Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kuwiza bho bhulabhu. Ub’ulab’u bhunubho jiliginhu ijo jigazwaga jab’iza na b’ulab’u wiza, ulu litali likanza lya dilu, niyo jigalabhaga noyi. Aliyo lulu, ulu lyushiga iliknza ilya mhindi jigikunaga jab’ipila. Hungagwene abhanhu bhabayombaga giki. ‘wiza bho bhulabhu bhudalamaga.’
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo atali nyanda, nulu ng’waniki. Umunhu ng’wunuyo agab’izaga nab’u noyi. Aliyo lulu, ulu unamhala nulu, ulu ugiguluha, agoyoga ugulab’a. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘wiza bho bhulabhu bhudalamaga.’
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gudilila wiza bho nhungwa ja ng’wa munhu kuleb’a, ubhulab’u bhokwe, ulu bhalihaya gwitola.
Ayubu 14:1-2.
1Petro 1:24.
KISWAHILI: UZURI WA UA HAUDUMU.
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uzuri wa ua. Ua hilo ni kitu ambacho huota na kutoa ua ambalo hung’ara sana wakati wa asubuhi. Lakini ukifika muda wa jioni, huinama na kuwa baya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzuri wa ua haudumu.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye bado ni kijana. Mtu huyo huwa anang’aa kwa maana ya kuwa na sura nzuri sana. Lakini akiwa mzee atakoma kung’aa, badala yake atainama na kuonesha sura mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘uzuri wa ua haudumu.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kujali uzuri wa tabia ya mtu zaidi, kuliko ule wa sura yake, ili waweze kuwaelewa vizuri wenzao, hasa wale wanaotaka kuoana.
Ayubu 14:1-2.
1 Petro 1:24.
ENGLISH: THE BEAUTY OF FLOWER DOES NOT LAST.
The source of the above proverb comes from the beauty of the flower. It is a flower that grows and produces a flower that shines brightly in the morning. But when it is evening time, it withers up and becomes ugly. That is why people say ‘the beauty of flower does not last.’
The proverb can be compared to a person who is still a teenager. Such person is usually glowing in the sense of being handsome/beautiful. But when he/she is old he/she will stop shining, instead he/she will become ugly. That is why people say, ‘the beauty of flower does not last.’
The proverb teaches people that beauty is in one’s character, not in physical appearance. People, especially those planning for marriage, need to understand that in choosing a marriage partiner they have to consider their behaviour than beauty.
Job 14: 1-2.
1 Peter 1:24.