Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhushindiki bho nhumba uyo witundile. Unsumba ng’winuyo, agabhiza adadamile chiza, kunguno ulu ushindikwa agashigila hasi duhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dashindikaga nsumba witundile.’
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo otumagwa nimo hanh’u na uja malali. Umunhu ng’wunuyo, agalekaga unimo uyo otumagwa gujugutumama. Uweyi agandyaga milimo yakwe iyo ayitogilwe weyi ng’winikili.
Umnhu ng’wunuyo, agikolaga nu gumshindika munhu uyo witundile uyo agashigila gugwa hasi duhu, kunguno nuwei agajaga malali bho gwiyibha igiki otumagwa nimo nhebhe nabhiye. Hunagwene abhanhu abho bhantumaga bhagayombaga giki, ‘dashindikaga nsumba witundile.’
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutimija chiza imilimo iyo bhatumagwa na bhichabho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
1Timotheo 5:20-21.
2Wathesalonike 2:10-12.
Mathayo 23:37-39.
Yohana 1:10-12.
KISWAHILI: TUMESUKUMA KIJANA ALIYECHUCHUMAA.
Chanzo cha msemo huo, chaangalia usukumaji wa kijana ambaye amechuchumaa. Kijana huyo, hukosa uimara wakati huo, kwa sababu akisumwa huanguka chini. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘tumesukuma kijana aliyechuchumaa.’
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule aliyetumwa kutekeleza jambo fulani, akaenda kimoja. Mtu huyo, husahau kazi aliyotumwa kwenda kuitekeleza kwa yeye kuamua kufanya kazi yake mwenyewe. Yeye hujiingiza kwenye kazi nyingine anayoipenda mwenyewe.
Mtu huyo, hufanana na kitendo cha kumsukuma mtu aliyechuchumaa ambaye huishia kuanguka chini, kwa sababu naye hutumwa kitu na kwenda kimoja, bila kukitekeleza kile alichotumwa kukifanyia kazi. Ndiyo maana watu waliomtuma husema kwamba, ‘tumesukuma kijana aliyechuchumaa.’
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuyatimiza vizuri majukumu waliyotumwa kuyatekeleza, ili waweze kupata mafanikio mengi katika maisha yao.
1Timotheo 5:20-21.
2Wathesalonike 2:10-12.
Mathayo 23:37-39.
Yohana 1:10-12.
ENGLISH: WE HAVE PUSHED A SQUATTING YOUNG MAN.
The source of this saying is pushing a young man who was squatting. This squatting young man will not have enough power to resist the push and therefore can easily fall down. To describe a scenario that relates to effortless winning in a certain competition, one can use the saying that ‘we have pushed a squatting young man.’
The saying can be compared to someone who was sent to do something and never came back to bring feedback. He/she is someone who appears to forget his/her responsibility. Such a person does things according to his/her wish. People of such behaviour are being compared to the act of pushing a squatting person who will end up falling down.
The saying teaches people how to properly fulfill the tasks they are assigned to carry out. This will enable them to have achievements in their lives.
1Timothy 5: 20-21. 2Thessalonians 2: 10-12. Matthew 23: 37-39. John 1: 10-12.