stories

596. KALAGU – KIZE. NG’HONA YATELELA HATATI YA B’ANA B’INGI:– LING’WANDU.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yilolile ling’wandu. Ung’wandu gunuyo, guli nti ntale gete uyo gugikalaga na b’ana b’ingi. Ab’ana bhenabho pye b’agikalaga b’adamilile halininabho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hona yatelela hatati ya b’ana b’ingi:- Ling’wandu.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agalabhilaga kaya yakwe chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigakalaga ali na bhutogwa bhutale ukubhiye, ubho bhugang’wambilijaga ugubhalanga abhanhu bhake nzila ja gutumama milimo na gwikala chiza na bhichabho.

Uweyi agikalaga abhadimilile abhana bhakwe guti numo gubhadimilile Ung’wangu ab’ana bhago. Akikalile kakwe kenako, kakabhalanjaga abhiye inzila ja gujilabhilila chiza ikaya jabho. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘ng’hona yatelela hatati ya b’ana b’ingi:- Ling’wandu.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gudebha gujilabhila chiza ikaya jabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bhitogilwe chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Kumbukumbu la Torati 5:32.

Ezra 8:29.

Matendo 20:28.

Waefeso 5:29.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

NG’HONA AMETAGIA KWENYE BUIBUI WA WATOTO WENGI:- MBUYU.

  Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia Mbuyu. Mbuyu huo, ni mti mkubwa kabisa, ambao huwa na matunda mengi. Matunda hayo, huwa yamejining’iniza kwenye mti. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘ng’hona ametagia kwenye buibui wa watoto wengi:- Mbuyu.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huilinda kwa kuitunza vizuri familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa ana upendo mkubwa kwa watu wake, ambao humsaidia katika kuwafundisha namna ya kuyatekeleza majukumu yao, na kuishi na wenzao vizuri.

Yeye huwa ameshikamana na watoto wake, kama vile Mbuyu unavyoshikamana na matunda yake hayo. Maisha yake, huwafundisha watu njia za kuzilinda kwa kuzitunza vizuri familia zao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘ng’hona ametagia kwenye buibui wa watoto wengi:- Mbuyu.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuzilea kwa kuzitunza vizuri familia zao, katika maisha yao, ili waweze kuishi kwa upendo na wenzao, maishani mwao.

Kumbukumbu la Torati 5:32.

Ezra 8:29.

Matendo 20:28.

Waefeso 5:29.

ng'wandu1

baobab ng

baobab-ng'wandu

ENGLISH: I HAVE RIDDLE – LET IT COME.

THE BIRD THAT HAS BUILT A NEST WITHIN THE SPIDER’S FAMILY – BAOBAB TREE.

The source of this riddle is a baobab tree. This tree is featured by being big in size and it produces many fruits. Its fruits will always appear to hang from the baobab tree. This hanging of fruits from the branches of the baobab tree made people come with the riddle that ‘The bird that has built a nest within the spider’s family’ to communicate the connection among the following: the baobab tree, its branches and the fruits it bears.

This riddle can be compared to a person who takes good care of his/her family. This person is likely to have deep love to his/her people. Such a person can be attached to his/her children in the same way a baobab tree is attached to its branches and fruits.

This riddle teaches people about understanding how to raise and take care of their children. In so doing, they will be able to create and maintain good relationship with neighbours throughout their lives.

Deuteronomy 5:32, Ezra 8:29, Acts 20:28, Ephesians 5:29.

595. KALAGU – KIZE. NINA NG’WANI GOYEGOYE NG’WANA NG’WANIB’ILINGWA: – TIGITI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola itina lya tigiti, na bhana bhalyo. Ilitina linilo, ligabhizaga na magole ayo gagalanda landaga kihamo na matina gangi ayo gagalandaga guti lyoyi.  Aliyo lulu, ululyubhyana abhana bhalyo bhagabhizaga bhibhilingu, bhatale, bhanonu na bhingi noyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nina ng’wani goyegoye ng’wana ng’wanib’ilingwa: – tigiti.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhakujaga bho gubhalela chiza abhana bhakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nhungwa jawiza abhana bhakwe bhenabho, abho bhagakulaga bhamanile uguitumama chiza imilimo ya hakaya, nu gwikala chiza na bhanhu bha munzengo gobho.

Uweyi agikaloga ni litina lya tigiti linilo, kunguno nuweyi alina bhana abho agabhakujaga bho gubhinha ilange lya wiza. Abhana bhenabho bhagabhizaga bhawiza umukajile ka nhungwa jabho, guti ni tigiti umojiganonelaga, ukubhali bhajo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘nina ng’wani goyegoye ng’wana ng’wanib’ilingwa: – tigiti.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhabyaji higulya ya gubhakuja bho gubhalanja nhungwa jawiza abhanhu bhabho, umukikalile kabho, kugiki bhadule gutumama milimo yabho chiza, na gwikala bho mholele na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 127:3-5.

Zaburi 128:3.

Ayubu 5:25.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

MAMA YAKE KAMBAKAMBA WATOTO MVIRINGO – TIKITI MAJI.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia shina la tikiti maji na matunda yake. Shina hilo la tikiti maji huwa ni kamba kamba ambazo hutanda zikiwa pamoja na mshina mengine yanayotanda kwa kulanda landa. Lakini basi, shina hilo huzaa matunda ya mviringo, ambayo huwa makubwa, mengi na matamu sana. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘mama yake kambakamba watoto mviringo – tikiti maji.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwakuza kwa kuwalea vizuri watoto wake. Mtu huyo, huwafundisha kushika tabia njema watoto wake hao, ambao hukua wakiwa wanafahamu kufanya kazi na kuishi vizuri na watu wa kijijini kwao.

Yeye hufanana na shina hilo la tikiti maji, kwa sababu naye ana watoto wambao huwakuza kwa kuwapatia malezi mema. Watoto hao, huishika na kuishi tabia hiyo njema, hali ambao huwawezesha kuwa wazuri, kama tikiti maji zilivyo tamu kwa walaji wake. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘mama yake kambakamba watoto mviringo – tikiti maji.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwakuza kwa kuwapatia malezi mema watoto wao, katika maisha yao, ili waweze kuyatimiza vizuri majukumu yao, na kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Zaburi 127:3-5.

Zaburi 128:3.

Ayubu 5:25.

tikiti4

tikiti3

tikiti

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT’S MOTHER IS JUST PIECES OF THREADS BUT HER CHILDREN ARE ROUNDISH IN SHAPE – WATERMELON.

The source of this riddle is a watermelon and its stem. The stem of water melon always appears like pieces of strings. These strings can be scattered around but they have one source; stem. Despite its appearance, being pieces of strings, it produces water melon, a fruit that is roundish in shape, big and sweet as well. That is why people came with this riddle ‘its mother is just pieces of threads but her children are roundish in shape – watermelon’ to communicate the relationship between watermelon and its stem.

This riddle can be compared to a person who takes care of his/her children. This person teaches his/her children on how to behave and live well with the people in their societies. This person is likened to a stem of watermelon that takes good care of its fruits despite its condition of being just pieces of threads. Its fruits are big and sweet enough to attract consumers. All these good attributes of the water melon fruit are associated with good parenting of its stem.

This riddle teaches people about nurturing children by providing them with good care. This will enable them to be acceptable members of the society.

Psalm 127: 3-5, Psalm 128: 3, Job 5:25.

594. KALAGU – KIZE. JILUGUTA NGANYALE: – NG’HUNDYA.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yingilile kubhulumi bho Ng’hundya kujisumva jilibhe. Ing’hundya jilisumva ijo igalumaga na gudamila ha mili go ntugo uyo gutali gusiminza. Yiyoyi igadamilaga aha ng’ombe, mbuli nulu ha Mbogo, aho yalumaga, kugiki imane yugabipa amininga gakwe uyo yanumaga ng’wunuyo. Agumanusiminza iliho duhu, mpaga wigele oguyinja hoyi. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki,  ‘jiluguta nganyale:- Ng’hundya.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli munhu, uyo agigashaga ha ng’wa nsabhi. Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’hundya yiniyo, kunguno nuweyi agamanaga ulya duhu ijiliwa ijahali nsabhi ng’wunuyo, guti ni ng’hundya yiniyo, iyo igamanaga yugabipa amaninga gakwe uyo yanumaga.

Uweyi agikalaga bho bhuyegi aha linsabhi ng’wunuyo, kunguno agamanaga ulya duhu ijiliwa ijo ojichola unsabhi okwe. Abhanhu abho bhagamonaga bhagikalaga bhedebhile igiki, uweyi wikajiwa hoyi jiliwa duhu, kunguno ulu jushila ijiliwa jinijo, adudula ugwikala ahakaya yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘jiluguta nganyale:- Ng’hundya.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya gubhakuja ab’ana bhabho bho gubhonhya mabhele chiza, na gwibhegeja ijinagutumama milimo yabho, abho bhakula, kugiki bhaleke ugwisanya nguzu ja bhangi, umuwikaji bhobho.

Isaya 49:15.

Isaya 60:16.

Mithali 10:15.

Mithali 22:7.

2Wathesalonikew 3:10.

Waroma 12:11-12.

Waroma 12:11-12.

Mathayo 24:13.

KISWAHILI: KTENDAWILI TEGA.

KIMUNG’ATACHO HUMNYONYA HUKU AKITEMBEA KWA MADAWA:- KUPE.

Chanzo cha kitendawili hicho, chatokea kwenye ung’ataji wa kupe kwa mnyama. Kupe huyo, hung’ata ng’ombe, mbuzi, kondoo hata nyati, akiwa anatembea. Yeye hung’ang’ania pale ulipouma, huku akifyonza damu ya mnyama huyo wakati wote. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kimung’atacho humnyonya huku akitembea kwa madaha:- kupe.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye, huishi kwa mtu aliye tajiri. Mtu huyo, hufanana na kupe kwa sababu naye huendelea kula tu, kwenye familia ya tajiri huyo, kama kupe anyonyavyo damu kwa mnyama aliyemng’ata.

Yeye huishi kwa furaha tu kwa tajiri huyo, kwa sababu ya kupata sehemu ya kula chakula, ambacho tajiri huyo alikitafuta. Watu wale wanaomuelewa mtu huyo, humwambia kwamba yeye yuko pale kwa sababu ya chakula tu, kikiisha hawezi kuendelea kukaa pale. Ndiyo maana wao huhadithiana kwamba, ‘kimung’atacho humnyonya huku akitembea kwa madaha:- kupe.

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwakuza watoto wao kwa kuwanyonyesha, na kujitegemea kwa kufanya kazi zao, kwa wale walio na uwezo huo, ili waache kutegemea nguvu za wengine, maishani mwao.

Isaya 49:15.

Isaya 60:16.

Mithali 10:15.

Mithali 22:7.

2Wathesalonike 3:10.

Waroma 12:11-12.

Mathayo 24:13.

tick4

tick1

tick3

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

THE ONE THAT BITES AND SUCKS BLOOD WHILE THE VICTIM WALKING MAJESTICALLY – TICK.

The source of this riddle is the bite of a tick. Ticks tend to bite animals like cows, goats and sheep and when it bites, it tends to suck blood while the victimized animal keeps on walking. This is why people came with the riddle that ‘the one that bites and sucks blood while the victim walking majestically – tick’ to communicate how the tick can enjoy riding an animal while sucking its blood.

This riddle can be compared to someone who lives with a rich person. This person, considered to be poor, can live like a tick that sucks blood and enjoys the ride. Life within this family of a rich person is good thus making this poor person to enjoy good shelter, food and clothing. This poor person can be looked at as someone who went to live with the rich man just because he/she wanted the richman’s provisions.

This riddle teaches people about nurturing their children in a good manner so as to make them become self-reliant in future. They will avoid living like ticks rather look for what can make them sustain their lives.

Isaiah 49:15, Isaiah 60:16, Proverbs 10:15, Proverbs 22: 7, 2Thessalonians 3:10, Romans 12: 11-12

Matthew 24:13.

593. KALAGU – KIZE. SHELENYETE: – BHUSUNGU BHO NG’HUMI.

Imbuki ya kalagu yiniyo, yililola bhusungu bho ng’humi. Ing’humi yiniyo, jilisumva ijo jili na bhusungu ulu junhuma munhu. Uyo olumagwa ng’wunuyo, ikanza lingi agiigwaga giti inhumi yiniyo, ilisiminza umugati ya mili gokwe, kunguno agab’izaga guti alishinwa. Hunagwene abhanhu bhagiganilaga giki, ‘shelenyete:- Bhusungu bho ng’humi.’

Ikalagu yiniyo, igalenganijiyagwa kuli nkima uyo alilung’wa bhusungu, ahikanza lya gwifungula. Umunhu ng’wunuyo agasadyaga noyi, guti nu bhusungu bho ng’humi, ukuli munhu uyo yanhumaga. Agikomejaga noyi, ugwiyumilija, mpaga nose agadujaga, ugwifungula chiza.

Umayu ng’wunuyo, agabhalanjaga abhiye ahigulya ya gwiyumilija ulu bhalichola kupandika ginhu jisoga. Uweyi agabhizaga jigemelo jawiza ukubhanhu abho bhalihaya kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho. Hunagwene agabhaganilaga abhanhu giki, ‘shelenyete:- Bhusungu bho ng’humi.’

Ikalagu yiniyo, yalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiyumilija ulubhalitumama nimo ndimu, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo ga gujibheja chiza ikaya yabho.

Mwanzo 3:16.

1Wakorintho 10:13.

Isaya 21:3.

Zaburi 48:6-7.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 16:21.

KISWAHILI: KITENDAWILI – TEGA.

KUUMA KAMA UNAFINYWA:- SUMU  YA NGE.

Chanzo cha kitendawili hicho, chaangalia sumu ya nje. Inge huyo, ni kiumbe chenye sumu, kikimuuma mtu. Yule aliyeumwa, wakati mwingine, hujisikia kama nge anatembea ndani ya mwili wake, kwa sababu ya maumivu hayo makali yanayomfanya ajisikie kama anafinywa. Ndiyo maana yeye huwahadithia watu kwamba, ‘kuuma kama unafinywa:- sumu ya nge.’

Kitendawili hicho, hulinganishwa kwa mwanamke yule anayejisikia uchungu wakati wa kujifungua. Mtu huyo, hujisikia maumivu makali sana, kama yale ya uchungu wa kuumwa na nge, kwa mtu yule aliyeumwa. Yeye hujibidisha kuvumilia, mpapa mwishowe hufaulu kujifungua salama.

Mama huyo, huwafundisha watu juu ya kuvumilia katika matatizo wanayokumbana nayo maishani mwao, ili waweze kuyafikia mafanikio wanayoyatarajia. Yeye ni mfano wa kuigwa na wenzake, wanaotaka kupata mafanikio mengi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huhadithiana kwamba, ‘kuuma kama unafinywa:- sumu ya nge.’

Kitendawili hicho, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wanapoyakamilisha majukumu yao, ambayo ni magumu, maishani mwao, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao.

Mwanzo 3:16.

1Wakorintho 10:13.

Isaya 21:3.

Zaburi 48:6-7.

Mathayo 11:28-30.

Yohana 16:21.

scorpion-

scorpion2

 

ENGLISH: I HAVE A RIDDLE – LET IT COME.

IT PAINS AS IF YOU ARE BEING PINCHED – SCORPION’S POISON.

The source of this riddle is the scorpion’s poison. Scorpions tend to produce poison when they bite other animals. When it bites, the bitten animal will feel pain in the same way one can feel when is being pinched. This is why people came with this riddle that ‘it pains as if you are being pinched.’ -scorpion’s poison.’

This riddle can be compared to a woman who is in labour. This woman can feel severe pain, like that of a bite, but she is able to persevere and finally deliver a child. This woman teaches others about how to endure problems one can face in his/her life. She can be taken as a role model to others who have to struggle without giving up in order to achieve success in life.

This riddle teaches people about patience as they fulfill their goals. They have to be tolerant enough in making sure that they achieve what they desire in their lives.

Genesis 3:16, 1Corinthians 10:13, Isaiah 21: 3, Psalm 48: 6-7, Matthew 11: 28-30, John 16:21.

592. MALILWA NG’HONGE.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhuliwa bho ntugo na Ng’honge. Untugo gunuyo, ulu gucha gugaliyagwa nyama giti: Ng’ombe, mbuli nulu Ng’holo. Ugoyi gugaliyagwa kunguno gulijiliwa ijo jidikomile guponyiwa.

 Ing’honge bhuli bhugali ubho munhu agabhubhumbaga na gulija mu nsuji, huna olya kihamo ni nyama. Huanagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘maliwa ng’honge.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo, agabhalunguja abhanhu abho bhabhulajaga mitugo jabho. Umunhu ng’wunuyo, adebhile giki, imitugo jigalyaga maswa ayo gagayibhejaga imimili yajo, mpaga jikoma guliwa na bhanhu. Kuyiniyo lulu, nulu jigacha, jiguliwa na bhanhu, kunguno jili jiliwa ijo jidaponyiyagwa.

Uweyi agabhalungujuaga abho bhachililwe na mitugo jabho, bho gulinganija imitugo jinijo, na maswa nulu makubhi ayo jigagalyaga imitugo. Ijoyi jigabhizaga makubhi ulu jubha. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga ‘maliwa ng’honge.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kudebha ugubhalunguja abho bhajimijaga jikolo jabho, kugiki bhadizusunduhala gukilanija. Yigelelilwe abhanhu bhenabho bhapandike nguzu ja kucholela jikola jingi, umuwikaji bhobho.

Isaya 22:13.

KISWAHILI: KILIWACHO NA TONGE.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia kuliwa kwa mfugo na Tonge. Mfugo huo, ukifa peke yake unaliwa kwa sababu wenyewe ni nyama kama vile: Ng’ombe, Mbuzi, na kondoo. Hicho ni chakula ambacho haiwezekani kukitupa.

Tonge ni ugali unaoviringishwa na mhusika ambaye huichovya tonge hiyo, kwenye mchuzi na kula pamoja na nyama. Ndiyo maana watu hukiita, ‘kiliwacho na tonge.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayefahamu kuwatuliwa watu wale ambao mifugo yao wamekufa. Mtu huyo, anaelewa kwamba, mifugo hao, hula majani ambayo huinenepesha miili yao mpaga kufikia hatua ya kuliwa. Hivyo basi, hata wakifa bila ya mwenye mali huridhia, wataliwa kama nyama, kwa sababu huwa hazitupwi.

Mtu huyo, huwafariji wamiliki hao wa mifugo, kwa kuwaelezea juu ya uwezekano walio nao wa kuwapata  mifugo wengine. Hivyo, wanatakiwa kujipa moyo kwa kula nyama za mifugo hao, kwa sababu hicho ni kile ‘kiliwacho na tonge.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuwatuliza watu walipoteza mali zao, ili wasihuzunike kupita kiasi, badala yake, wapate nguvu za kutafuta mali zingine, katika maisha yao.

Isaya 22:13.

porridge

porridge1

ENGLISH: THAT WHICH IS EATEN WITH A LUMP OF UGALI.

The source of this saying is eating animal meat. When an animal dies, its meat can be eaten by human beings because animals such as cows, goats and sheep are used as side dish. Since animals are used as side dish, when one eats ugali he/she has to dip his/her lump of ugali in the meat sauce and eat it. To describe this scenario, people came with a saying that ‘that which is eaten with a lump of ugali.’

This saying can be compared to a person who knows how to calm down people who have lost their animals maybe because of death. He/she makes people become aware that even if these animals die without the consent of the owner they can be used as side dish. Therefore, such a person becomes a source of comfort to others who have lost their animals.

The saying teaches people about understanding how to relieve people who have lost their possessions.

Isaiah 22:13.