never lacks sweetness.’
The saying is used comparatively to refer to any person with good character in life. That person speaks sweet words of peace and love to his/her fellows in his/her conversation. These words are as sweet as honey, because they are not confined to their audience. People are eager to keep listening to that person, so they can understand what he or she is saying. That is why people tell him, ‘Honeycalabash never lacks sweetness.’
The saying teaches people to be good in their ways of living, so that they can live in harmony with others.
(1Corinthians 16: 13-14; Psalm 119: 89-91).