Imbuki ya lusumo lunulo, yililola ndimu iji jigitanagwa Ng’hala. Indimu jinijo, jigikalaga mu mang’ob’o. Bhuli Ng’hala igikalaga mung’ob’o goyo uyo yagusimba yoyi. Aliyo lulu, ulu jigwa ng’wichajo oyogolwa, pye jigafumaga gujung’wambilija. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hala ningi jidisimbilaga myob’o.’
Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na ng’wigwano go gwiyambilija wangu ulu ng’wichabho opandikaga makoye. Abhanhu bhenabho, bhiyiigwile chiza mukikalile kabho, kunguno bhuli ng’webe agatumamaga imilimo yakwe chiza, ukunhu alumanile nabhiye ijinagubhamilija abho bhapandikaga mayange.
Abhoyi bhagikolaga ni ng’hala, ijo jidisimbilaga myob’o, aliyo bhuli yene igajaga wangu ugujubhambilija abhichabho abho bhapandikaga makoye, kunguno nabhoyi bhali na ng’wigwano ugogwiyambilija chiza, umumakoye gabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hala ningi jidisimbilaga myob’o.’
Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano go gwiyambilija umumakoye gabho, bho gudima malagilo ga ng’wa Mulungu na ga Kanisa, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.
Mathayo 7:13-14.
Luka 13:22-24.
1Timotheo 6:11-12.
Luka 12:58.
KISWAHILI: VICHECHE WENGI HAWACHIMBIANI MAPANGO/MASHIMO.
Chanzo cha methali hiyo, chaangalia wanyama wanaoitwa vicheche. Vicheche hao, huishi kwenye mapango au mashimo mbalimbali ambayo kila mmoja amendaa. Kila mmoja huishi kwenye shimo lake alilolichimba. Lakini basi, vicheche hao wakisikia kwamba mmoja wao amevamiwa, wote hutoka mashimoni mwao, kwenda kumsaidia mwenzao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vicheche wengi hawachimbiani mashimo/mapango.’
Methali hiyo, hulinganishwa kwa watu wale ambao wana uelewano mzuri wa kusaidiana haraka wanapoona kwamba mwenzao amepata matatizo. Watu hao, wanaelewana vizuri katika maisha yao, kwa sababu kila mmoja wao hufanya kazi zake, huku akiwa tayari kwenda kuwasaidia wenzake wenye matatio, kwa haraka inavyo wezekana.
Wao hufanana na vicheche wanaojitegemea katika kuyatekeleza majukumu yao, huku wakiwa tayari kwenda kuwasaidia wenzao waliopata matatizo, kwa sababu nao wana uelewano wa kusaidiana vizuri katika maisha yao. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘vicheche wengi hawachimbiani mashimo/mapango.’
Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kusaidiana vizuri katika kutatua matatizo mbalimbali, kwa kuzishika amri za Mungu na za Kanisa, maishani mwao, ili aweze kuishi kwa amani na wenzao katika maisha yao.
Mathayo 7:13-14.
Luka 13:22-24.
1Timotheo 6:11-12.
Luka 12:58.
ENGLISH: MEERKATS DO NOT DIG HOLES FOR EACH OTHER.
The source of this proverb is the wild animal known by the name of meerkat. These animals always live in caves or pits, which each one of them digs. Each of these meerkats live in its cave/pit but when it comes that one of them is attacked by an enemy, all of them living around can come out to defend their fellow. This is why people came with this proverb to mean that meerkats do not dig caves/pits for others rather they dig them for their own but protection against enemies is the responsibility of each one of them.
This proverb can be compared to those people who have a good understanding of helping each other as soon as they find out that someone is in need of help. These people understand others well and they are able to help them. These people are highly needed during times of crisis.
The proverb teaches people about the need of helping each other in solving problems. It also teaches people to abide by God’s and Church’s commandments by ensuring that needy people are helped accordingly.
Matthew 7: 13-14. Luke 13: 22-24. 1Timothy 6: 11-12. Luke 12:58.