394. BHALEKAGI BHAGWIILANGAGA BHATINA SHIGA UKO BHAJILE.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kukikalile ka b’ananzengo, abho bhalimulegendo lo gushiga haleb’e. Abhanhu bhenabho bhatali uguimana chiza inzila iyo idulile gubhashisha ukobhajile.

Kuyiniyo lulu, achibhab’o bhagayihub’ilaga nzila yiniyo bhalondeja iyo yilolile kungi. Hunagwene abhanhu abho bhayideb’ile inzila yiniyo, bhagayombaga giki, ‘bhalekagi b’agwilangaga b’atina shiga uko b’ajile.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali bhakenaguji bhajikolo ja hakaya. Abhanhu bhenabho bhadina ndilili ya gujilanghana chiza isabho jinijo.

Abhoyi bhikolile nu munhu uyo alina nzwili, ulu ujimoja agusaga ni pala. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘b’alekaji b’agwilangaga b’atina shiga uko b’ajile.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujilanghaha chiza isabho jab’o, na gubhalela chiza abhana bhab’o, kugiki nabho bhadule ugujilanghana jisoga isabho jinijo.

Mathayo 6:19-20.

KISWAHILI: WAACHENI WANAJIFUNZA HAWAJAFIKA KULE WAENDAKO.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye maisha ya wanakijiji, ambao wako katika safari ya kwenda sehemu fulani. Watu hao bado hawajaihafamu vizuri njia ya kuweza kuwafikisha kule waendako. Kwa hiyo, hali hiyo hupelekea kwa baadhi yao kupotea njia kwa kufuata njia nyingine. Ndiyo maana wale wanaoifahamu njia hiyo, husema kwamba, ‘waacheni wanajifunza hajawafika kule waendako.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao ni waharibifu wa vitu vya nyumbani kwao. Watu hao hawana hali ya kuzijali mali za kwenye familia yao.

Wao hufanana na mtu mwenye nywere kichwani, akizinyoa atabaki na upaa. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘waacheni wanajifunza hajawafika kule waendako.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuzilinda vizuri mali zao, na kuwapa malezi mema watoto wao, ili nao waweze kuzitunza itakiwavyo mali hizo.

Mathayo 6:19-20.

maasai-tribe

ENGLISH: LET THEM LEARN, THEY HAVE NOT REACHED THEIR DESTINATION.

The source of the above saying comes from the lives of the villagers who are traveling somewhere. Those people have not yet figured out exactly how to reach their desired destination. Thus, the situation leads some of them to get lost on the way. Those who are familiar with the way to reach that destination can tell the lost fellows that ‘let them learn, they have not reached their destination.’

The saying can be compared to people who destroy their household items. Such people are not in a position to care for their family’s belongings. They are like a person whose head after shaving becomes balded. This is why such people are being warned by the saying that ‘let them learn, they have not reached their destination.’

The saying teaches people how to properly protect their property and give good care to their children so that they can take proper care of their properties.

Matthew 6: 19-20.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.