Imbuki ya kahayile kenako ingilile ku liso na ngohe. Iliso linilo ligenhelejaga kubhiza na b´udoshi, kunguno ya kubhona ginhu lyukija ugujitoghwa. Aliyo lulu, ululyudishiwa ngohe lyuyulila jisoji. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, b´usoshi b´o liso ilagaja ngohe. ´
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina nhungwa ja b´udoshi umuwikaji bhokwe. Aliyo lulu umunhu ng´wunuyo, ulu usada, b´ushila ub´udoshi b´okwe. Hunagwene abhanhu bhagang´wilaga giki, alina ´b´udoshi bho liso ilagaja ngohe.´
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhiza na nhungwa ja b´udoshi, kugiki bhadule gwikala chiza na bhichabho, umuwikaji bhobho.
Zaburi 31:18.
Zaburi 101:5.
Yakobo 4:16-17.
KISWAHILI: MARINGO YA JICHO KUWA NA KOPE NYINGI
Chanzo cha msemo huo chaanzia kwenye jicho na kope. Jicho hilo husababisha kuwa na malingo kwas ababuu ya kuona kitu na kutopendezwa nacho. Lakini basi, likiingiliwa na kope, huwa linaanza kulia machozi. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´maringo ya jicho´ kuwa na kope nyingi.´
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu mwenye tabia ya maringo maishani mwake. Lakini mtu huyo, akiugua, maringo yake huisha wakati huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, ´maringo ya jicho kuwa na kope nyingi.´
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya maringo, ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, maishani mwao.
Zaburi 31:18.
Zaburi 101:5.
Yakobo 4:16-17.
ENGLISH: THE BOAST OF AN EYE CAUSES EYELIDS TO DROP
The source of this saying is the eye and eyelids.The eye causes boast because of seeing something and not being impressed.However, when an eyelid enters the eye, the person will rub it and the eye will drop tears. In the course of rubbing the eye, eyelids will drop. Therefore, people say, “the boast of an eye causes eyelids to drop.”
The saying is compared to someone who is boastiful in his/her life. However, when such a person gets sick his/her boast tends to cease. That is why people say, ‘the boast of an eye causes eyelids to drop. “
The proverb teaches people to stop bad behaviour so that they can live with others in harmony.
Psalm 31:18.
Psalm 101: 5.
James 4: 16-17.