Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola ndimu ibhili: Mhuli na Mhela. Imhuli ili ndimu nhale na nhali noyi, kunguno ulu yusaya igabhapandagilaga abhanhu, nulu abhana ndimu abhangi. Iyoyi udulile nulu gubhaluta abhanhu bho nkondo goyo, kunguno ilina nguzu ningi.
Imhela nayo ili ndimu iyo igikalaga ing’wene ng’wene duhu, kunguno ili ndimu nhali noyi nayo. Gashinaga imhuli ni mhela jili mhali pye. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘bhitolela bhakali pye:- Mhuli na Mhela.’
Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagamanaga bhuyoga ahakaya yabho. Abhanhu bhenabho, bhuli ng’wene alemile uguhang’wa, kunguno ya gwibhona gokwe, igiki adulile pye iyose, umukikalile kakwe. Abhoyi bhagibhonaga giki bhali nguvu na bhukali bho gubhalebhya pye abhichabho, kunguno bhadabhudebhile ubhudula bho ng’wa Mulungu unsumbi o jose.
Abhanhu bhenabho, bhagikolaga na mhela na Mhuli, kunguno nabho, bhuli ng’wene agibhonaga giki alinkali kulebha abhiye, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, ‘bhitolela bhakali pye:- Mhuli na Mhela.’
Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya guleka nhinda ja gwihaya bhukali, kunguno ubhukali bhobho bhudadulile gubhushigila ubhukali bho ng’wa Mulungu, unsumbu o jose, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Mathayo 11:28-30.
Mithali 3:5-8.
2Wakorintho 13:10-11.
Waebrania 4:12.
KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.
WAMEOLEANA WAKALI WOTE:- TEMBO NA KIFARU.
Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia wanyama poli wawili ambao ni Tembo na Kifaru. Tembo ni mnyama mkubwa na mkali sana, kwa sababu yeye akikasilika huweza hata kukanyaga watu, na kuwaua. Yeye huweza hata kuwabeba watu hao, na kuwatupa kwa mkondo wake, kwa sababu ana nguvu nyingi.
Kifaru naye ni mnyama ambaye hupenda kuishi peke yake, kwa sababu ya ukali wake. Kumbe Tembo na Kifaru ni wanyama wakali wote. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘wameoleana wakali wote:- Tembo na Kifaru.’
Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa watu wale ambao hawamalizi kelele kwenye familia yao. Watu hao, kila mmoja hataki kuambiwa kitu na mwenzake, kwa sababu ya kujiona kwamba anaweza yote, katika maisha yake. Wao hujifirikia kuwa na nguvu na ukali wa kuwazidi wenzao wote, kwa sababu hawaufahamu uwezo wa Mungu ambaye ndiye Muumba wa vyote.
Watu hao, hufanana na Tembo na Kifaru, kwa sababu nao, hujiona kila mmoja kuwa ni mkali kupita wenzake, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘wameoleana wakali wote:- Tembo na Kifaru.’
Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuacha kiburi cha kujidai ukali, kwa sababu ukali wao hauwezi kuufikia ukali wa Mungu aliyeumba vyote, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.
Mathayo 11:28-30.
Mithali 3:5-8.
2Wakorintho 13:10-11.
Waebrania 4:12.
HARSH ANIMALS HAVE MARRIED EACH OTHER – ELEPHANTS AND RHINOS.
The source of this riddle is the two animals, elephant and rhino. An elephant is characterized by being big and fierce to other animals. When it gets angry it can trample on people and kill them. It can also use its tusk to throw away people or any other animal.
A rhino is another wild animal that likes to live a lonely life because of its harshness. The sharing of this attitude of being harsh made people come up with this riddle that ‘harsh animals have married each other – elephant and rhino’ to justify how related behavior of people can affect others in the society.
This riddle can be compared to quarrelsome people in the society. Such people always do not listen to others and they would like to do everything on their own. They always feel superior to others. Unfortunately, they don’t know that God is powerful than any other animal on earth. He is the creator of everything.
This riddle teaches people about giving up the pride of self-indulgence because their severity cannot reach the fierceness of God who created all things. By not praising themselves, people will have peace with each other in the society.
Matthew 11: 28-30, Proverbs 3: 5-8, 2 Corinthians 13: 10-11, Hebrews 4:12.