Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kujisumva ijo jigikalaga jisangab’alile. Ijisumva jinijo jigitaga yombo nhale aho jili. Jigab’ayoganijaga abhichajo mpaga bhaganogaga ugujidegeleka. Hunagwene abhanhu bhayombaga giki, ‘bhulamanzuku bhuli bhubhi.’
Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga uyomba mamihayo wilaka lyahigulya. Umunhu ng’wunuyo agafunyaga mbisila ja bhiye, kunguno ya guyomba mihayo iyo idinasolobho. Agalisanyaga bhanhu bho kuyomba mihayo ya b’ulomolomo. Alinsigani noyi umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhulamanzuku bhuli bhubhi.’
Ulusumo lunulo lolanga bhanhu gighulya ya kuleka nhungwa ja bhuyombagani bho nyalomolomo, kugiki bhadule goya gubhalisanya abhichab’o. Yigeleliwe abhanhu bhenabho, bhabhize na b’ulyehu bho gudula gwikala na bhanhu chiza.
Zaburi 34:14.
Yakobo 3:16.
1 Petro 3:10.
KISWAHILI: UPAYUKAJI NI MBAYA.
Chanzo cha methali hiyo chaangalia kiumbe ambacho hupiga kelele sana pale kilipo. Kiumbe hicho huendelea kuongea kwa sauti kubwa kule kiendako, mpaka wale wanaokisikiliza hukerwa nacho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upayukaji ni mbaya.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa anaongea maneyo kwa sauti ya juu. Mtu huyo hutoa siri za watu kwa sababu ya uongeaji wake huo wa maneno mengi. Huchonganisha watu kwa kusema maneno ya uongo. Yeye husengenya watu pia. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘upayukaji ni mbaya.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kupayuka maneno ya uongo maishani mwao, ili waweze kuacha kuwagombanisha wenzao. Yafaa watu hao wawe na upole wa kuwawezesha kuishi kwa amani na wenzao.
Zaburi 34:14.
Yakobo 3:16.
1 Petro 3:10.
ENGLISH: TOO LOUDLY TALKING IS BAD.
The source of the above proverb is looking at a creature that screams very loudly where it is. Such a creature keeps talking loudly in the direction it goes, until those listerning to it feel offended. That is why people can say ‘too loudly talking is bad.’
The proverb can be compared to a person who speaks loudly. Such a person is likely to affect other peoples’ privacy, antagonize others through false words. Such a person can be warned by telling him/her that ‘too loudly talking is bad.’
This proverb teaches people to avoid the habit of lying. They should not cause chaos to others rather be gentle enough to make people lead their lives in a peaceful manner.
Psalm 34:14.
James 3:16.