392. GULYA NYAGOKO.

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kukalille ka jiliwa, ka ngoko. Ingoko yiniyo, igalyaga ijiliwa bho gujisesagula na gujisalambanya, ijiliwa jinijo.

Igajibalasanyaga jab’iza guti jashilaga nulu jilijingi. Hunagwene abhanhu ulu bhumhona unii ojiliwa uyo alilya chiniko, bhagang’wilaga giki atogilwe ‘gulya nyagoko.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalyaga ijiliwa ukunhu ujisondola, kugiki achagule ijiliwa ijisoga. Umunhu ng’wunuyo agajidimagulaga ijiliwa jinijo guti ujidosaga ijingi. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, uweyi atogilwe ‘gulya nyagoko.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gujidimagula sagala ijiliwa ulu bhalilya, kugiki bhadule gujilya ijiliwa jinijo, ni nikujo ukubhichabho.

1 Wakorintho 11:27 – 30.

Tito 1:12.

KISWAHILI: KULA KIMTINDO WA KUKU.

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye mtindo autumiao kuku alapo chakula. Kuku huyo, hula chakula kwa kukisambaza akitumia miguu yake.

Hukisanmbaza chakula hicho, mpaka kinaonekana kama kimeisha hata kama kilikuwa kingi zaidi. Ndiyo maana watu wakimuona mlaji wa chakula ambaye hula kwa mtindo huo, humwambia kwamba yeye apenda ‘kula kimtindo wa kuku.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hula chakula kwa kukichambua kwa lengo la kutafuta kile kilicho kizuri zaidi. Mtu huyo hukishikashika chakula hicho kama amekidharau kile kingine. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, yeye apenda ‘kula kimtindo wa kuku.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kukishishika chakula wanapokula, ili waweze kukila kwa heshima, na kuwaheshimu pia wenzao.

1 Wakorintho 11:27 – 30.

Tito 1:12.

chickens

 

eat-chips

ENGLISH: TO EAT LIKE CHICKEN.

The source of the above saying comes from chicken eating style. The chicken will eat the food by spreading it on its feet. It spreads the food to the extent of making it appear as if it is finished, but in actual fact, they eat by sorting out some of the unwanted things. In describing people with this kind of behaviour, people can use this saying that ‘to eat like chicken.’

The saying can be compared to a person who eats food by sorting out some of the unwanted things thus looking for the best incredients of food. Such people are always looked at as someone who dislikes food and thus described by the saying that ‘to eat like chicken.’

The saying teaches people to stop bad eating habits when they eat. They need to respect the food they eat and the people who prepared it.

1 Corinthians 11:27 – 30.

Titus 1:12.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.