stories

581. KALAGU – KIZE. B’ITOLELA B’AKALI PYE:- MHULI NA MHELA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola ndimu ibhili: Mhuli na Mhela. Imhuli ili ndimu nhale na nhali noyi, kunguno ulu yusaya igabhapandagilaga abhanhu, nulu abhana ndimu abhangi. Iyoyi udulile nulu gubhaluta abhanhu bho nkondo goyo, kunguno ilina nguzu ningi.

Imhela nayo ili ndimu iyo igikalaga ing’wene ng’wene duhu, kunguno ili ndimu nhali noyi nayo. Gashinaga imhuli ni mhela jili mhali pye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhitolela bhakali pye:- Mhuli na Mhela.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagamanaga bhuyoga ahakaya yabho. Abhanhu bhenabho, bhuli ng’wene alemile uguhang’wa, kunguno ya gwibhona gokwe, igiki adulile pye iyose, umukikalile kakwe. Abhoyi bhagibhonaga giki bhali nguvu na bhukali bho gubhalebhya pye abhichabho, kunguno bhadabhudebhile ubhudula bho ng’wa Mulungu unsumbi o jose.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na mhela na Mhuli, kunguno nabho, bhuli ng’wene agibhonaga giki alinkali kulebha abhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘bhitolela bhakali pye:- Mhuli na Mhela.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guleka nhinda ja gwihaya bhukali, kunguno ubhukali bhobho bhudadulile gubhushigila ubhukali bho ng’wa Mulungu, unsumbu o jose, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:28-30.

Mithali 3:5-8.

2Wakorintho 13:10-11.

Waebrania 4:12.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

WAMEOLEANA WAKALI WOTE:- TEMBO NA KIFARU.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia wanyama poli wawili ambao ni Tembo na Kifaru. Tembo ni mnyama mkubwa na mkali sana, kwa sababu yeye akikasilika huweza hata kukanyaga watu, na kuwaua. Yeye huweza hata kuwabeba  watu hao, na kuwatupa kwa mkondo wake, kwa sababu ana nguvu nyingi.

Kifaru naye ni mnyama ambaye hupenda kuishi peke yake, kwa sababu ya ukali wake. Kumbe Tembo na Kifaru ni wanyama wakali wote. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘wameoleana wakali wote:- Tembo na Kifaru.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao hawamalizi kelele kwenye familia yao. Watu hao, kila mmoja hataki kuambiwa kitu na mwenzake, kwa sababu ya kujiona kwamba anaweza yote, katika maisha yake. Wao hujifirikia kuwa na nguvu na ukali wa kuwazidi wenzao wote, kwa sababu  hawaufahamu uwezo wa Mungu ambaye ndiye Muumba wa vyote.

Watu hao, hufanana na Tembo na Kifaru, kwa sababu nao, hujiona kila mmoja kuwa ni mkali kupita wenzake, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘wameoleana wakali wote:- Tembo na Kifaru.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha kiburi cha kujidai ukali, kwa sababu ukali wao hauwezi kuufikia ukali wa Mungu aliyeumba vyote, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Mathayo 11:28-30.

Mithali 3:5-8.

2Wakorintho 13:10-11.

Waebrania 4:12.

mhuli2

mhela2

 

HARSH ANIMALS HAVE MARRIED EACH OTHER – ELEPHANTS AND RHINOS.

The source of this riddle is the two animals, elephant and rhino. An elephant is characterized by being big and fierce to other animals. When it gets angry it can trample on people and kill them. It can also use its tusk to throw away people or any other animal.

A rhino is another wild animal that likes to live a lonely life because of its harshness. The sharing of this attitude of being harsh made people come up with this riddle that ‘harsh animals have married each other – elephant and rhino’ to justify how related behavior of people can affect others in the society.

This riddle can be compared to quarrelsome people in the society. Such people always do not listen to others and they would like to do everything on their own. They always feel superior to others. Unfortunately, they don’t know that God is powerful than any other animal on earth. He is the creator of everything.

This riddle teaches people about giving up the pride of self-indulgence because their severity cannot reach the fierceness of God who created all things. By not praising themselves, people will have peace with each other in the society.

Matthew 11: 28-30, Proverbs 3: 5-8, 2 Corinthians 13: 10-11, Hebrews 4:12.

580. LIKULU LITI NA NG’OMA.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kuwikaji bho kaya iyo idini bhelele. Ilibhelele nilino, jilitulilo ja jiliwa guti bhusiga na mandege. Ilyoyi likolile ni ng’homa.

Ikale bhuli kaya yali ni lulu nulu, ib’elele ilyagujitulila ijiliwa jabho. Giko lulu, ulu namugi ati niluli mumho ikaya yiniyo ilidina jiliwa. Hunagwene abhanhu bhahayaga giki, “Likulu liti na ng’oma.”

Akahayile kenako, kagalanganijiyagwa kuli munhu uyo adikalaga na jiliwa jingi, umukaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo adigulambijaga chiza uguitumama imilimo iyagudula gumpandikila jiliwa ja gutumila shigu ningi.

Uweyi agikolaga ni ikaya iyo idini ibhelele, nulu iyo idina jiliwa jingi, kunguno nuweyi, adikalaga ni mhamba iya aha shigu ijahabhutongi, mukaya yake. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘Likulu liti na ng’oma.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja gudula gubhambilija aha shigu iyahabhutongi.

Ijinagongeza, igelilwe abhanhu bhenabho, bhikale na jiliwa ja mhayo go ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Mathayo 13:1-9.

Mathayo 7:21-29.

Mathayo 25:14-30.

Yohana 15:1-8.

KISWAHILI: IKULU HAINA NGOMA.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye maisha ya familia isiyo na ghala. Ghala ni kitu cha kuwekea chakula kama vile mahindi, na mtama kwa ajili ya kutumia kwa wakati ujao. Ghala hilo hufanana na ngoma.

Zamani kulikuwa na utamaduni wa kutunzia chakula cha famalia kwenye ghala. Hivyo, mzee wa familia ambaye hana ghala maana yake familia yake haina chakula. Ndiyo maana watu walisema kwamba, ‘ikulu haina ngoma.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi bila chakula chakutosha kuilisha familia yake. Mtu huyo, hajibidishi kuyatekeleza vizuri majukumu yake, ambayo yaweza kumpatia chakula cha kutumia kwa muda wa siku nyingi zijazo.

Yeye hufanana na familia ambayo haina ghala, ambayo ni familia isiyo na chakula kingi, kwa sababu naye huishi bila kuwa na chakula cha kutosha kuilisha familia yake, kwa muda wa siku nyingi zijazo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘ikulu haina ngoma.’

 Msemo huo, hufundisha watu juu ya kujibisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mafanikio mengi yatakayowasaidia kwenye siku za mbeleni.

Zaidi ya hayo, watu hao wanatakiwa kuishi wakiwa na chakula cha kiroho ambacho ni neno la Mungu, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao yote.

Mathayo 13:1-9.

Mathayo 7:21-29.

Mathayo 25:14-30.

Yohana 15:1-8.

nzala2

numba ibhinzikile bhu

nzala3

bible

ENGLISH: THE PALACE DOES NOT HAVE A WAREHOUSE.

The origin of this saying comes from a family that does not have warehouse of its own. A warehouse is something to store food such as maize, and millet for future use. Traditionally, people used to keep their food, especially dried ones, in warehouses for future use. A family that does not have a warehouse was considered to be a family with no food to eat. To describe such a family with no food, they used a saying that ‘the palace does not have a warehouse.’

The saying can be compared to a person who lives without enough food to feed his/her family. That person does not carry out his/her duties properly, which may provide him/her with food to spend for many days to come.

He/she is like a family without a granary, which is a low-income family, because he/she also lives without enough food to feed his/her family for many days to come. 

The saying teaches people about the responsibility to carry out their responsibilities properly, so that they can achieve many successes that will help them in future. In addition, these people are required to live on a spiritual food which is the word of God, so that they can live in harmony with others throughout their lives.

Matthew 13: 1-9.

Matthew 7: 21-29.

Matthew 25: 14-30.

John 15: 1-8.

579. GUSHIGA GWIBOLA NA TUNGE JALI GITI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile noni ijo jigitanagwa tunge. ITunge jinijo, jigafumilaga ahikanza lya limi lyaja kumagwilo. Kiyiniyo lulu, umugiti ijoyi jigamanaga julala bho madale madale, nugwibola nduhu. Hungwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gushiga gwibola na tunge jali giti.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’hungwa ja bhubhi. Abhanhu bhenabho, bhatogilwe guitumama imihayo ya bhubhi guti bhusambo, na bhushiya, ni yingi iyo yikolile yiniyo, mulikanza lya mugiti, kugiki bhadizubhonwa na bhanikili.

Abhoyi bhagikolaga ni tunge, kunguno nabhoyi bhatogilwe guitumamila mugiki imihayo iyabhubhi yiniyo, umukikalile kabho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘gushiga gwibola na tunge jali giti.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu hugulya ya guleta ng’hungwa ja gwita mihayo ya bhubhi, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Wagalatia 5:16-26.

Yohana 3:18-21

KISWAHILI: KUFIKIA KUGONGANA POPO UJUE KUWA LILIKUWA GIZA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia ndege wanaoitwa popo.  Popo hao, hutokea wakati wa machoeo ya jua, kwa sababu wao hupenda kuruka wakati wa giza. Kwa hiyo basi, ndani ya giza hilo, wao huruka makundi wakifurahia hali hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufikia kugongana popo ujue kuwa lilikuwa giza.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale wenye tabia ya kutenda maovu katika maisha yao. Watu hao, hutenda maovu kama yale ya wizi, uzinzi, na mwengine mengi yanayofanana na hayo, wakati wa giza, ili wasionwe na wahusika.

Watu hao, hufanana na popo warukao gizani, kwa sababu nao wanapenda kutumia wakati huo wa giza kwa kutenda maovu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kufikia kugongana popo ujue kuwa lilikuwa  giza.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha tabia za kutenda maovu, maishani mwao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, katika maisha yao.

Wagalatia 5:16-26.

Yohana 3:18-21.

tunge

tunge2

tunge1

 

ENGLISH: REACHING THE TIME TO HIT EACH OTHER WITH BATS MEANS IT IS HEAVY DARKNESS.

The source of the proverb is bats that tend to fly during night time. Bats do not fly during day time. Therefore, at night, they enjoy flying from one point to another. That is why people can describe the movement of people during night hours to be likened to those of bats.

The proverb can be compared to those people who have a tendency to do evils in their lives. It can be stealing, commiting adultery and many other evils that people tend to commit in darkness so that they are not seen or caught. Such people with their evil deeds can be described using the proverb that ‘reaching the time to hit each other with bats means it is heavy darkness.’

The saying teaches people about giving up bad habits in their lives. This will enable them to have good relationship with their neighbours.

Galatians 5: 16-26. John 3: 18-21.

578. NGEGEMEJI IDIKOJAGA.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola nzagamba ya Ng’ombe iyo idapandaga inhima. Inzagamba yiniyo, igamanaga yugegemela bho gujilimhila ng’hima, nugupanda nduhu. Iyiniyo, idudula ugwikoja nulu ng’wana (ndilanha). Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngegemeji idikojaga.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga nimo bhogususanya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adiko gubyedecha nimo gosegose, kunguno ya gwikala bho nduhu ugutumama chiza imilimo yakwe.

Uweyi agikolaga ni nzagamba iyo igagegemelaga duhu, bho nguhu ugupanda, kunguno nuweyi agasusanyama uguitumama imilimo yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ngegemeji idikojaga.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya kutumama milimo bho nduhu ugususanya, umukikalile kabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Mathayo 7:15-20.

Mathayo 7:21-28.

Waroma 12:11-12.

Yakobo 2:14-17.

KISWAHILI: ANAYESITASITA HAWEZI KUFANIKISHA KUPATA MTOTO ANAYEFANANA NAYE.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia fahari wa ng’ombe ambaye apandi majike. Fahari huyo, ni dume la ng’ome ambalo haliwezi kupata majike, badala yake lenyewe huishia kujalibia tu, bila kuyapanda. Yeye hawezi kuwa na ndama anayefanana naye. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘anayesitasita hawezi kufanikisha kupata mtoto anayefanana naye.’

Methali hiyo, hufananishwa kwa mtu yule ambaye hufanya kazi kwa kusitasita, maishani mwake. Mtu huyo, hawezi kufanikiwa katika kazi yoyote ile, kwa sababu ya kuishi bila kuyatekeleza vizuri majukumu yake.

Yeye hufanana na fahari ambaye husitasita kupanda majike, kwa sababu naye husitasita kuyatekeleza majukumu yake. Mtu huyo, hajiwekei mikakati ya kufanya kazi kwa badii hadi kuzimaliza. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘anayesitasita hawezi kufanikisha kupata mtoto anayefanana naye.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuyatekeleza majukumu yao kwa ukamilifu hadi kuyamaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika maisha yao.

Mathayo 7:15-20.

Mathayo 7:21-28.

Waroma 12:11-12.

Yakobo 2:14-17.

nzagamba ngegemeji

bull

buli1

 

ENGLISH: HE WHO HESITATES WILL NEVER GET A CHILD THAT RESEMBLES HIM.

The source of this proverb is a bull that is hesitant to mount a cow. This bull fails to mount the cow, instead, ends up trying to mount it. Such a bull is not likely to have a calf that resembles it (the bull). This is why people can describe such a bull using the proverb that ‘he who hesitates will never get a child that resembles him.’

The proverb is likened to a person who works with hesitation in his/her life. Such a person will not be able to succeed in life because he or she is not living up to his or her responsibilities. He/she is like a bull that fails to fulfill its responsibilities. This person also does not make plans to work to the end.

This proverb teaches people to carry out their tasks to the fullest. This will enable them to have achievements in life.

Matthew 7: 15-20. Matthew 7: 21-28. Romans 12: 11-12. James 2: 14-17.

577. NG’HALA NINGI JIDISIMBILAGA MYOB’O.

Imbuki ya lusumo lunulo, yililola ndimu iji jigitanagwa Ng’hala. Indimu jinijo, jigikalaga mu mang’ob’o. Bhuli Ng’hala igikalaga mung’ob’o goyo uyo yagusimba yoyi. Aliyo lulu, ulu jigwa ng’wichajo oyogolwa, pye jigafumaga gujung’wambilija. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hala ningi jidisimbilaga myob’o.’

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gwiyambilija wangu ulu ng’wichabho opandikaga makoye. Abhanhu bhenabho, bhiyiigwile chiza mukikalile kabho, kunguno bhuli ng’webe agatumamaga imilimo yakwe chiza, ukunhu alumanile nabhiye ijinagubhamilija abho bhapandikaga mayange.

Abhoyi bhagikolaga ni ng’hala, ijo jidisimbilaga myob’o, aliyo bhuli yene igajaga wangu ugujubhambilija abhichabho abho bhapandikaga makoye, kunguno nabhoyi bhali na ng’wigwano ugogwiyambilija chiza, umumakoye gabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hala ningi jidisimbilaga myob’o.’

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwiyambilija umumakoye gabho, bho gudima malagilo ga ng’wa Mulungu na ga Kanisa, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:22-24.

1Timotheo 6:11-12.

Luka 12:58.

KISWAHILI: VICHECHE WENGI HAWACHIMBIANI MAPANGO/MASHIMO.

Chanzo cha methali hiyo, chaangalia wanyama wanaoitwa vicheche. Vicheche hao, huishi kwenye mapango au mashimo mbalimbali ambayo kila mmoja amendaa. Kila mmoja huishi kwenye shimo lake alilolichimba. Lakini basi, vicheche hao wakisikia kwamba mmoja wao amevamiwa, wote hutoka mashimoni mwao, kwenda kumsaidia mwenzao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vicheche wengi hawachimbiani mashimo/mapango.’

Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano mzuri wa kusaidiana haraka wanapoona kwamba mwenzao amepata matatizo. Watu hao, wanaelewana vizuri katika maisha yao, kwa sababu kila mmoja wao hufanya kazi zake, huku akiwa tayari kwenda kuwasaidia wenzake wenye matatio, kwa haraka inavyo wezekana.

Wao hufanana na vicheche wanaojitegemea katika kuyatekeleza majukumu yao, huku wakiwa tayari kwenda kuwasaidia wenzao waliopata matatizo, kwa sababu nao wana uelewano wa kusaidiana vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vicheche wengi hawachimbiani mashimo/mapango.’

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kusaidiana vizuri katika kutatua matatizo mbalimbali, kwa kuzishika amri za Mungu na za Kanisa, maishani mwao, ili aweze kuishi kwa amani na wenzao katika maisha yao.

Mathayo 7:13-14.

Luka 13:22-24.

1Timotheo 6:11-12.

Luka 12:58.

ng'hala3

ng'hala2

 

ENGLISH: MEERKATS DO NOT DIG HOLES FOR EACH OTHER.

The source of this proverb is the wild animal known by the name of meerkat. These animals always live in caves or pits, which each one of them digs. Each of these meerkats live in its cave/pit but when it comes that one of them is attacked by an enemy, all of them living around can come out to defend their fellow. This is why people came with this proverb to mean that meerkats do not dig caves/pits for others rather they dig them for their own but protection against enemies is the responsibility of each one of them.

This proverb can be compared to those people who have a good understanding of helping each other as soon as they find out that someone is in need of help. These people understand others well and they are able to help them. These people are highly needed during times of crisis.

The proverb teaches people about the need of helping each other in solving problems. It also teaches people to abide by God’s and Church’s commandments by ensuring that needy people are helped accordingly.

Matthew 7: 13-14. Luke 13: 22-24. 1Timothy 6: 11-12. Luke 12:58.