Imbuki ya kahahile kenako ilolile wingi bho jiliwa ijo bhanhu bhalyaga hakaya ya ng’wa munhu nhebhe bhiguta. Abhanhu ulu bhalilya jiliwa bhagigashaga hisumbi, mpaga bhamale ugulya, hunab’inga hoyi. Ijiliwa jinijo ulu jili ningi ja gulya abhanhu mpaga bhiguta, bhagajilekaga bhagingila amasumbi. Hunagwene abhanhu ulu bhalya mpaga bhajileka ijiliwa jinijo, bhagayomba giki, ‘dab’ulya duginga na hisumbi.’
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinajiliwa ja gudula gubhigutya abhanhu bhakwe ahang’wakwe. Umunhu ng’wunuyo agapandikaga sabho ningi, umubhutumami bhokwe. Uwei kihamo na bhiye bhagajitumamilaga chiza isabho jabho, ijinagubhanhana abhanhu bhabho. Abhanhu abhahakaya yiniyo, abho bhagalyaga bhiguta na gujisaja ijiliwa jinijo, bhagayombaga giki, ‘dab’ulya duginga na hisumbi.’
Akahayile kenako kalanga bhanhu gubhagola chiza abhanhu bhabho, bho gujitumila isabho jabho, jinagubhulanghana bhupanga bhobho. Ubhugoji bhunubho bhugubhambilija abhanhu bhabho, ijinakupandika nguzu ja gutumama milimo ya kupandikala sabho ningi.
(Mathayo 6:42)
KISWAHILI: TUMEKULA HADI TUKAONDOKA KWENYE KITI.
Chanzo cha msemo huo chaangalia wingi wa chakula ambacho watu wamekula kwenye familia fulani. Watu hao hukaa kwenye kiti walapo chakula mpaka wamalize kula ndipo watoke kwenye kiti. Chakula kikiwa kingi cha kutosha kula na kusaza, watu hao huondoka kwenye kiti hicho. Ndiyo maana watu hao walioshiba na kusaza husema, ‘tumekula tukaondoka kwenye kiti.’
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu awatunzaye watu wake kwa kutumia chakula kingi alicho nacho, katika kuwalisha vizuri watu wake. Watu hao hupata mali nyingi kwa kufanya kazi zao vizuri. Mali hizo ndizo zile wazitumiazo katika kuwatunza watu wao. Wale waliotunzwa kwa kulishwa chakula walichokila na kusaza, husema, ‘tumekula tukaondoka kwenye kiti.’
Msemo huo hufundisha watu kuwatunza watu wao, kwa kutumia mali walizonazo katika kuulinda uhai wao. Matunzo hayo yatawasaidia watu wao katika kupata nguvu za kuwawezesha kufanya kazi za kuwapatia mali nyingi zaidi.
(Mathayo 6:42).
ENGLISH: WE HAVE EATEN ENOUGH TO THE EXTENT OF LEAVING THE SEATS.
The origin of this saying is the amount of food people eat in a particular family. These people sit on chairs while they eat until they finish eating. When they have eaten enough food, they leave the seats. That is why those people who are satisfied say, ‘We have eaten enough to extent of leaving the seats.’
The saying is likened to a person who takes care of his people by using the abundant food he has, in the proper feeding of his people. Such person earns a lot of money by doing their jobs well. These assets are what they use to care for their people. Those who were fed, said, ‘We have eaten enough to leave the chair.’
The proverb teaches people to take care of their families by using the resources they have in protecting their lives. This training will help their people in gaining strength to do the work of providing them with more resources.
(Matthew 6:42).