sayings

611. NZAGAMBA B’ULUMATI.

Imbuki ya kahayile kenako, ililola nzagamba ya Ng’ombe iyo ili nhumuku. Inzagamba b’ulumati yiniyo, ili nzagamba iyo ili inhemi ung’widale, kunguno ya bhukale bhobho. Iyoyi igabhapyenaga pye abhana nzagamba abhangi, umuchalo jinijo. Hunagwene abhanhu bhagaitanaga giki, ‘nzagamba b’ulumati.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali Ntemi o muchalo jilebhe. UNtemi ng’wunuyo, alinkumuku noyi kunguno ya bhutongeji bhokwe ubho bhuli bho wiza ukubhanhu bhakwe. Uweyi agabhalanghanaga chiza abhanhu bhakwe, kunguno ajidebhile inzila ja gubhatongelela chiza abhanhu bhakwe bhenabho.

Utemi ng’wunuyo, alinkumuku guti numo ili inzagamba b’ulumati, kunguno nuweyi, agikalaga bho gubhalanghana na gubhatongela chiza abhanhu bhakwe. Nabho abhanhu bhakwe bhenabho, bhagikalaga bhali nikujo ukuli weyi, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhoyi ubho gubhambilija chiza. Hunagwene bhanhu bhenabho abhagang’witana giki, ‘nzagamba b’ulumati.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhatongela na gubhambilija chiza abhanhu bhabho, na gub’inha ikujo abhatale bhabho abho bhabhatongelile, kugiki bhadule gwikala bho mholele, umuwikaji bhobho.

Mathayo 23:10-12.

Kutoka 20:12.

Mathayo 16:18-20.

Mathayo 12:15-21.

Mathayo 21:1-10.

KISWAHILI: FAHALI MAARUFU.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia dume la ng’ombe lililo maarufu sana katika zizi. Dume hilo, huitwa fahali ambaye ni mtawala katika zizi hilo, kwa sababu ya ukali wake. Yeye huwazidi nguvu mafahali wengine wote, katika eneo hilo. Ndiyo maana watu humwiita, ‘Fahali maarufu.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni Mfalme katika kijiji fulani. Mfalme huyo, ni maarufu sana kwa sababu ya uongozi wake mzuri kwa watu wake. Yeye huwalinda vizuri watu wake katika uongozi wake, kwa sababu anazifahamu njia za kuwaongozea hao watu wake.

Mfalme huyo, ni maarufu kama yule Fahali, kwa sababu naye huishi kwa kuwalinda na kuwaongoza vizuri watu wake. Nao watu wake hao, humpatia heshima kwa sababu ya upendo alinao kwao, ambao humwezesha kuwasaidia vizuri katika uongozi wake. Ndiyo maana watu hao, humuiita kwamba ni ‘Fahali maarufu.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwaongoza kwa kuwasaidia vizuri watu wao, na kuwapa heshima viongozi wanaowangoza, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 23:10-12.

Kutoka 20:12.

Mathayo 16:18-20.

Mathayo 12:15-21.

Mathayo 21:1-10.

nzagamba3

nzagamba2

 

ENGLISH: THE FAMOUS BULL.

The source of this saying is a bull which is very famous in a certain area. A bull is a male cow. This cow can be strong enough to fight other bulls in a certain area. It is because of its power and harshness that other bulls can fear it. When it happens so, peole can describe such a bull using the saying that ‘The famous bull.’

This saying can be compared to a person who is the ruler of a certain village. This person can become known and popular because of his/her power to rule others. Such a person can be able to protect his/her leadership position as well as his/her people in the same way the bull can protect its power from being taken by other bulls.

The saying teaches people about how to love to lead others by serving them. Such leaders can be loved by their people because of their power to protect their subjects against any foreign attacks.

Matthew 23: 10-12, Exodus 20:12, Matthew 16: 18-20, Matthew 12: 15-21, Matthew 21: 1-10.

610. LYAGWIKUMBA NA GWANZA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile wikumbi bho ng’wenda na wanzi bhogo. Ung’wenda ulu guli gutale gugatumamilagwa bho gugwikumba nu gugwanza aho bhulalo bhobho. Hunagwene abhanhu abhagayomba giki, ‘lyagwikumba na gwanza.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nguzu ningi ijaguitumamila imilimo yakwe, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, alemile uguguleka unimo gokwe uyo ogwandyaga ugugutumama, kunguno adebhile isolobho ya gugumala chiza unimo guniyo.

Isolobho jinijo, jilikihamo na kupandika matwajo guti ga jiliwa aha ng’wakwe. Uweyi agabhizaga jigemelo ja gujitumila inguzu bho kuitumama na guimala chiza imilimo, ukubhiye. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, ‘lyagwikumba na gwanza.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gujitumila inguzu jabho bho gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza, ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Timotheo 3:4.

Mithali 3:32.

Mathayo 3:11.

Marko 3:17.

Marko 5:4.

2Samweli 8:1.

Zaburi 135:10.

1Samweli 17:48-51.

KISWAHILI: LAKUJIFUNIKA NA KUTANDIKA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia kitendo cha kujifunika na kutandika shuka. Shuka hilo, ni kubwa kiasi cha kutosha kutumika kwa kujifunika na kulitandika pale wanapolala. Ndiyo maana watu huliita, ‘lakujifunika na kutandika.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia nguvu zake katika kuyatekeleza vizuri majukumu ya kazi zake, maishani mwake. Mtu huyo. Hataki kuiacha kazi yake, hovyo, kwa sababu anafahamu faida za kuyatekeleza vizuri majukumu yake.

Faida hizo ni pamoja na kupata mafanikio mengi yakiwemo yale ya kupata chakula cha kutosha kuwalisha watu wake. Yeye ni mfano wa kuigwa kwa wenzake kwenye suala la kutumia nguvu zao katika kufanya kazi, katika maisha yao. Ndiyo maana watu humwita kwamba ni ‘lakujifunika na kutandika.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia vizuri nguvu zao kwa kuyatekeleza majukumu yao ya kazi, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

1Timotheo 3:4.

Mithali 3:32.

Ingekuwa heri leo msikie sauti yake msiifanya migumu mioyo yenu.

Mathayo 3:11.

Marko 3:17.

Marko 5:4.

2Samweli 8:1.

Zaburi 135:10.

1Samweli 17:48-51.

nguto4

nguto

nguto ha bhulili

 

ENGLISH: A BEDSHEET FOR WRAPPING AND SPREADING ON BED.

The source of the above saying is bedsheet and how it can be used to wrap someone and at the same time it is spread on the bed. Therefore, a large bedsheet can have multiple roles; as a cover used to protect someone from coldness and as a bedding material. This is why people come up with the saying that ‘A bedsheet for wrapping and spreading on bed’ to communicate the multiple roles of bedsheets.

This saying can be compared to a person who uses his power to better fulfill his/her duties in his/her life. That person doesn’t want to give up his/her job because he/she knows the benefits of doing his/her job well. Some of the bnfits he/she can get is getting enough food to feed his/her family and he/she can become a role model to others.

The saying teaches people about how to use their power effectively by carrying out their work responsibilities so that they can better their families in their lives.

1Timothy 3: 4, Proverbs 3:32: It would be better today to hear his voice if you do not harden your hearts.

Matthew 3:11, Mark 3:17, Mark 5: 4, 2Samuel 8: 1, Psalm 135: 10, 1Samuel 17: 48-51.

607. DILU MAKINGO NU MANULA SHIIGI.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile shiigi. Ishiigi yiniyo, jili ginhu ijo jigabhungaga masonga umugati yajo. Unimo go masonga genayo, guli gulasila aliyo unasi mpaga wikale nabho ubhuta, ubho bhugatumamilagwa kihamo na masonga. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘dilu makingo nu manula shiigi.’

Akahayile kenako, kagaleganijiyagwa kuli Munhu uyo agipunaga dilu osola jitumamilo jakwe na kuja gujutumama milimo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, aganguhaga ugumisha obhucha jilanga jakwe ija gutumamila, kugiki agaitumame imilimo yakwe bho likanza lilihu gushiga mpaga aho ligasebhele ilimi.

Uweyi agamanulaga jilanga ija gujilanija nu nimo gokwe giti: Igembe, Panga, Mbasa, sululu na jingi. Umunhu ng’wunuyo, ulu wipunaga guja kwisoma, agubhucha jilanga jakwe guti Jitabho, kalamu na jingi jingi.  Uweyi agasolaga jilanga ijijikomile ugugutumama unimo uyo alinago. Hunagwene agayombaga giki, ‘dilu makingo nu manula shiigi.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gulonja ikanza lya gwipuna dilu na guja gujutumama milimo yabho, bho b’o nguzu nijilanga jabho bhabhuchije umu makono, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.

2Wathesalonike.

Matendo 6:33.

1Wakorintho 14:8-9.

Ufunuo 2:10-11.

KISWAHILI: ASUBUHI MAPEMA NACHUKUA PODO.

Chanzo cha msemo huo,  chaangalia podo. Podo ni chombo cha kuhifadhia mishale ndani yake. Kazi ya mishale hiyo, ni pamoja na kurusha (kuchoma) pale ambapo mhusika hutumia upinde unaofaa kurusha mishale hiyo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘asubuhi mapema nachukua podo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeamuka mapema asubuhi akachukua kifaa chake cha kufanyia kazi, na kwenda kufanya kazi, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahi kuamka na kuchukua silaha yake ya kufanyia kazi ili akafanye kazi kwa muda mrefu mpaka kufikia wakati wa jua kuwa kali.

Yeye huchukua vifaa vya kufanyia kazi kama vile: jembe, panga, Shoka, Sululu, na vingine vingi. Anapoenda kusoma huchukua vitabu, peni, kalamu lula na vingine vingi. Mtu huyo, huchukua kifaa cha kazi kinachoweza kumsaidia katika kuitekeleza vizuri kazi yake hiyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, ‘asubuhi mapema nachukua podo.’

Msemo huo, hufundisna watu juu ya kujali muda wa kwenda kazini kwao, wakiwa na vifaa vya kuitekelezea kazi yao hiyo, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

2Wathesalonike.

Matendo 6:33.

1Wakorintho 14:8-9.

Ufunuo 2:10-11.

shigi5

shigi2

 

ENGLISH: EARLY IN THE MORNING I TAKE THE QUIVER.

The source of this saying is the quiver. A quiver is a tool for keeping arrows. Arrows are mainly used for shooting. People tend to leave their homes very early in the morning in order to go hunting. This scenario of leaving very early in the morning can be described using the saying that ‘early in the morning I take the quiver.’

This saying can be compared to a person who wakes up early in the morning and picks up his/her working equipment and goes to work. This person can be someone who can work in his/her farm from sunrise to sunset. He/she uses farming equipment such plough, sword, axe, pickaxe, and much more. To students, the working tools could be books, pens and much more.

This saying teaches people about caring for their time. People should respect time so that they can be able to finish their works on time.

2 Thessalonians , Acts 6:33.1, Corinthians 14: 8-9, Revelation 2: 10-11.

603. UYO ALIGUSHA MU NYANZA AHA GUSHINAGA NA BHANGI BHALIHO.

Imbuki ya kahayile kenako, ililola bhogi bho munyanza. Inyanza ili nhale noyi, ulu munhu alibunha moyi adulile gwimana weyi duhu igiki alimani, aliyo gashinaga bhaliho bhangi bhingi guke moyi, abho bhadebhile uguhega gulebha uweyi. Ukwene huguhaya giki, umugati ya nyanza yiniyo, galihoyi majisumva gangi mingi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘uyo aligusha mu nyanza aha gushinaga na bhangi bhaliho.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agisansanyaga masala, nulu nguvu yakwe bhung’wene, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adadebhile igiki bhali hoyi bhangi abho bhali na masala, nulu abho bhali na nguzu ningi, gukila uweyi, abha igilelilwe bhang’wambilije.

Uweyi agikolaga nu nhegi omunyanza uyo agimanaga weyi duhu, kunguno nuweyi agisanyaga masala gakwe bhung’wene duhu, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘uyo aligusha mu nyanza aha gushinaga na bhangi bhaliho.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhichabho, umubhutumami bho milimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho. Igelelilwe abhanhu bhenabho, bhajileke inungwa ja gwisanya masala gabho duhu, nulu nguzu jabho duhu, umukikalile kabho.

Zaburi 133:1.

Yohana 17:11.

Yohana 17:21-23.

Marko 10:45.

Waefeso 4:3-4.

Waefeso 4:13.

KISWAHILI: YULE ANAYECHEZA BAHARINI KUMBE NA WENGINE WAPO.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uchezaji wa kwenye baharí. Bahari hiyo, ni kubwa sana kiasi kwamba mtu akiwa anaoga anaweza kudhani kuwa ni yeye peke yake, anayeelewa kuogolea kupita wengine. Ndiyo kusema kwamba, ndani ya baharí hiyo, kuna viumbe wengi mno. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘anayecheka baharini kumbe na wengine wapo.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutegemea akili au nguvu zake peke yake. Mtu huyo, hafahamu kwamba, kuna wengine wenye akili na nguvu nyingi kupita yeye, ambao wana uwezo wa kumsaidia.

Yeye hufanana na muogeleaji anayejidai kwamba ni fundi wa kuogelea kupita wengine, kwa sababu naye hutegemea akili zake tu au nguvu zake tu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘anayecheka baharini kumbe na wengine wapo.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa pamoja na wenzao katika utekelezaji wa majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi zaidi katika maisha yao. Yafaa watu hao, waache tabia ya kutegemea akili au nguvu zao tu, katika maisha yao, bila kushirikiana na wenzao.

Zaburi 133:1.

Yohana 17:11.

Yohana 17:21-23.

Marko 10:45.

Waefeso 4:3-4.

Waefeso 4:13.

munhu1

ng'wina

ng'wina1

 

ENGLISH: THE ONE PLAYING AT THE SEA WHILE OTHERS ARE THERE TOO.

The source of this saying is swimming in the sea. A sea being a big water body, one swimming from one end of it will think that he/she is the only one who knows to swim. He/she doesn’t know that in the sea there are numerous creatures whose life is always in water and therefore, for them, swimming is a daily activity. To describe this scenario, people came with the saying that ‘The one playing at the sea while others are there too’ to communicate someone’s ignorance about the world around him/her.

This saying can be compared to a person who knows less about the world around him/her. Instead, he/she constructs the world based on only what he/she can see. This person can be likened to a swimmer who claims to be the best swimmer because he/she relies on his/her intelligence without thinking about others who might be better at swimming than him/her.

The saying teaches people about being open to learn from others. People should be able to seek for more knowledge from peers before they come to conclusion about certain issues.

Psalm 133: 1, John 17:11, John 17: 21-23, Mark 10:45, Ephesians 4: 3-4, Ephesians 4:13.

598. OLANGAMILWA NA MHULUGAGA IGULILAGA.

Imbuki ya kahayile kenako, yilolile bhulangamiji bho mhulugaga. Imhulugaga yiniyo, jili jisumbwa ijo jilija lubhango. Ijoyi nulu jigiza hakaya ya ng’wa munhu, aguhaya giki jenhaga lugango, kunguno jilijisumbwa ja lubhango.

Gashinaga nulu, ugulangamilwa na mhulugaga iyo igulilaga, igolechaga gwinja makoye na gwenha lubhango. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘olangamilwa na mhulugaga igulilaga.’

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga na bhanhu bho gubhalombela mbango. Umunhu ng’wunuyo, alini sungu lya gubhambilija abhiye abho bhali na makoye, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule ugwinga umumakoye genayo. Uweyi alima bhutogwa bhutale ukubhanhu bhakwe, ubho bhugang’winhaga nguvu ja gubhayelela abho bhali mumayange guti genayo.

Umunhu ng’wunuyo, agadulaga ugubhalunguja abhapina, kunguno ya kikalile kakwe ako kagabhalanjaga abhiye inzila ja gwikala bhitogilwe chiza, na bhichobho.

Uweyi agachalaga lubhango ukubhanhu bhakwe guti ni mhulugaga yiniyo, iyo ndimu ya lubhango ukubhanhu. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘olangamilwa na mhulugaga igulilaga.’

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gwilombela mbango ja gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukikalile kabho.

Zaburi 3:8.

Tito 2:13.

Mathayo 19:16-30.

Waebrania 6:7.

Waefeso 1:3.

UMEANGALIWA NA KAKAUIONA AKILIA.

Chanzo cha msemo huo, chaangalia uangaliaji wa kaka kuona. Kakakuona huyo, ni kiumbe cha baraka. Chenyewe, hata kikija nyumbani kwa mtu, atasema kwamba, kimeleta baraka kwake, kwa sababu hicho ni kumbe cha baraka.

Kumbe basi, kuangaliwa na kakakuona anayelia, huonesha hali ya kuondoa matatizo na kuleta baraka. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umeangaliwa na kakakuona akilila.’

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huishi kwa kuwatakia baraka watu wake. Mtu huyo, ana huruma ya kuwasaidia wale walioko kwenye matatizo, maishani mwao, ili waweze kutoka katika matatizo hayo. Yeye ana upendo mkubwa kwa watu wake, unaompatia nguvu za kuwatembelea wale walioko kwenye matatizo mbalimbali.

Mtu huyo, huweza kuwafariji watu mbalimbali, wakiwemo yatima kwa sababu ya maisha yake, ambayo huwafundisha wenzake njia za kuishi kwa upendo na wenzao. Yeye hupeleka baraka kwa watu, kama kakakuona, ambaye ni mnyama wa baraka kwa watu. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘umeangaliwa na kakakuona akilila.’

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuombeana baraka za kupata mafanikio mengi maishani mwao, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika maisha yao.

Zaburi 3:8.

Tito 2:13.

Mathayo 19:16-30.

Waebrania 6:7.

Waefeso 1:3.

bhusaliji

bhasaliji

bhasaliji3

 

ENGLISH: YOU HAVE BEEN LOOKED UP BY A CRYING PANGOLIN.

The source of this saying is an animal by the name of pangolin. Pangolin is an animal believed to be a sign of good luck. Therefore, if someone can see it, it means he/she is blessed and he/she is lucky in his/her life. In this saying, the crying pangolin communicates a sense of relief and blessing to the one looked by it (pangolin). To communicate this idea of relief, people came with this saying that ‘You have been looked up by a crying pangolin.’

The saying can be compared to a person who wishes others to have good life. This person finds happiness by seeing how others are being helped from different problems they face. Such a person has a great love to others and is capable of helping the needy people like orphans, widows, and street children.

The saying teaches people about praying for the blessings of achieving great success in their lives. In so doing, they will be able to reap blessings that will make them have good life in future.

Psalm 3: 8, Titus 2:13, Matthew 19: 16-30, Hebrews 6: 7, Ephesians 1: 3.