393. NKUGI HU MAGI.

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhukugi bho ndimu iyo ichile. Indimu yiniyo yigab’agagwa, kugiki yingijiwe indili yayo, huna yutinagulwa. Aliyo lulu umunhu uoguyib’aga inyama yiniyo, owilagwa nuyo oikugaga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nkugi hu magi.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo ogumanaga mhayo nheb’e. Umunhu ng’wunuyo, huyo agubhiza nkaniji ogo. Uweyi adeb’ile ubhunghana bho mhayo gunuyo, hinguno ya guwilwa akanile. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga abhalomele umo agumanilile umhayo gunuyo, kunguyo bhamanile igiki, ‘nkugi hu magi.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhuyomba chiza ubhunghana, umukikalile kabho, kugiki bhadule ugubhalumanya chiza abhanhu bhabho.

Mathayo 9:30.

Luka 10:2.

KISWAHILI: MUOKOTAJI NDIYE MCHUNAJI.

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uokotaji wa mnyama poli aliyekufa. Mnyama huyo huchunwa kwa lengo ya kuindoa ngozi yake, ili waweze kuikataka vizuri nyama yake.

 Lakini basi, mtu aliyemuokota mnyama poli huyo, ndiye yule ambaye huambiwa amchune mnyama huyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘muokotaji ndiye mchunaji.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye amelifahamu neno fulani linalohitaji ushahidi. Mtu huyo huwa ndiye shahidi wa nelo hilo, kwa sabahu yeye afahamu ukweli wa  jambo hilo vizuri kuliko wenzake. Ndiyo maana watu humwambia awaeleze ukweli wa jambo hiyo, kwa sababu wao wanaelewa kwamba, ‘muokotaji ndiye mchunaji.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kusema ukweli pale wanapotakiwa kufanya hivyo, ili waweze kuwaunganisha vizuri watu wao.

Mathayo 9:30.

Luka 10:2.

dik-dik-

maasai

ENGLISH: THE ONE WHO PICKS UP IS THE SKINNER.

The source of the above proverb comes from the collection of a dead animal. Such a dead animal, in order to be roasted, it has to be skinned first. And the person who picked up the dead animal is the one who has to skin it. This scenario is always described by the proverb that ‘the one who picks up is the skinner.’

The proverb can be compared to someone who has witnessed something. Such a person becomes the witness of the case because he/she knows the truth better than anyone else. He/she can tell the truth about what he/she witnessed.

The proverb teaches people to tell the truth when they have to. This can help people to be faithful enough in dealing with societal issues.

Matthew 9:30.

Luke 10: 2.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.