sayings

304. B´UGENI B´ULAGANE

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu abho bhalibhalagana giki bhagulumana hanhu. Aho loshiga ulushugu lunulo, uumo agakija uguja ukunuko. Bhahayibhona, ung´wiye uyo alioja koyi, agang´wizukija, ub´ulagane bhobho, bho gung´wila giki, ´b´ugeni b´ulagane.´

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhizukijaga abhiye, ugwiita iyo bhalibhizunilija guitumama. Umunhu ng´wunuyo agabhizaga wiyizukile iyo bhizunilija kuitumama na bhiye, iyo idulile gubhambilija abhanhu bhabho ijinagwenha matwajo mingi, umuwikji bhobho. Uweyi agabhalanjaga nabhiye uguwizuka uwizunilija bhobho, bhogubhawila giki, ´b´ugeni b´ulagane.´

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guwizuka na gub´utumamila uwizunilija bhobho, umuwikaji bhobho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi ayo gadulile gujibheja chiza, ikaya jabho.

Wagatia 3:16.

Yohane 16:7-8.

KISWAHILI: AHADI YA UGENI

Chanzo cha msemo huo chaanzia kwa watu waliokubaliana kukutana sehemu fulani. Ilipofika siku hiyo, mwingine hakuenda kule walikokubaliana kwenda. Walipoonana, yule aliyeenda kule, alimkumbusha mwenzake kwa kumwambia hivi, ´ahadi ya ugeni.

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye huwakumbusha wenzake juu ya utekelezaji wa makubaliano yao. Mtu huyo huendelea kuyakumbuka makubaliano hayo waliyofanya na wenzake, maishani mwake. Yeye huwakumbusha pia wenzake juu ya utekelezaji wa makubaliano hayo kwa kuwaambia, ´ahadi ya ugeni.

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuukumbuka utekelezaji wa makubaliano yao, maishani mwao, kwa ajili ya kuleta maendeleo kwenye familia zao.

Wagatia 3:16.

Yohane 16:7-8.

african

 

ENGLISH: A PROMISE MADE IS A DEBT UNPAID

This saying comes from a story of two people who agreed to meet somewhere. On that day, the other did not show up where they had agreed to meet. When they saw each other on the following day, the one who went to the place they agreed to meet reminded his companion about their agreement saying, “a promise made is a debt unpaid.”

The saying is linked to someone who reminds his/her fellows about implementing what they agreed on. Such a person remembers the agreement they made in his/her life. He/she also reminds his/her companions about implementing the agreement by telling them, “a promise is a debt unpaid.”

The above saying teaches people to fulfil their promises in their lives.

Galatians 3:16.

John 16: 7-8.

303. BUDOSHI BHO LISO ILAGAJA INGOHE

Imbuki ya kahayile kenako ingilile ku liso na ngohe. Iliso linilo ligenhelejaga kubhiza na b´udoshi, kunguno ya kubhona ginhu lyukija ugujitoghwa. Aliyo lulu, ululyudishiwa ngohe lyuyulila jisoji. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, b´usoshi b´o liso ilagaja ngohe. ´

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja b´udoshi umuwikaji bhokwe. Aliyo lulu umunhu ng´wunuyo, ulu usada, b´ushila ub´udoshi b´okwe. Hunagwene abhanhu bhagang´wilaga giki, alina ´b´udoshi bho liso ilagaja ngohe.´

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na nhungwa ja b´udoshi, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.

Zaburi 31:18.

Zaburi 101:5.

Yakobo 4:16-17.

KISWAHILI: MARINGO YA JICHO KUWA NA KOPE NYINGI

Chanzo cha msemo huo chaanzia kwenye jicho na kope. Jicho hilo husababisha kuwa na malingo kwas ababuu ya kuona kitu na kutopendezwa nacho. Lakini basi, likiingiliwa na kope, huwa linaanza kulia machozi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´maringo ya jicho´ kuwa na kope nyingi.´

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu mwenye tabia ya maringo maishani mwake. Lakini mtu huyo, akiugua, maringo yake huisha wakati huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´maringo ya jicho kuwa na kope nyingi.´

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya maringo, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.

Zaburi 31:18.

Zaburi 101:5.

Yakobo 4:16-17.

eye

 

 

ENGLISH: THE BOAST OF AN EYE CAUSES EYELIDS TO DROP

The source of this saying is the eye and eyelids.The eye causes boast because of seeing something and not being impressed.However, when an eyelid enters the eye, the person will rub it and the eye will drop tears. In the course of rubbing the eye, eyelids will drop. Therefore, people say, “the boast of an eye causes eyelids to drop.”

The saying is compared to someone who is boastiful in his/her life. However, when such a person gets sick his/her boast tends to cease. That is why people say, ‘the boast of an eye causes eyelids to drop. “

The proverb teaches people to stop bad behaviour so that they can live with others in harmony.

Psalm 31:18.

Psalm 101: 5.

James 4: 16-17.

296. NG’HANGA MALAB’A ADAMALAGA B’IZA

Imbuki ya lusumo lunulo ingilile kujilangu ja gwikumbwa kub’iza na najo bhuli jene ijo jililab’a. Ijililab’a jinijo jilolecha ginhu jawiza. Ulu jigela jawiza, uweyi uojilangu jinijo, ojisola nijene, kunguno ahayile ajipandike uweyi bhuli jene ijo jilijawiza. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, ‘ng’hanga malab’a adamalaga b’iza.’

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinajilangu ja kubhona bhuli ng’wene uyo aliowiza, ohaya ab’ize okwe. Umunhu ng’wunuyo agamonaga bhuli ng’wene ontogwa na gung’wila giki bhitole, kunguno ya jilangu jakwe jinijo, ijagung’wila gwitola bhuli ng’wene uyo aliowiza. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga, umunhu ng’wunuyo, giki, ‘ng’hanga malab’a adamalaga b’iza.’

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gub’iza na bhutungilija umuwitoji, bho kuleka jilangu ja guhaya gub’iza na bhuli ng’wene uyo aliowiza. Ubhutungilija bhunubho, bhugubhambilija abhanhu bhenabho, ijinagwikala bho mholele umuwitoji bhobho, nu muwikaji bhobho.

Mathayo 5:27-29.

Yakobo 1:14-15.

KISWAHILI: MWENYE TAMAA HAMALIZI WAZURI

Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye tamaa ya kutaka kuwa nacho kila kile, kimelemetacho machoni pake. Kimelemetacho hicho, huonesha kitu kilicho kizuri. Akikiona popote pale mwenye tamaa hiyo, hutaka kukichukua, kwa sababu ya kutaka kwake kukimiliki, kila kilichokizuri machoni pake. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘mwenye tamaa hamalizi wazuri.’

Methali hiyo hulinnganishwa kwa mtu yule aliye na tamaa ya kutaka awe naye kila amuonaye kuwa ni mzuri. Mtu huyo humpenda kila amuonaye na kumtaka waoane, kwa sababu ya tamaa yake ya kutaka kuoana na kila aliye mzuri. Ndiyo maana watu humwambia mtu huyo kwamba, ‘mwenye tamaa hamalizi wazuri.’

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu katika ndoa, kwa kuacha tamaa ya kutaka kuwa pamoja naye kila aliye mzuri. Uaminifu huo utawasaidia watu hao, katika kuishi kwa amani kwenye ndoa zao, maishani mwao.

Mathayo 5:27-29.

Yakobo 1:14-15.

people1

 

ENGLISH: A LUSTFUL PERSON CANNOT FINISH THE BEAUTIFUL ONES

The proverb stems from a person with a desire to own everything beautiful. Wherever such a person sees a beautiful woman, he wants to have her. That is why people say, “A lustful person cannot finish the beautiful ones.”

The proverb is tailored to a person who desires to have every beautiful woman. Such a person loves every woman he meets and wants to marry her because of his desire to marry every beautiful woman. So, people use the proverb to warn such type of persons.

This proverb teaches people about trust by giving up the desire of being with every beautiful woman. Being faithful will help these people to live peacefully in their marriage.

Matthew 5: 27-29.

James 1: 14-15.

283. DAB’ULYA DUGINGA NA HISUMBI

Imbuki ya kahahile kenako ilolile wingi bho jiliwa ijo bhanhu bhalyaga hakaya ya ng’wa munhu nhebhe bhiguta. Abhanhu ulu bhalilya jiliwa bhagigashaga hisumbi, mpaga bhamale ugulya, hunab’inga hoyi. Ijiliwa jinijo ulu jili ningi ja gulya abhanhu mpaga bhiguta, bhagajilekaga bhagingila amasumbi. Hunagwene abhanhu ulu bhalya mpaga bhajileka ijiliwa jinijo, bhagayomba giki, ‘dab’ulya duginga na hisumbi.’

 Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinajiliwa ja gudula gubhigutya abhanhu bhakwe ahang’wakwe. Umunhu ng’wunuyo agapandikaga sabho ningi, umubhutumami bhokwe. Uwei kihamo na bhiye bhagajitumamilaga chiza isabho jabho, ijinagubhanhana abhanhu bhabho. Abhanhu abhahakaya yiniyo, abho bhagalyaga bhiguta na gujisaja ijiliwa jinijo, bhagayombaga giki, ‘dab’ulya duginga na hisumbi.’

Akahayile kenako kalanga bhanhu  gubhagola chiza abhanhu bhabho, bho gujitumila isabho jabho, jinagubhulanghana bhupanga bhobho. Ubhugoji bhunubho bhugubhambilija abhanhu bhabho, ijinakupandika nguzu ja gutumama milimo ya kupandikala sabho ningi.

(Mathayo 6:42)

KISWAHILI: TUMEKULA HADI TUKAONDOKA KWENYE KITI.

Chanzo cha msemo huo chaangalia wingi wa chakula ambacho watu wamekula kwenye familia fulani. Watu hao hukaa kwenye kiti walapo chakula mpaka wamalize kula ndipo watoke kwenye kiti. Chakula kikiwa kingi cha kutosha kula na kusaza, watu hao huondoka kwenye kiti hicho. Ndiyo maana watu hao walioshiba na kusaza husema, ‘tumekula tukaondoka kwenye kiti.’

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu awatunzaye watu wake kwa kutumia chakula kingi alicho nacho, katika kuwalisha vizuri watu wake. Watu hao hupata mali nyingi kwa kufanya kazi zao vizuri. Mali hizo ndizo zile wazitumiazo katika kuwatunza watu wao. Wale waliotunzwa kwa kulishwa chakula walichokila na kusaza, husema, ‘tumekula tukaondoka kwenye kiti.’

Msemo huo hufundisha watu  kuwatunza watu wao, kwa kutumia mali walizonazo katika kuulinda uhai wao. Matunzo hayo yatawasaidia watu wao katika kupata nguvu za kuwawezesha kufanya kazi za kuwapatia mali nyingi zaidi.

(Mathayo 6:42).

design chair

ENGLISH: WE HAVE EATEN ENOUGH TO THE EXTENT OF LEAVING THE SEATS.

The origin of this saying is the amount of food people eat in a particular family. These people sit on chairs while they eat until they finish eating. When they have eaten enough food, they leave the seats. That is why those people who are satisfied say, ‘We have eaten enough to extent of leaving the seats.’

The saying is likened to a person who takes care of his people by using the abundant food he has, in the proper feeding of his people. Such person earns a lot of money by doing their jobs well. These assets are what they use to care for their people. Those who were fed, said, ‘We have eaten enough to leave the chair.’

The proverb teaches people to take care of their families by using the resources they have in protecting their lives. This training will help their people in gaining strength to do the work of providing them with more resources.

(Matthew 6:42).

282. DULYAGE IDAMANILAGWA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhanhu abho bhalibhegeleja gwandya lugendo bho gulya tamu. Abhanhu bhenabho bhagikomelejaga gulya jiliwa ja gudula gwiguta, kunguno bhadamanile uko bhajile, igiki jilihoyi jiliwa koyi, nulu nduhu. Bhakomile gusanga jitiho uko bhajile. Hunagwene bhagikomelejaga bho gwiwila giki, ‘dulyage idamanilagwa.’

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagibhegelejaga chiza ulu bhuhaya gwita nimo gose gose, haho bhatali ugugwita unimo gunuyo. Abhanhu bhanebho bhadebhile igiki bhuli nimo guhayile gutumamwe bho wibhegeleja bhutale.

Abhoyi bhagapandika matwajo mingi umubhutumami bho milimo yabho, kunguno ya gwita wibhegeleja bhutale bho guitumama imimo yiniyo, haho bhatali ugwiyandya uguitumama.

Ijinagongeja, abhanhu bhenabho bhagabhalangaga abhichacho uguchola ijo jidakililwe umubhutumami bho nimo nibhe. Bhagabhawilaga abhanhu bhabho giki, ‘dulyage idamanilagwa.

Akahayile kenako kalanga bhanhu  gwita wibhegeleja bhutale bho nimo gose gose, uyo bhalihaya gugutumama, haho bhatali ugugwandya. Uwibhegeleja bhunubho bhugubhenhela matwajo mingi umuwikaji bhobho.

1Wafalme 19:7-8.

KISWAHILI: TULE, YA MBELE HAYAJULIKANI.

Chanzo cha msemo huu chaangalia watu wanaojiandaa kuanza safari ya kwenda sehemu fulani, kwa kula chakula kwanza. Chakula hicho hukila cha kutosha kuwapatia nguvu za kusafiri hadi kufika salama.

Chakula hicho huwasaidia watu hao katika kuishi kwa mda mrefu wakiwa na nguvu, hata kama wakikosa chakula kule waendako. Ndiyo maana wao huhimizana kula kabla ya kuanza safari yao, wakisema, ‘tule haijulikani.’

Msemo huu hulinganishwa kwa watu wale wajiandaao vizuri watakapo kufanya kazi fulani, kabla ya kuanza kuifanya, kazi hiyo. Wao hufahamu kwamba, kila kazi yahitaji kuwa na maandalizi mazuri kablya ya kuitekeleza. Hivyo kazi iliyofanywa kwa maandalizi mazuri, huleta mafanikio makubwa kwa watendaji wake.

Kwa Maana hiyo, watu hao hupata mafanikio mengi kwenye kazi zao kwa sababu ya kujiandaa vizuri kabla ya kuzifanya kazi hizo. Zaidi ya hayo, wao huwafundisha pia wenzao namna ya kujiandaa vizuri kabla ya kufanya kazi yoyote, ili nao wapate mafanikio mengi. Ndiyo maana watu hao huwaambia wenzao hivi, ‘tule haijulikani.’

Msemo huo hufundisha watu  kufanya maandalizi mazuri, watakapo kufanza kazi fulani, kabla hawajaifanya kazi hiyo. Matayarisho hayo, yatawaletea mafanikio mengi maishani mwao.

(1Wafalme 19:7-8).

 

older one

ENGLISH: LET US EAT, WE NEVER KNOW.

The origin of this saying is people getting ready to embark on a journey, by eating food first. They eat enough to get energy to travel safely.

The food helps them live longer and be stronger, even if they do not have enough food where they go. That is why they encourage one another to eat before they begin their journey, saying, ‘Let us eat, we never know.’

The saying is comparatively used to encourage people to be well prepared beforeand when they intend to do a certain task. They realize that every job needs well-preparedness for it to be successful. So, the work done with good preparation brings great success to its executors.

In that sense, those people get a lot of success in their work because of the good preparation they have to do before doing the tasks at hand. In addition, they also teach their peers how to prepare themselves well before doing any piece of work so that they too can be successful. That is why such people tell their companions, ‘Let us eat, we never know.’

The saying teaches people to make good preparations, when they have to do a certain task, before doing the taskk. Such preparation is bound to bring many benefits to them.

(1Kings 19: 7-8)