Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kub’uzugi bho jiliwa guti bhugali, nulu bhuchele. Unzugi ng’wunuyo ulu wandya ugubhukinda ndinho ubho alibhuzuga, mumho wegela ugubhubisha. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘udizub’uleka b’ukindile ndinho.’
Usulumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wizang’holo bho gub’akarib’usha gwiza gulya jiliwa jakwe abhiye. Umunhu ng’wunuyo adebhile igiki, umunhu uyo ali mulugendo lokwe adulile gusanga makoye ga gugayiwa jiliwa uko ajiile kunuko. Gashinaga lulu, ili chiza unsimizi ng’wunuyo, apandike jiliwa haho atali ugwandya ulugendo lokwe. Hunagwene abhanhu bhabayombaga giki, ‘udizub’uleka b’ukindile ndinho.’
Usulumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na wizang’holo bho gub’inha bhichabho ijiliwa jab’o, kugiki bhadule guyega halumo nabho, umuwikaji bhobho.
Luka 24:29-30.
KISWAHILI: USIACHE MWIKO UMECHOMEKWA KWENYE CHUNGU.
Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye upikaji wa chakula, kama vile ugali au wali. Mpishi huyo akianza kukichoma kwa mwiko kile anachokipika, maana yake amekaribia kuivisha chakula hicho. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usiache mwiko umechomekwa kwenye chungu.’
Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana ukarimu wa kuwakaribisha pia wenzake kwenye chakula chake. Mtu huyo aelewa kwamba, mtu anayesafiri aweza kukuta matatizo ya kukosa chakula kule aendako. Kumbe basi, yafaa msafiri huyo, apate chakula kabla ya kuanza safari yake kwenda kule aendeko. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usiache mwiko umechomekwa kwenye bhungu.’
Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapatia pia wenzao chakula chao, ili waweze kufurahi wote kwa pamoja.
Luka 24:29-30.
ENGLISH: DO NOT LEAVE THE COOKING STICK BEING DIPPED IN THE POT.
The source of the above proverb comes from cooking food, such as porridge or rice. When the cook begins to put the cooking stick or spoon on what he/she cooks, it means he/she is about to finish cooking the food. That is why people can say, ‘do not leave the cooking stick being chopped in the pot.’
The proverb can be compared to a person who is generous enough to invite his/her fellow guests for meal. Such a person understands that the traveler may find himself/herself experiencing problems of scarcity of food. However, the traveler must be provided with food before starting his or her journey towards his/her destination. That is why people can say, ‘do not leave the cooking stick being chopped in the pot’ as a way to encourage such a person to continue being generous to others.
The proverb teaches people to be generous in giving food to others. This will help them to have safe journey.
Luke 24: 29-30.