sayings

628. NG´HANGA MABHALA ADAMALAGA WIZA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile ng’hanga na wiza bho mabhala gayo. Ing’hanga yiniyo, ikagalaga na mabhala mingi ayo gagabholechaga uwiza bhoyo umukikalile kayo. Hunagwene abhanhu abhagayombaga giki, ng’hanga mabhala adamalaga wiza.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agafunyaga bhulangwa bhusoga ukubhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumilaga makanza mingi bho gubhalomela abhiye imihayo iyo idulile gubhambilija ugwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho. Uweyi agabhejaga bhukengeji wingi ubho bhugang’winhaga bhumani bho mihayo mingi iyo ilina solobho ukuwikaji bho bhanhu bhakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’hanga iyo idamalaga wiza, iki bhuli yene igikalaga na mabhala miza, kunguno nuweyi adamalaga imihayo imiza ukubhanhu abho bhagandegelekaga.

Abhanhu bhenabho, bhagikalaga bhatogilwe ugwikala nang’hwe, kunguno ya mihayo yakwe iyo igabhalangaga nhungwa ja gwikala bho mholele na wichabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhenabho, bhagiganilaga giki, ‘ng’hanga mabhala adamalaga wiza.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhalomela abhana bhabho mihayo ya gwenha mholele ukubhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Ezekieli 16:11.

Yeremia 4:30.

KANGA MAPAMBO HAMALIZI UZURI.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia kanga na uzuri wa mapambo yake. Kanga huyo, huwa ana manyoa yenye madoa madoa ya rangi mbalimbali. Mapambo yake hayo, huonesha uzuri wake na wa watoto wake ambao hauishi, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kanga mapambo hamalizi uzuri.’

Msemo huyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutoa mafundisho mazuri kwa watu wake, katika maisha yake. Mtu huyo, hutumia muda mwingi katika kuwafundisha watu juu ya kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao. Yeye hufanya utafiti wa aina mbalimbali ambao humpatia uelewa wa kuongea maneno yenye hekima katika kuyajenga vizuri maisha ya watu wake.

Mtu huyo, hufanana na kanga mwenye mapambo yasiyomaliza uzuri, kwa sababu naye ana maneno ya hekima kwa watu wanaomsikiliza, katika mafundisho yake. Yeye naye hamalizi maneno hayo yenye hekima katika kinywa chake, kama yule kanga asiyemaliza uzuri wa mapando yake ambao huenea hata kwa watoto wake.

Watu hao, hupenda kuishi naye huku wakiyasikiliza maneno yake ambayo huwajengea tabia ya kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, ‘kanga mapambo hamalizi uzuri.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaeleza watoto wao maneno yenye kuleta amani watu wao, ili waweze kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Ezekieli 16:11.

Yeremia 4:30.

ng'hanga2

ng'hanga

ENGLISH: THE BEAUTY OF GUINEAFOWL IS ENDLESS.

The source of this saying is the beauty of a bird known by the name of guineafowl. Guinefowls are featured by feathers of different colours. These colours are a reflection of their beauty and attraction. This beauty tends to be inherited from one generation of guineafowls to another, as long as they continue reproducing. This is why people came with this saying that ‘the beauty of guineafowls is endless’ to communicate how guineafowls keep on reproducing themselves so is their beautiful colours.

This saying can be compared to a person who gives good teaching to his/her people in his/her life. This person spends a lot of time in teaching people about how to live well with their peers in their lives. He/she can conduct a variety of research that gives him/her an understanding of how to speak wise words to better shape the lives of his/her people. Such a person, like a guineafowl, is regarded as an ornament of the society and his/her beauty will continue flourishing in the society.

There is also a possibility of this person having his/her children nurtured along those lines of wisdom thus keeping his/her wise words continue surviving generation after generation in the society.

This saying teaches people about how to tell their children words that encourage peace and wisdom. In so doing, they will be making a society that believes in peace and harmony all the time.

Ezekiel 16:11, Jeremiah 4:30.

626. BALA YA NG´WA MAYOYO.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kuli munhu uyo witanagwa Mayoyo. Umunhu ng’wunuyo obhucholaga ubhung’hana bho mihayo iyo bhahoyelaga. Uweyi ulu uwilwa mhayo na ugwitegeleja chiza washoshaga giki, ´ihaha nigwa bala. Huna kubhiza kahayile ukubhanhu giki, bala ya ng´wana Mayoyo, ulu bhagwigwa chiza mhayo nhebhe. Hunagwene abhanhu bhagayombaga na lelo ulu bhagudebha mhayo chiza giki, ‘Bala ya ng’wa Mayoyo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo abhutogilwe ubhung’hana, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agitaga bhukengeji bho bhuli mhayo kugiki adule ugugumana chiza. Uweyi agabhujaga chiza imihayo iyo bhaliihoyela, ukubhiye abho bhalinhomela, mpaga obhudebha ubhung’hana bho mhayo gunuyo.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu Mayoyo, kunguno nuweyi agayegaga ulu ogudebha chiza umhayo, uyo agwitilila bhukengeji. Akikalile kakwe, kagabhalanjaga abhiye inzila ja gwitila ubhukengeji bho mihayo yabho, kugiki bhadule ugubhudebha ubhung’hana. Hunagwene ulu bhabhumana ubhung’hana bhunubho bhagayombaga giki, ‘Bala ya ng’wa Mayoyo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhuchola ubhung’hana bho gwita bhukengeji bho mihayo yabho, kugiki bhadule gupandika bhuyegi bho ng’hana, umuwijaji bhobho.

Mithali 28:5.

Mathayo 13:23.

Marko 6:1-6.

Yohana 7:46-47.

Yohana 4:25-30.

Luka 20:39.

KISWAHILI: KUSIKIA KWA MAKINI YA MAYOYO.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwa mtu aliyeitwa Mayoyo. Mtu huyo, alikuwa na kawaida ya kusikiliza maongezi kwa makini na kuuliza pale ambapo hajaelewa. Akielewa, jambo fulani, kwa makini alisema kwamba, ‘sasa nimesikia barabara,’ maana yake amesikia vizuri na kwa makini. Ndipo ukawa msemo kwa watu anapoelewa vizuri jambo fulani, ambao hukumbuka, ‘kusikia kwa makini ya Mayoyo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupenda ukweli katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya utafiti wa kila neno ili aweze kulielewa vizuri. Yeye huuliza vizuri kwa wenzake kile ambacho hajakiewa katika maisha yake, mpaga anahakikisha kwamba, amekielewa vizuri.

Mtu huyo, hufanana na Mayoyo, kwa sababu naye hufurahi anapouelewa ukweli wa jambo fulani, alilokuwa analifanyia utafiti. Maisha yake, huwafundisha wenzake njia za kufanyia utafiti huo, ili waweze kuufahamu ukweli maishani mwao. Ndio maana wanapaufahamu ukweli huyo hukumbuka, ‘kusikia kwa makini ya Mayoyo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutafuta ukweli kwa kufanya utafiti wa maneno yao, ili waweze kupata furahi ya kweli, maishani mwao.

Mithali 28:5.

Mathayo 13:23.

Marko 6:1-6.

Yohana 7:46-47.

Yohana 4:25-30.

Luka 20:39.

IMG_20190704_093743_3

 

nyanda1

tanzania-bhamasai bhakima

ENGLISH: THE ACCURATE UNDERSTANDING OF MAYOYO.

The source of this saying is a person known by the name of Mayoyo. This person happened to be very careful when listening to a certain person narrating him/her a certain story. Mayoyo would not just pass time by saying he understands the narrator while in actual fact he is not. He would force to understand clealy what is being said by the narrator. To describe this kind of behavior, people came with the saying that ‘The accurate understanding of Mayoyo’ to communicate smartness in listening and understanding the conveyed information.

This saying can be compared to a person who loves truth in his/her life. This person will tend to understand clearly everything before coming to actual implementation of his/her plans. He/she can ask his/her friends several times for clarity, in case of misunderstanding, in order to have a decision that cannot affect him/her. Such a person teaches others about truthfulness and having right decisions in life.

The saying teaches people about finding the truth by researching. Research can make someone take right decisions in life.

Proverbs 28: 5, Matthew 13:23, Mark 6: 1-6, John 7: 46-47, John 4: 25-30, Luke 20:39.

622. LUSHU LWA NSAB´I LUGABHAGAGA NI DIDA.

Imbuki ya kahayile kenako, yingilile kukatumamile ka lushu lo nsabhi. Ulushu lunulo, lugabhagaga ntugo gosegose, gubhize guginu, nulu gukondu. Uloyi ludakomanije imitugo ja gubhaga. Hunagwene abhanhu bhagayomga giki, ‘ulushu lwa nsab’i lugabhagaga ni dida.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bhose bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe bho gwiyambilija na bhiye abho agikalaga nabho. Uweyi agahoyaga na bhanhu bhose, bho gubhambilija ugwinga umumayange gabho.

Umunhu ng’wunuyo, alijigemelo ja gutumama milimo kihamo, ukubhiye, kunguno ya gubhambilija bhanhu bhose bho ndugu ugubhakomanya, kuti un lushu ulo nsabhi, ulo lugabhagaga ni dida.

Akikalile kakwe kenako, kagabhalangaga abhiye higulya ya gubhadilila abhanhu bhose, bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kabho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘ulushu lwa nsab’i lugabhagaga ni dida.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhadilila abhanhu bhose, bho nduhu ugubhakomanya, umukikalile kabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Hesabu 12:4.

Mithali 8:17.

1 Thimotheo 5:10.

Wagalatia 6:7-9.

Luka 13:24.

Luka 6:20.

Matendo 10:34.

Mathayo 5:43-44.

Yakobo 2:7.

KISWAHILI: KISU CHA TAJIRI HUCHUNA HATA MNYAMA DHAIFU.

Chanzo cha msemo huo, chatokea kwenye utendaji wa kisu cha tajiri. Kisu hicho, huchuna mfugo wa aina yoyote, uwe ule wenye afya au ule ulikonda. Kisu hicho, hakibagui mfugo wa kuchuna. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kisu cha tajiri huchuna hata mnyama dhaifu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi na watu wote bila kuwabagua, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake kwa kusaidiana na wenzake anaoishi nao. Yeye huongea na watu wote, katika utekelezaji wa kazi zake za kuwasaidia wenye matatizo mbalimbali.

Mtu huyo, ni mfano wa kuigwa na wenzake katika kufanya kazi kwa ushirikiano na wenzao, kwa sababu ya namna anavyosaidia watu wote, kama kile kisu cha tajiri ambacho huchuna hata mnyama dhaifu.

Maisha yake, hufundisha watu juu ya kuwajali watu wote bila ubaguzi, katika maisha yao. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kisu cha tajiri huchuna hata mnyama dhaifu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwajali watu wote bila kuwabagua, katika maisha yao, ili waweze, kuishi kwa amani na kupata mafanikio mengi zaidi, maishani mwao.

Hesabu 12:4.

Mithali 8:17.

1 Thimotheo 5:10.

Wagalatia 6:7-9.

Luka 13:24.

Luka 6:20.

Matendo 10:34.

Mathayo 5:43-44.

Yakobo 2:7.

bhamasai

dida

 

ENGLISH: THE RICH’S KNIFE SKINS EVEN THE WEAKEST ANIMAL.

The source of this proverb is a knife of a rich man. This knife is associated with skinning animals where, if the knife is blunt, it can fail to skin properly the animal and if it is sharp enough, it can smoothly skin the animal. But, the rich man’s knife in this context is considered to be able to skin whatever animal comes its way. It is always sharp. This sharpness of the rich aman’s knife made people to come up with this proverb that ‘The rich man’s knife skins even the weakest animal.

This proverb can be compared to a person who lives with all people without exception in his/her life. This prson tends to accept his/her responsibility by assisting others in fulfilling their obligations. This person can act as a role model to others because of the way he/she does his/her things in a more appropriate and helpful manner. He/she teaches others about care and he/she helps others.

This proverb teaches people about caring for all people without discrimination.

Numbers 12: 4, Proverbs 8:17, 1Timothy 5:10, Galatians 6: 7-9, Luke 13:24, Luke 6:20, Acts 10:34, Matthew 5: 43-44, James 2: 7.

618. KUB´AGA KANA KA MBULI GWELWA NG´HOLO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhubhagi bho ng’wana o mbuli uyo atali ndololo. Ung’wana o mbuli ng’wunuyo,  agikalaga na ndili ndagana gete iyo idalekana wangu ni nyama. Kuyiniyo lulu, ugushiga mpaga nose umhagi ugamala ugukab’aga agubhiza wiyumilijaga noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gub’aga kana ka mbuli gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga masala na wiyumilija umubhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugugatumia chiza amasala gakwe ijinagubheja bhukengeji bho guidebha imilimo iyo idulile gung’wenhela matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Ulu omala ugwita ubhukengeji bhunubho, huna agajitumilaga chiza inguzu jakwe, kunguno amasala ni nguzu jilekanile.

Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho wiyumilija bhutale, mpaga opandika matwajo mingi umuwikaji bhokwe, guti nu mhagi uo kana ka mbuli, uyo agelagwa ng’holo mpaga okamala ugukabhaga.

Akikalile kakwe umunhu ng’wunuyo, kagabhalanjaga abhiye ahigulya ya gugatumila amasala bho wiyumilija bhutale, mpaga gushigila gugapandika amatwajo ayo gali mingi. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘gub’aga kana ka mbuli gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumila masala na wiyumilija bhutale umubhutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo  agagudula gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

KISWAHILI: KUCHUNA KATOTO KA MBUZI YATAKA MOYO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uchunaji wa katoto ka mbuzi. Katoto hako, huwa kana ngozi ililaini kweli, ambayo huleta ugumu kuitenganisha na nyama yake. Kwa hiyo basi, yule ambaye atafaulu kumaliza kukachuna katoto hako ka mbuzi, atakuwa amevumilia sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kuchuna katoto ka mbuli yataka moyo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake vizuri na kwa uvumilivu katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, anafahamu kuzitumia akili zake katika kufanya utafiti, wa kumuwezesha kuzifahamu kazi zile ambazo zitaweza kumletea mafanikio mengi, maishani mwake. Baada ya kufanya utafiti huo, ndipo huzitumia nguvu zake katika kuyatekeleza majukumu yake, kwa sababu anafahamu kwamba akili na nguvu ziko tofauti.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa uvumilivu wa hali ya juu sana, mpaka anafikia hatua ya kupata mafanikio mengi, maishani mwake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kutumia akili kwa uvumilivu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao hadi kufikia hatua ya kuyapata mafanikio mengi. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kuchuna katoto ka mbuli yataka moyo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia akili zao kwa uvumilivu wa hali ya juu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio ya kutosha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

kana ka mbuli

nimi o sheli

ntumami5

ENGLISH: SKINNING THE GOAT’S KID NEEDS PATIENCE.

The source of this saying is the goat’s kid. The goat’s kid is always featured by aving a soft skin. When skinning it, it can be very hard to separate between its skin and meat. Therefore, for one to skin it he/she needs a lot of patience. This is why people came with this saying that ‘skinning the goat’s kid needs patience’ to justify how hard it can be to skin it.

This saying can be compared to a person who uses his/her intellect well and patiently in the execution of his/her duties. This person is considered as someone who is very careful in his/her deeds. He/she doesn’t jump into conclusion without having a thorough and thoughtful idea about his/her decision. Such a person is always driven by the power of patience that makes him/her be successful in life.

The saying teaches people about using their intellect with the highest patience in carrying out their responsibilities. Patience can make them become successful in life.

Psalm 31:24, Mark 8:34, Philippians 3:7, Hebrews 10:37, Matthew 10: 16-22.

617. GUMBADA DESHI KWELWA NG´HOLO.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolole bhubadi bho Deshi. IDeshi yiniyo, ili noni iyo ilindalang´hanu gete, umukikalile kayo. Kuyiniyo lulu, ugushiga mpaga munhu aidime agubhiza ali ng´wiyumilija noyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘gumbada Deshi gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumilaga masala na wiyumilija ijinabhutumami bho milimo yakwe. Umunhu ng’wunuyo, adebhile ugugatumia chiza amasala gakwe ijinagubheja bhukengeji bho guidebha imilimo iyo idulile gung’wenhela matwajo mingi, umubhutumami bhokwe. Ulu omala ugwita ubhukengeji bhunubho, huna agajitumilaga chiza inguzu jakwe, kunguno amasala ni nguzu jilekanile.

Umunhu ng’wunuyo, agaitumamaga imilimo yakwe bho wiyumilija bhutale, mpaga opandika matwajo mingi, guti nu mbadi o Deshi, uyo agelagwa ng’holo mpaga oidima.

Akikalile kakwe umunhu ng’wunuyo, kagabhalangaga abhiye ahigulya ya gutumila masala bho wiyumilija bhutale, mpaga gugapandika amatwajo ayo galigawiza. Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, ‘gumbada Deshi gwelwa ng’holo.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gutumila masala na wiyumilija bhutale umutumami bhobho, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

Mathayo 24:2-14.

Yakobo 5:11.

1 Wakorintho 9:19-22.

Marko 13:13.

KISWAHILI: KUMKAMATA “DESHI” KUPIGA MOYO KONDE.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia ukamataji wa Deshi. Deshi huyo, ni ndege ambaye ni mjanja kweli. Kwa hiyo basi, yule ambaye atafaulu kumkamata, atakuwa amevumilia sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘kumkamata ‘Deshi’ kupiga moyo konde.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake vizuri na kwa uvumilivu katika utekelezaji wa kazi zake. Mtu huyo, anafahamu kuzitumia akili zake katika kufanya utafiti, kwa ajili kuzifahamu kazi zile ambazo zitaweza kumletea mafanikio, maishani mwake. Baada ya kufanya utafiti huo, ndipo huzitumia nguvu zake katika kuyatekeleza majukumu yake, kwa sababu anafahamu kwamba akili na nguvu ziko tofauti.

Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa uvumilivu wa hali ya juu sana, mpaga anafikia hatua ya kupata mafanikio mengi, maishani mwake. Maisha yake hayo, huwafundisha wenzake namna ya kutumia akili kwa uvumilivu katika kuyatekeleza majukumu yao hadi kufikia hatua ya kuyapata mafanikio hayo. Ndiyo maana yeye huwaambia watu kwamba, ‘kumkamata ‘Deshi’ kupiga moyo konde.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kutumia akili zao kwa uvumilivu wa hali ya juu katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Zaburi 31:24.

Marko 8:34.

Wafilipi 3:7.

Waebrania 10:37.

Mathayo 10:16-22.

Mathayo 24:2-14.

Yakobo 5:11.

1 Wakorintho 9:19-22.

Marko 13:13.

noni

nkima ntumami

planting nimi nkima

ntumami4

 

ENGLISH: TO CATCH DESHI (A CLEVER BIRD) REQUIRES PATIENCE.

The source of this saying is a bird known by name of deshi in Kisukuma language. This bird is assumed to be too clever to be caught by its enemies. For one to catch it, he/she needs to be patient enough otherwise one can give up within a very short period of time. To dscribe this situation, people came with this saying that ‘to catch deshi (a clever bird) requires patience’ to show how hard the task is.

This saying can be compared to a person who uses his/her mind well and patiently in the execution of his/her duties. This person relies on scientific research in coming up with conclusion about something. He/she knows that, there is no easy task rather patience and hard work are the roots to success. This person can have a lot of achievements in his/her life because of the way he/she conducts his/her things.

This saying teaches people about using their brains with the highest perseverance in performing their tasks. In so doing, people can have development in their socities.

Psalm 31:24, Mark 8:34, Philippians 3: 7, Hebrews 10:37, Matthew 10: 16-22, Matthew 24: 2-14, James 5:11, 1Corinthians 9: 19-22, Mark 13:13.