Sukuma

329. WINGA B’UDALIAGWA KAB’ILI

Imbuki ya lusumo lunulo yinginile kubhuli bho winga. Ulu winga wikwela mumho na b’amalaga b’adalashokela gwikwela hangi. Ulushugu ulo b’ikwelaga b’agiigwa b’ulya bhumala. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, winga b’udaligwa kab’ili.

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’adajidililaga indoa jacho. Abhanhu bhenabho bhagajilekanijiga ikaya jabho guti giki, bhalashokela  hangi ugwikwela. Abhanhu bhenabho bhagakomelejiyagwa gujidilila ikaya jabho, bhaleke ugujilekanija, kunguno bhamala gutola. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘winga b’udaliagwa kab’ili.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gujilanghana chiza ikaya jabho bho gujilisha jiliwa, kugiki abhanhu bhabho bhadule, gwikala na b’uyegi.

Mathayo 28:16-20.

Waefeso 4:5.

KISWAHILI: HARUSI HAILIWI MARA MBILI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulaji wa harusi. Harusi akisherekewa kwa wahusika kuelewana, ndiyo wamemaliza, hawatarudia tena. Siku ya kuelewana huwa wanakula chakula na kumaliza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘harusi hailiwi mara mbili.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa watu wale ambao huzitelekeza ndoa zao kwa kutokuzijali familia hizo. Watu hao huwaacha wanafamilia bila msaada, kama kwamba, watarudia kusherekea ndoa tena.

Wale wanaozitunza ndoa zao huwahimiza watu hao wazijali familia zao kwa kuzitunza vizuri, kwa sababu, hawatarudia kufunga ndoa nyingine wakati hii ya sasa bado ipo. Ndiyo maana huwaambia watu hao kwamba, ‘harusi hailiwi mara mbili.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuzilinda kwa kuzitunza vizuri familia zao, ili watu wao waendelee kupata mahitaji yao vizuri, maishani mwao.

Mathayo 28:16-20.

Waefeso 4:5.

couples

african-food

 

ENGLISH: A WEDDING IS NEVERCELEBRATED TWICE

The source of this saying is wedding celebration. When the wedding is celebrated, it is done, it cannot be repeated. On the day of negotiating the dowry, they conclude everything and celebrate. That is why people say, “a wedding is nevercelebrated twice.”

The saying is compared to people who do not respect their marriage. Such people abandon their families as if they will celebrate the marriage again.

Such people are urged to respect their marriage and take care of their families because they cannot celebrate another wedding as the first marriage still binds them. That is why people tell these people, “a wedding is never celebrated twice.”

The proverb teaches people about respecting their marriage and being responsible for their families so that family members can live happily.

Matthew 28: 16-20.

Ephesians 4: 5.

328. WELELO NHALE YANHYA NA KULI NG’WIWE

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kujisumva ijo jigitanagwa kuli, na bhutale bho ng’wa Welelo. Ikuli yiniyo igikalaga ng’wiwe, aliyo Iweleolo igaisolaga kihamo nugwib’isa goyo, ung’wiwe linilo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Welelo nhale yanhya na kuli ng’wiwe.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiganikaga giki adulile gung’wib’isa Uwelelo, guti kuli iyo igikalaga ng’wiwe. Kuyiniyo lulu, abhanhu bhenabho bhagahayaga giki bhadalacha, kunguno bhadabhumanile ubhutale bho ng’wa Welelo.

Abhanhu abho bhab’udeb’ile ub’utale bho ng’wa Welelo, bhagab’awilaga abhichabho bhenabho, giki, Uweyi adib’isagwa kunguno alintale noyi. Ulu uhaya gunsola munhu oseose, agunsola duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘Welelo nhale yanhya na kuli ng’wiwe.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhuzunya ubhutale bho ng’wa Welelo na gwiyangula gwikala gitumo atogelilwe weyi, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 3:8-13.

Yona 1:15-17.

KISWAHILI: MUNGU NI MKUBWA AMEMLA NA MJUSI KWENYE JIWE

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye kiumbe ambacho huitwa mjusi, na ukuu wa Mungu. Mjusi huyo huishi kwenye jiwe. Lakini Mungu alimchukua pamoja na kujificha kwake kwenye jiwe hilo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Mungu ni mkubwa amemla na mjusi kwenye jiwe.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufikiri kwamba aweza kujificha mbele ya Mungu, kama yule mjusi aishiye kwenye jiwe. Kwa hiyo basi, watu hao husema kwamba hawatakufa, kwa sababu ya kutokuufahamu ukuu wa Mungu.

Hali hiyo huwalazimu wale waufahamuo ukuu wa Mungu, kuanza kuwaeleza juu ya ukweli huo. Hakuna awezaye kujificha mbele ya Mungu, kwa sababu ya ukuu wake. Yeye akitaka kumchukua mtu yeyote, humchukua tu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘Mungu ni mkubwa amemla na mjusi kwenye jiwe.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kutoa malezi mema kwa watu wao juu ya ukuu wa Mungu maishani mwao, na kuamua kuishi kama atakavyo Yeye.

Mwanzo 3:8-13.

Yona 1:15-17.

lizard

 

ENGLISH: GOD IS GREAT, HE HAS EVEN TAKEN THE LIZARD’S LIFE

The source of this saying is the greatness of God and the life of lizard. The lizard lives in rocks. But God took its life.That is why people say, “God is great, he has even taken the lizard’s life.”

The saying is compared to a man who thinks that he can hide from the presence of God like the lizard does in rocks. So, these people do not know the greatness of God and they think that they will not die.

The people who know the greatness of God tell those who are ignorant about Him that no one can hide from God because He is great. If He wants to take anybody He will do so. That is why people say, “God is great, he has even taken even the lizard’s life.”

The saying teaches people about acknowledging God’s greatness and deciding to live as God wants them to be.

Genesis 3: 8-13.

It is 1: 15-17.

 

327. UDALYAGE WIMBA UGUTOLELA KULE

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kuli munhu uyo alilya jiliwa ukunhu alimba. Umunhu ng’wunuyo agasamaga na gufunya mate umunomo gokwe. Gashinaga lulu, ulu alilya ukunhu wimba abhiye bhadutogwa ugumona alifunya jiliwa na mate umunomo gokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘udalyage wimba ugutolela kule.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalangaga bhanhu bhakwe nhungwa ja wiza, kugiki bhab’ize ni kujo ahikanza lya gulya. Abhanhu bhenabho bhadebhile igiki ililange yilyagwiza ligenhaga ikujo ukubhanhu bha munzengo. Nulu bhagahaya gutola abhanhu bhab’o, bhagutolela nulu bhagupandikila bihi, ab’itoji bhab’o.

Aliyo lulu, umunhu uyo adalangile chiza adab’izaga nikujo ubhanhu. Nulu agahaya gutola, umunhu ng’wunuyo agutolela kule uko bhadandeb’ile akajile kakwe. Hunagwene bhagab’alangaga abhanhu bhabho bho gubhawila giki ‘udalyage wimba ugutolela kule.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo ukubhanhu umuwikaji bhobho. Yigelelilwe bhabhalange nhungwa ja wiza abhanhu bhabho.

Waefeso 6:4.

Yoeli 1:3.

KISWAHILI: USILE UNAIMBA UTAOLEA MBALI

Chanzo cha msemo huo chatokea kwa mtu alaye chakula huku akiimba. Mtu huyo huachama na kutoa mate mdomoni mwake. Kumbe basi, akila huku akiimba, wenzake hawatapenda kumuona akitoa chakula na mate kutoka kwenye mdomo wake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usile unaimba utaolea mbali.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hufundisha watu wake kuwa na tabia njema ili wawe na heshima wakati wa kula chakula. Watu hao hufahamu kwamba malezi mema huleta heshima kwa wanakijiji wenzao. Wenye malezi hayo, hata wakitaka kuoa, wataolea karibu na kwao kwa sababu tabia zao hujulikana kwa wenzao, zilivyo njema.

Lakini watu wenye tabia mbaya hufikiriwa kama watu ambao hawakupata malezi mema kutoka kwa walezi wao. Hivyo, hawana heshima kwa watu. Wenye tabia hiyo mbaya wakitaka kuoa wataolea mbali kule ambako hawazifahamu tabia zao kuwa ni mbaya. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘usile unaimba utaolea mbali.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu maishani mwao. Yafaa watu hao wawafundishe watu wao tabia njema ya kuwawezesha kuishi kwa amani na wenzao.

Waefeso 6:4.

Yoeli 1:3.

people singing

 

ENGLISH: NEVER SING WHILE EATING, YOU WILL MARRY FAR AWAY

The source of this saying is a person who eats food while singing. Such a person opens his/her mouth and saliva comes out of his/her mouth. So, as as he/she eats that way, his/her companions do not feel good to see food and saliva from his/her mouth. That is why people say, “never sing while eating, you will marry far away from home.”

The saying is compared to a man who teaches his people good table manners so that they observe them. They know that good upbringing will bring about a moral upright society. People with good manners, if they want to marry, they will be able to get suitors in their neighbourhoods because their good character is known.

But the people who were not brought up properly are never respected by their fellows. When these people want to marry, they have to go far away from their village where their characters are not known. That is why people say, “never sing while eating, you will marry far away from home.”

The saying teaches people about having good character in their lives. These people should also teach their people good manners in order to enable them to live in harmony with others.

Ephesians 6: 4.

Joel 1: 3.

326. DALYA JISEB’U

Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuli bho jiliwa ijo jitali jisebhu. Ijiliwa ulujinjiwa ahaliko jigabhizaga jisebhu noyi. Abhanhu abho b’alijilya jib’abishaga. Hunagwene abhanhu bhenabho ulu bhamala ugulya bhagayombaga giki, ‘dalya jiseb’u.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhatimlyaga ng’holo abhasatu bhabho na bhanhu abho bhalinabhasatu, bho gubhawila giki abhasatu bhenabho bhagupila duhu. B’agab’achalaga gusitali bhagaping’wa na gwinhiwa b’ugota. Gashinaga lulu, akahayile kenako kalikigisije kabhanhu bhenabho ulu umo obho ainansatu, bhagahaga giki, ‘dalya jiseb’u.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu higuya ya kubhalunguja bho gubhachala gusitali abhasatu bhabho, kugiki, bhapile wangu.

Yakobo 5:14-16.

KISWAHILI: TUMEKULA CHA MOTO

Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye ulaji wa chakula chenye moto. Chakula hicho mhusika akikitoa motoni huwa kina moto sana. Watu wanaokila huwaungaza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’

Msemo huo hulinganishwa kwa watu ambao huwafariji wagonjwa na watu wenye wagonjwa, kwa kuwaambia kwamba, wagonjwa wao watapona tu. Watu hao huwapeleka wagonjwa hospitalini kwenda kupimwa na kupatiwa matibabu sahihi. Kumbe basi, msemo huo ni namna ya kusalimiana ya watu hao, kama mmoja wao, anamgonjwa, husema kwamba, ‘tumekula cha moto.’

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwafariji vizuri wagonjwa kwa kuwapeleka hospitalini, ili wakaweze kupatiwa matibabu yanayotakiwa kwao na wapone haraka.

Yakobo 5:14-16.

hot food

 

ENGLISH: WE HAVE EATEN WHILE TOO HOT

This saying comes from eating hot food. When the food is released from the fire, it is usually hot. The people who eat such food get burned.That is why people say, “we have eaten while it is hot.”

The saying is compared to people who comfort the sick and the people who are taking care of them, by telling them that their patients will recover from the illness. These people also take patients to hospital for medical examination and treatment. In fact, the saying is a form of greeting to people if one of them is sick. They, therefore, say, “we have eaten while it is hot.”

The saying teaches people how to comfort patients by taking them to hospital so that they can receive treatment and recover quickly.

James 5: 14-16.

325. NOMBA GULYA ADAB’ONELAGWA MHAYO

Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhulombi bho jiliwa. Unombi ojiliwa ng’wunuyo, agabhizaga atub’ile. Agabhonaga giki, ilichiza ugulomba ijiliwa jinijo ukubhanhu abho bhalinajo, gutimda kujisola bho nduhu uguzunulijwa na bhanikili jiliwa. Unombi o jiliwa ulu ojipandika ijo alilomba agajilyaga na b’uyegi, kunguno adiho guhayiwa giki ohub’aga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘nomba gulya adabhonelagwa mhayo.’

Usulumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adatogilwe gusola sabho jabhanhu bho nduhu ugulomba. Umunhu ng’wunuyo agatumilaga makanza gakwe bho gujilomba ijiliwa jinijo, kunguno adebhile igiki, ‘nomba gulya adabhonelagwa mhayo.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya kuleka gusola sabho ja bhanhu bho nduhu ugulomba, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:7.

KISWAHILI: MUOMBA KULA HAONEWI NENO

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye uombaji wa chakula. Muombaji huyo wa chakula huwa ameshikwa njaa. Huona kwamba ni vizuri kuomba badala ya kuchukua bila kuruhusiwa na wenye chakula hicho. Muombaji huyo wa chakula hukila kwa furaha akikipata chakula hicho alichokiomba, kwa sababu hawezi kufikiliwa kwamba amekosea. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘muomba kula honewi neno.’

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule asiyependa kuchukua mali za watu bila kuomba. Mtu huyo hutumia mda wake katika kuomba chakula hicho, kwa sababu, aelewa kwamba, ‘muomba kula haonewi neno.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha kuchukua mali za watu bila kuomba, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 7:7.

poverty

ENGLISH: ONE WHO BEGS FOOD HAS NO FAULT

This proverb rises from a person who begs for food. The person who begs for food is always hungry. Such a person finds it good to beg rather than taking food without permission from owners. When he/she is given the food, this person eats it happily because he/she cannot be accused of having done something wrong.That is why people say, “he who begs for food has no fault.”

The proverb is likened to someone who does not want to take others’ properties without asking. Such a person spends his/her time begging for food because he/she understands that, “he who begs for food has no fault.”

The proverb teaches people to stop taking others’ possessions without permission in order to live peacefully with neighbours.

Matthew 7: 7.